Tetesi: Haji Manara ajipanga kumburuza MaiMartha Mahakamani kwa kumkashfu yeye na Mkewe.

DATAZ

JF-Expert Member
May 25, 2012
4,045
10,708
Inadaiwa Haji na Mkewe Zai, wanamtuhumu MaiMartha Jesse kwa kumtusi Mkewe Zailyisa kupitia mahojiano na Online Tv yake ya Mai Tv, kuwa ni mwanamke asiyefaa kuwa mke wa Mtu kutokana na kitendo chake Cha "Kutoka" na ex wake siku Moja kabla ya mfungo wa mwezi mtukufu, walipokutana katika harusi ya mrembo mmoja maarufu Tanzania

Pia Mai anatuhumiwa kwa kumuita Haji kuwa ni Mume goi goi na asiyefaa kuwa Mume wa Mtu.

Kwamba maneno haya ya kashfa yameharibu taswira Yao na kuwashushia heshma katika jamii na kazi zao.

Hivyo Haji amemtaka MaiMartha amlipe fidia ya shilingi billion Moja (1,000,000,000/=) na amtake radhi hadharani.
 
Inadaiwa Haji na Mkewe Zai, wanamtuhumu MaiMartha Jesse kwa kumtusi Mkewe Zailyisa kupitia mahojiano na Online Tv yake ya Mai Tv, kuwa ni mwanamke asiyefaa kuwa mke wa Mtu kutokana na kitendo chake Cha "Kutoka" na ex wake siku Moja kabla ya mfungo wa mwezi mtukufu, walipokutana katika harusi ya mrembo mmoja maarufu Tanzania

Pia Mai anatuhumiwa kwa kumuita Haji kuwa ni Mume goi goi na asiyefaa kuwa Mume wa Mtu.

Kwamba maneno haya ya kashfa yameharibu taswira Yao na kuwashushia heshma katika jamii na kazi zao.

Hivyo Haji amemtaka MaiMartha amlipe fidia ya shilingi billion Moja (1,000,000,000/=) na amtake radhi hadharani.
Japo wamefanya jambo jema, lakini hawajashushiwa heshima kwasababu sioni kama Manara ana heshima kwa jamii maana ndiye anaongoza kwa kutweza utu wa watu tangu zamani
 
Yule Mpumbavu Guruguja Pori Kapewa za uso na Maimatha wa Jesa Mbaka Kaamua kukimbilia Mahakamani, Mbona Anawakashifu Watu Lakini Wanampotezea kutokana na Hali yake ilivyo Yule Mzungu Pori Mjinga Sana tu
 
Back
Top Bottom