Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 22,022
- 41,423
Tutake radhi waswahili😄😆😀😃So msidharau Elimu nyie waswahili
Tutake radhi waswahili😄😆😀😃So msidharau Elimu nyie waswahili
Garra B ni msomi tena Degree holder, BAED, na alishakua ndani ya ajira, alifundisha Sec, English na History.
Ila baadae akaacha, na kugeukia ktk u MC, em acha kupotosha umma hapa.
Mxxxxiiiieeew.
Hata km ana Diploma, Bado ni msomi sio km ambavyo OP anasema hapa.MC garab hiyo Degree yake ya Baed aliipata kutoka chuo gani ?
vijana mnapaswa mjifunze kwamba Sio kila mwalimu ana degree
We lofa tulia tusiharibiane swaumMbona wewe hukubali kuwa ni nusu albino
Kitunguu swaumu sio kizuri, tumia hata kitunguu majiWe lofa tulia tusiharibiane swaum