barafu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 6,739
- 32,874
Wewe upo huko?Teh teh mkuu endelea tu kutuma maombi wale jamaa nadhani kuna analysis wanazifanya na sijui ni zipi ila atafutaye hachoki pambana tu watakuelewa
Wewe upo huko?Teh teh mkuu endelea tu kutuma maombi wale jamaa nadhani kuna analysis wanazifanya na sijui ni zipi ila atafutaye hachoki pambana tu watakuelewa
Hadi huruma
Teh teh ndio mkuuWewe upo huko?
Mkuu wacha tupate mautamuNyie ndio mnaotaka JF ifungiwe kwa kuleta upuuzi wa aina hii. Mnakumbuka suala la Ze Utamu?
Yani swala la access nalo ni jipuTeh teh mkuu endelea tu kutuma maombi wale jamaa nadhani kuna analysis wanazifanya na sijui ni zipi ila atafutaye hachoki pambana tu watakuelewa
Teh teh wanafanya vetting usijali watakuweka tu ,wote tumepitia shida hiyoYani swala la access nalo ni jipu
Sawa ntavumilia....Teh teh wanafanya vetting usijali watakuweka tu ,wote tumepitia shida hiyo
Kila mara uwe unawasumbua modsSawa ntavumilia....
I will, sitazembea kabisa. Yale mambo mwishoe yataishaKila mara uwe unawasumbua mods
Ndivyo inavyotakiwa hivyo..sio unakumbuka kuvaa buti chini tu halafu juu huvai helmet.
Teh teh sawa mamaI will, sitazembea kabisa. Yale mambo mwishoe yataisha![]()