Kwani wewe hufahamu kiwango kidogo cha akili ya huyo mbunge mlinga
KhaaaHizi ndo akili za kukaa meza moja na Accacia kujadili kuhusu mikataba.
Na mawaziri wote na manaibu waziri je??Wabunge wanaotegemewa na CCM kwa sasa ni Milinga, Msukuma na Lusinde
Hivi unadhani ma wap hawalipi kodi?? Kodi zenu! Kodi zenu!!Wanakula kodi zetu hao.. Inasikitisha sana
nahisi kama kachanganyikiwa nowadays maana cjaelewa alisimama kuchangia point ipi ili iwekwe kama kumbukumbu.Uyo mbunge ni janga iv Anakula posho kwel ya bunge?
Yule wa sanamu la diamond?huyu ndie alichukua nafasi ya mama yake Celina Kombani