Pink watoto wa kiume? Au ndo mambo ya kampeni za 🌈Inasikitisha Groomsmen wa Jux kuvaa Pink tena vazi la Nigeria! Tuwaeleweje? Bora hata mngevaa lubega la kimasai.
Labda walishindwa kujielezea ....umeangalia Young famous African.....Inasikitisha Groomsmen wa Jux kuvaa Pink tena vazi la Nigeria! Tuwaeleweje? Bora hata mngevaa lubega la kimasai.
Harusi yao, mavazi yao.Inasikitisha Groomsmen wa Jux kuvaa Pink tena vazi la Nigeria! Tuwaeleweje? Bora hata mngevaa lubega la kimasai.
Inasikitisha sanaInasikitisha Groomsmen wa Jux kuvaa Pink tena vazi la Nigeria! Tuwaeleweje? Bora hata mngevaa lubega la kimasai.
Wenye akili wamestukaInasikitisha sana
😂😂😂😂 sasa si uelezeewLabda walishindwa kujielezea ....umeangalia Young famous African.....
Unaona kaka yetu inavyokuwa shughuli kujieleza..... communication is the key.
Watanzania kuna kile kitu huwa hakipo ndani yetu... that thing...sijui ni kaelezeje...that thing.
Nachangia tu uzi mkuu...
Yaan watanzania tunapenda saana kupangiana maisha na nini chakufanyaUnampangia mtu na shughuli yake mkuu? Unaonaje siku ya harusi yako ukitupia rubega na sendeu?
Wabongo wataalam wa kutafuta kasoroInasikitisha Groomsmen wa Jux kuvaa Pink tena vazi la Nigeria! Tuwaeleweje? Bora hata mngevaa lubega la kimasai.
Umechangia Tsh Ngapi .Inasikitisha Groomsmen wa Jux kuvaa Pink tena vazi la Nigeria! Tuwaeleweje? Bora hata mngevaa lubega la kimasai.
Kwani Jukusi ni masai?Bora hata mngevaa lubega la kimasai.