meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,425
- 4,768
Hakuna utatuzi wa mgogoro huo isipokuwa kurudia uchaguzi....kama seif alishinda basi wapiga kura watarudia kumchagua.
Mpaka sasa hakuna aliyeweza kujibu hoja za kufutwa kwa uchaguzi ikiwemo ile ya kujitangaza mshindi kabla ya Tume kufanya hivyo.
Mpaka sasa hakuna aliyeweza kujibu hoja za kufutwa kwa uchaguzi ikiwemo ile ya kujitangaza mshindi kabla ya Tume kufanya hivyo.