BrownRange
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 927
- 1,191
Kwa mfumo wa nchi za kiafrika, hakuna mbunge anayeleta maendeleo, Kama Serikali haina kipaumbele na eneo husika, hata mbunge ufanyeje, huwezi kupata hayo maendeleo
Naomba kuwasilisha
Naomba kuwasilisha