The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,543
Habari zenu, nilikuwa naomba kufahamishwa ni kiasi gani cha fedha kinahitajika hili mtu aweze kuipata fomu ya kugombea ubunge?
Tshs. 500,000 NEC......
Kwenye vyama inategemea na chama.....