LGE2024 Godbless Lema: Kanuni za Uchaguzi 2024 ni za Kihuni, Hatuwezi Kususa, Kamati Kuu Imeazimia Kupambana na Kushinda Uchaguzi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
May 16, 2024
402
991
Godbless Lema, kiongozi wa CHADEMA, amefichua mazungumzo yaliyofanyika katika kikao cha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mohammed Mchengerwa, pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, na Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo. Akidai kuwa kama CHADEMA wapo tayari kupambana na Kanuni za Uchaguzi wa 2024 alizoziita ni za Kihuni.

Lema alisema, “Kanuni za kihuni sana, lakini tunakubaliana ndani ya Kamati Kuu kwamba tutapambana. Wizi umewekwa kwenye kanuni za uchaguzi wa 2024. Ukweli ni kwamba hatuwezi kususa uchaguzi kwani watu wana ari ya kupambana na hizo kanuni za kihuni na kushinda uchaguzi.”
Soma, Pia:
Je, umeziona na kuzisoma Kanuni mpya za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa?
Rasimu ya Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Mtaa na Wajumbe wa Kamati ya Mtaa Katika Mamlaka za Miji za Mwaka 2024
Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka za Wilaya za Mwaka 2024
 
Godbless Lema, kiongozi wa CHADEMA, amefichua mazungumzo yaliyofanyika katika kikao cha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mohammed Mchengerwa, pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, na Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo. Akidai kuwa kama CHADEMA wapo tayari kupambana na Kanuni za Uchaguzi wa 2024 alizoziita ni za
Muungwana na hivi alitegemea alete fujo kwenye maandamano haramu yaliyoshindwa, ili apate sababu ya kutorokea nje nchi kubuma, ataongea yote saiv 🤣

aise haya maisha bana dah 🐒
 
Kwa lugha rahisi, "binti huyu ana ukimwi lakini lazima nimle"

Akili za jiniazi Lema.
 
Hawa watu wanashangaza. Kanuni ni mbaya halafu wanaenda kushiriki. Wakipigwa wanaanza kulia lia. Kwanini tusiseme kuwa hizo Kanuni zipo vizuri ndiyo maana wamekubali kushiriki.
Hawa watu waaache njaa, waache kujiangalia wao. Yaani wao shida wao wapate, wakipata wao hamna shida. Kama. Kanuni mbaya waache CCM wagombee pekee yao
 
Muungwana na hivi alitegemea alete fujo kwenye maandamano haramu yaliyoshindwa, ili apate sababu ya kutorokea nje nchi kubuma, ataongea yote saiv 🤣

aise haya maisha bana dah 🐒
Boni Yai kashinda uenyekiti wa Kanda ya Pwani una maoni gani ? Maana povu lilikutoka sana mpaka ukaanzisha uzi humu.
Na leo katoka kwa dhamana. Unasemaje ???
Enzi za kutafuta uhuru watu wenye fikra za kubeza harakati za watu kama nyinyi mnge..............
 
Godbless Lema, kiongozi wa CHADEMA, amefichua mazungumzo yaliyofanyika katika kikao cha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mohammed Mchengerwa, pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, na Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo. Akidai kuwa kama CHADEMA wapo tayari kupambana na Kanuni za Uchaguzi wa 2024 alizoziita ni za Kihuni.
Mnapqmbana vp wakati anaehebu kura ni mwingine,anaetangaza ni mwingine.
 
Boni Yai kashinda uenyekiti wa Kanda ya Pwani una maoni gani ? Maana povu lilikutoka sana mpaka ukaanzisha uzi humu.
Na leo katoka kwa dhamana. Unasemaje ???
Enzi za kutafuta uhuru watu wenye fikra za kubeza harakati za watu kama nyinyi mnge..............
🤣 Kumbe?
baada ya yule ustadhi kusense kafara akajitoa kwenye kinyanganyiro sio ?

ndio wale niliowaona juzi wakishangilia sana nini? walikua kama wat 80 hivi right?

mbona watu walikua wachache sana aise, kwenye tawi langu hapa kitaa la club bingwa Tanzania linawajumbe zaidi ya mia4, kulikoni kanda mko 80 tu gentleman?🐒

ameshinda kwa kura ngapi sasa au amepita bila kupingwa 🤣
 
🤣 Kumbe?
baada ya yule ustadhi kusense kafara akajitoa kwenye kinyanganyiro sio ?

ndio wale niliowaona juzi wakishangilia sana nini? walikua kama wat 80 hivi right?

mbona watu walikua wachache sana aise, kwenye tawi langu hapa kitaa la club bingwa Tanzania linawajumbe zaidi ya mia4, kulikoni kanda mko 80 tu gentleman?🐒

ameshinda kwa kura ngapi sasa au amepita bila kupingwa 🤣
Hunaga hoja wewe
 
Huu ndiyo ushujaa! Usiache kulima shamba (Tanzania) la mihogo(kura) eti kwa kuhofia Nguruwe (Chama pendwa) watatafuna mihogo.
Ukijipanga vizuri unaweza kulilinda shamba lisiliwe.
 
Godbless Lema, kiongozi wa CHADEMA, amefichua mazungumzo yaliyofanyika katika kikao cha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mohammed Mchengerwa, pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, na Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo. Akidai kuwa kama CHADEMA wapo tayari kupambana na Kanuni za Uchaguzi wa 2024 alizoziita ni za Kihuni.

Lema alisema, “Kanuni za kihuni sana, lakini tunakubaliana ndani ya Kamati Kuu kwamba tutapambana. Wizi umewekwa kwenye kanuni za uchaguzi wa 2024. Ukweli ni kwamba hatuwezi kususa uchaguzi kwani watu wana ari ya kupambana na hizo kanuni za kihuni na kushinda uchaguzi.”
Soma, Pia:
Je, umeziona na kuzisoma Kanuni mpya za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa?
Rasimu ya Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Mtaa na Wajumbe wa Kamati ya Mtaa Katika Mamlaka za Miji za Mwaka 2024
Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka za Wilaya za Mwaka 2024
Hivi Lema aliefeli kidato cha tano anao uwezo wa kuelewa kanuni kweli ?
 
Muungwana na hivi alitegemea alete fujo kwenye maandamano haramu yaliyoshindwa, ili apate sababu ya kutorokea nje nchi kubuma, ataongea yote saiv 🤣

aise haya maisha bana dah 🐒
🌈
 
Back
Top Bottom