I wish I KUDU BE...
habar wakuu,
Serikal ya JPM imetenga zaid ya bilion 6 kuchimba visima na kusambaza maji kutoka ziwa victoria wilayani chato mkoani Geita
source:itv
hahahahaha hichi ndicho walicho kisema ITV ? HAHAHAHAHAHAhabar wakuu,
Serikal ya JPM imetenga zaid ya bilion 6 kuchimba visima na kusambaza maji kutoka ziwa victoria wilayani chato mkoani Geita
source:itv
Kama sikosei tayari kuna ikulu ndogo huko chattleMimi nasubiri state house ihamishiwe chato maana hamna namna sasa
Ukiwa pale Chato ziwa unaliona kabisa..kuna wakulima wa nyanya huwa wanavuta maji kwa ajili ya mashamba yao...sasa kuchimba visima vya nini wakati wamaweza sambaza kwa kuweka mitambo tuu...well labda maji ya ziwa hayaruhusiwi!hio ndio hatma ya nchi hii ni kuchimba visima tu na kujaza mashimo kila pahala, badala ya kuwa innovative na kuweka mitambo ya maji ya kisasa nchi nzima tanzania inarudi nyuma, kisha ati viwanda kichekesho kikubwa hiki.
jaza mashimo ya visima chato kisha tenga pesa uje ujaze mashimo daresalama na endelea na nchi nzima hehe
Mleta mada mwenyewe umemuelewa?,anasema mradi wa.visima na kusambaza Maji Kutoka ziwa Victoria. Tushike lipiUkiwa pale Chato ziwa unaliona kabisa..kuna wakulima wa nyanya huwa wanavuta maji kwa ajili ya mashamba yao...sasa kuchimba visima vya nini wakati wamaweza sambaza kwa kuweka mitambo tuu...well labda maji ya ziwa hayaruhusiwi!
Acha kuchafua kingereza. Chality begins siyo begin. Hiyo inawakilisha third personal pronoun singularWanasema charity begin at home japo mmmmmmh maji chato uwanja wa ndege chato MSD kuubwa chato duh
Swari nzuri ila ungemuuliza muhusika nahisi angekupa jibu la kibabe.....Why Chato everyday?Inamaana hao ndio wanahitaji huduma sana kuliko wengine?
Umedhihirisha kuwa ni kweli TCU haijakosea maana badala ya kuweka facts na jinsi habari unavyoijua umeishia kuongea maneno ya chumbaniTCU haijakosea kabisa, namna michango ya watu humu ilivyo? Yaani hawaulizi hata kutaka kujua huo mpango ulikuwa wa lini, unajumuisha sehemu gani nyingine za nchi, je kuna sehemu au wilaya myingine zina miradi ya maji mikubwa kama hiyo, je Chato kuna shida au uhaba wa maji, wenyewe ni kutaka kuona watu wa Chato hawa enjoy haki zao kama wananchi wengine wa nchi hii kwa vile tu mtoto wao amekuwa Rais wa nchi. Kufikiri kweli kazi lakini kama imekuwa kazi kubwa namna hii hata kwa watu ambao wana nafasi ya kupata taarifa sahihi wakiwa wamekaa mbele ya gadget zao, basi tuna tatizo kubwa zaidi. Tumekuwa watu wa kupenda uzushi, uongo, uzandiki, fitina na uchonganishi utadhani katika hilo kuna la maana tutakalovuna. Haya tuendelee na kuzikiji haja ya hamu na ashki zetu. Wanasema zoea zoea watu utakuja zoea majini. Endekezeni endekezeni ashki zenu mtakuja kupata ashki za ushoga!
YOUR WISH IS GRANTED, welcome Chato my brothers and sisters kuna maziwa na asaliI WISH I COULD BE CHATO BOY