Informer JF-Expert Member Jul 29, 2006 1,599 6,670 Jul 7, 2016 Thread starter #41 Kazi ya defender imedhihiri hapa
Nyani Ngabu Platinum Member May 15, 2006 94,253 122,342 Jul 7, 2016 #46 Hmm...hiyo penati ya mashaka!
Karne JF-Expert Member Jun 13, 2016 8,046 13,398 Jul 7, 2016 #50 Kumekuchaaaaa lakini team France mapigo ya mioyo yetu tunayajua wenyewe.
NGURI PORI JF-Expert Member Oct 29, 2011 3,053 3,259 Jul 7, 2016 #51 duuh mpira mchezo wa ajabu saana ..
Informer JF-Expert Member Jul 29, 2006 1,599 6,670 Jul 7, 2016 Thread starter #53 mandella said: duuh mpira mchezo wa ajabu saana .. Click to expand... Yaani, hata sekunde kwenye soka ina maana kubwa
mandella said: duuh mpira mchezo wa ajabu saana .. Click to expand... Yaani, hata sekunde kwenye soka ina maana kubwa
WANtEd86 JF-Expert Member Dec 12, 2014 573 325 Jul 7, 2016 #55 Last week boateng alishika wakapona kwa penati..leo tena wameshika
Papushikashi JF-Expert Member Feb 28, 2016 10,957 13,280 Jul 7, 2016 #56 Edson said: Penat nyepesi sana.... Click to expand... Kivipi
Yugu JF-Expert Member Dec 18, 2014 1,080 329 Jul 7, 2016 #58 Edson said: Penat nyepesi sana.... Click to expand... mshaanza maneno
Leonard Robert JF-Expert Member Apr 22, 2011 11,123 7,372 Jul 7, 2016 #59 Wamebebwa..lakini kipigo kipo pale pale
Kaizer Platinum Member Sep 16, 2008 25,324 17,845 Jul 7, 2016 #60 Yugu said: mshaanza maneno Click to expand... nyepesi sana ile