Ghetto linapoteza raha yake ukifika 30's, nyumba ya kupanga inakupa stress ukivuka 40's, jibane unavyoweza uwe na nyumba yako.

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Jun 28, 2024
503
1,421
Mahitaji makuu matatu ni Chakula, nguo na Malazi

Usipokuwa na kwako ni sawa na kuazima nguo au kula kwa jirani

Tafuta kiwanja chako mapema hata kama ni nje ya mji anza taratibu kujenga kwako.

Maisha ya Ghetto huwa ni ya kuanzia kwa vijana wengi wadogo wanapoondoka makwao lakini hoo stage ina ukomo wa muda wake, ukifika 30 haupo conforable

Wengi baada ya kuhama mageto wanaenda kupanga nyumba nzima lakini na huku kuna ukomo wake, ukifika 45 ni stress
 
Mahitaji makuu matatu ni Chakula, nguo na Malazi

Usipokuwa na kwako ni sawa na kuazima nguo au kula kwa jirani

Tafuta kiwanja chako mapema hata kama ni nje ya mji anza taratibu kujenga kwako.

Maisha ya Ghetto huwa ni ya kuanzia kwa vijana wengi wadogo wanapoondoka makwao lakini hoo stage ina ukomo wa muda wake, ukifika 30 haupo conforable

Wengi baada ya kuhama mageto wanaenda kupanga nyumba nzima lakini na huku kuna ukomo wake, ukifika 45 ni stress
Hayo ni mawazo ya kizamani ambayo naona yamepitwa na muda.
Kwa sasa hivi, watu wote wanaoishi katika halmashauri za manispaa, walazimishwe kuishi kwenye nyumba zinazokidhi viwango.
Kwa kuanzia, wafanyakazi wa serikali wote wanaoishi mijini wangejengewa makazi na kukatwa mshahara kwa ajili ya makazi.
Watu milioni 6 tu Dar ndiyo tuishi hadi Mvuti? Tujirekebishe kimawazo.
 
Mahitaji makuu matatu ni Chakula, nguo na Malazi

Usipokuwa na kwako ni sawa na kuazima nguo au kula kwa jirani

Tafuta kiwanja chako mapema hata kama ni nje ya mji anza taratibu kujenga kwako.

Maisha ya Ghetto huwa ni ya kuanzia kwa vijana wengi wadogo wanapoondoka makwao lakini hoo stage ina ukomo wa muda wake, ukifika 30 haupo conforable

Wengi baada ya kuhama mageto wanaenda kupanga nyumba nzima lakini na huku kuna ukomo wake, ukifika 45 ni stress
Sawa...
 
Wale wanaolipa usd 3000 kwa mwezi kule masaki wana stress gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom