Gigy Money: Niko kwenye uhusiano wa kimapenzi na Gardner kwa miezi 6 sasa

Huyo career ndo anaempa laki 500000 kwa siku au na ukichanganya na anayutumia Gardner mwenyewe laki kwa siku jumla. Laki6 bwana mkubwa inamtoka daaaa
 
Sasa sponsor wake anatumia laki wakati Gigi anamsema yeye kwa siku anapewa laki tano kweli gig nati zimelegea mawingu kweli huyu
 
Bila shaka Huyu dem kichwa yake haipo vizuri
Mara aseme anauza nyapu,Mara anataka kucheza porn, Mara katembea na masuperstar wa bongo, nk......
Hayuko sawa kabisa na haihitaji hata vipimo,si huyu ndio alisema hafanyi na hapendi mapenzi ila ana mwanaume anaye mpa 500000/-bure bure daily, nikitaka kujiuliza huyo mtu ndio huyo aliye mtaja hapo juu, Binti kila siku ana kauli mpya tofauti na ya jana,ame ingia kwa nguvu sana kwenye fani yake ila kupotea nako huwa kuna kuwaga hivyo hivyo na tusubiri.
 
Mwezi wa February si alichepuka na huyu Gardner kweli kaisha
ImageUploadedByJamiiForums1463243993.537664.jpg
 
Gigy taratibu we binti... nimeona clip binti kadhalilishwa na wakaka wawili so sad mwee nyie mabinti jiheshimuni kwanini mnajitafutia madonda ndugu ya kudumu aah
 
Back
Top Bottom