Graduates waambiwe ukweli , Career nyingi hasa za kutumia mdomo hazitambui degree zenu. Mjiongeze

Garra B ni msomi tena Degree holder, BAED, na alishakua ndani ya ajira, alifundisha Sec, English na History.

Ila baadae akaacha, na kugeukia ktk u MC, em acha kupotosha umma hapa.

Mxxxxiiiieeew.

MC garab hiyo Degree yake ya Baed aliipata kutoka chuo gani ?

vijana mnapaswa mjifunze kwamba Sio kila mwalimu ana degree
 
Back
Top Bottom