Hakuna haja ya kuoa/kuolewa zama hizi

Kiongozi, huu ni ukweli mchungu sana.
Tulipinga dini -> Sasa hivi tunawazidi kwa imani hao walioleta dini kwetu.
Tulipinga elimu -> Tizama sasa tuko wapi.

Tulipinga siasa zao -> Tunafanya nini sasa.
Wameleta technolojia -> tumekuwa limbukeni wa teknolojia yao.

.....na hayo mengine it's just a matter of time. Sad truth.

Mkuu watu hupenda kupingana na ukweli. Tutakubali tu.....
 
wazungu na waafrica waliolaaniwa ni wepi? hayo matetemeko hayatokei ulaya, kama unajua geography matetemeko yanatokea china, japan na Indochina
sasa hawa unaosema hawajalaaniwa ndio watu wanaotia huruma zaidi duniani, vita, ufisadi, njaa kali, ukabila, utapeli, umasikini uliokithiri ni jambo la kawaida kwa nchi za watu weusi, africa ndio mji mkuu wa haya
sasa hapa mwenye laana ni nani

Mm nadhani waafrika ndiyo wamelaaniwa. Kitendo cha kukataa kubadilika ili kuendana na changamoto zilizopo.
Hivi hatuoni kuwa taasisi ya ndoa imekwama kwenye tope?
Hivi hao mashoga waliozagaa mitaani hatuwaoni?
Utoaji mimba ulivyokithiri sasa hivi hatuuoni?
Tuwe wakweli, tusiishi kinafiki. Wazazi wengi sasa hivi wanawasaidia mqbinti zao kutoa mimba. Ni mtindo ulioenea sana sasa hv.
 
Mi nina swali; Watu wa zamani walikua wakidumu ndani ya ndoa zao tena na raha Kuliharibika/tulikosea wapi?
 
Back
Top Bottom