Pre GE2025 DSM Golugwa: Hatujawahi kusema tunataka Kupindua Serikali bali kupinga mifumo mibaya ya uchaguzi, na hii ndio maana ya Uasi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,868
6,807

View: https://www.youtube.com/live/H2WF6FYA97Q




GOLUGWA: HATUJAWAHI KUSEMA TUNATAKA KUPINDUA SERIKALI
Naibu Katibu Mkuu Bara – CHADEMA), Amani Golugwa akizungumza na Wanahabari leo, Aprili 11, 2025 katika Makao Makuu ya Chama Mikocheni, amesema Chama chake hakijawahi kutoa tishio la kutaka kuipindua Serikali wala kutishia maisha ya Rais.


GOLUGWA: MBONA MAMLAKA ZIPO KIMYA KUHUSU KAULI YA CHADEMA KULETA VIRUSI VYA EBOLA?
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimehoji ukimya wa Mamlaka za Serikali kuhusu kauli iliyotolewa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya #CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla aliyedai CHADEMA inachangisha fedha kwenda kununua Virusi vya Ebola na Mpox.

Hoja hiyo imetolewa na Naibu Katibu Mkuu Bara – CHADEMA, Amani Golugwa, Aprili 11, 2025 alipozungumza na Wanahabari, akizitaka mamlaka kuchukua hatua kwa kuwa kauli hiyo inaichafua Nchi katika sekta mbalimbali.


GOLUGWA: POLISI TUNAWAHESHIMU ILA MSITUPANGIE
Naibu Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, Amani Golugwa ametoa wito kwa Jeshi la Polisi kuelewa lugha za Kisiasa zinazotuka kwa kuw anyingine hazimaanishi vile inavyotamkwa, amesema hayo leo Aprili 11, 2025 alipozungumza na Wanahabari
 
Tunakila sababu kama wapenda demokrasia duniani kupeperusha malalamiko yetu kila pande na kila pembe ya dunia kupitia page ya mitandao ya kijamii ya media kubwa duniani tukielezea ulimwengu kinachojili kwa waswahili.

Tukipeperusha #tag ya Free TAL ikifuatiwa na great campaign yetu ya No reforms no election

Tunataka umma wa wapenda demokrasia duniani kote wajue kinachoendelea hapa Tanganyika

Tupaze sauti zetu,Muda wa wadharimu kuyeyuka ni sasa
 
Hayo matamko hayana tija yashatolewa sana ushauri wa marehemu lowassa cha ki-graduate kutoka siasa maji taka za kiharakati kuwa siasa ya malengo ya kushika dola...
 
Tutakutana Kwa Wananchi na Mahakamani huko kotee ni jukwaaa ndo Linapamba moto

No Reform No ELECTION !!!
 
Hayo matamko hayana tija yashatolewa sana ushauri wa marehemu lowassa cha ki-graduate kutoka siasa maji taka za kiharakati kuwa siasa ya malengo ya kushika dola...
 

Attachments

  • 6026553-bf15b8f6f927c72fa16d6bb328a5e41f.mp4
    14.1 MB
Back
Top Bottom