daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
Nimetumia redmi note 8 yenye 48mp kabla nilikuwa galaxy s8 lakini sikuona tofautiKinacho matter zaidi ni size ya sensor. Ndio maana unakuta 48MP zingine zinazidiwa quality na 12MP sensors. Kma camera ya 108MP itakua na sensor size ndogo kuliko ya 48MP, hyo 48MP itakua na quality nzuri ila resolution ndogo.
A50 bado pasua mkuu...yani ngoja leo nikague tenahukupata version nzuri kwa ajili ya samsung A50?
Anhaa basi usjal nakupa nikita 2.0,1.7 pia urnyx 7.3 na mgc 8.1 hapo huchomoki..ngoja narudiUlinipa za parot zikagoma zote.
Kimsingi utofaut wa macho ya kawaida ni mpaka ukianza kuzoom au kuprint image yako...kwasababu pixel ni resolution tu..ndomana unawesa shoot kweny 8MP na mambo yakawa vzr tu kama una sensor nzuri..hata 5MP inatosha kwa simuNimetumia redmi note 8 yenye 48mp kabla nilikuwa galaxy s8 lakini sikuona tofauti
Urnxy 7.3Ulinipa za parot zikagoma zote.
Ok thax, Kwa iyo itakua tofauti ki quality na hii niliyoiweka!?Anhaa basi usjal nakupa nikita 2.0,1.7 pia urnyx 7.3 na mgc 8.1 hapo huchomoki..ngoja narudi
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Probably mana hizi nlizokupa zina configs files zake utakuja kuziweka..znabeba best settingOk thax, Kwa iyo itakua tofauti ki quality na hii niliyoiweka!?
Ok kesho naweka bando afu ntakutafuta.Probably mana hizi nlizokupa zina configs files zake utakuja kuziweka..znabeba best setting
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Nimeinstall imegoma kufungukaUrnyx05: GCam_7.3.018_Urnyx05-v2.5.apk
Download GCam_7.3.018_Urnyx05-v2.5.apk by Urnyx05.www.celsoazevedo.com
Pakua hapo..kama itakubali fresh nambie nikupe na configs file zake
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Hapana..mkuu...mpaka sasa hakuna..na ingekuepo basi ungeona developers wanaport hiyo camera ya simu kweny simu zingine...google peke yake ndio mweny camera iliyo ported kwa simu zingine zote...imagine mpka one plus kaanza kuiwekea limitation gcam kweny update mpya..na watu wakwawashia moto kweny forum yao..waache ukuda watoe limitations
Ukiona gcam haijatoa picha nzuri jua setting zako hazipo vzr...au gcam hiyo sio nzur kwa simu yako...ndiomana kuna configs files skuiz kwaajil ya setting nzur kama huwez kuiset mwenyew...
Mpaka sasa hakuna stock inafanya maajabu ya gcam
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Kusaidiwa ndio kitu hawakupenda...kwao wakaona ni kufeli...sasa walifanya hivi kwa lengo gani,badala ya kushukuru camera zao utopolo zimesaidiwa??
Kusaidiwa ndio kitu hawakupenda...kwao wakaona ni kufeli...
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
mkuu Habari yakoKusaidiwa ndio kitu hawakupenda...kwao wakaona ni kufeli...
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Nilikupa zipi?
Mbona note 8 una support gcam nying sana mkuu
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Bro nipe link ya GCam kwa infinix note 8i bro... ingawaje hawa jamaa wanajitahidi sana kwa camera
Jarbu hii 8.1 ya BSG