Gari za Masoud Kipanya zimeishia wapi? Mbona hatuzioni barabarani? Je, bado hajakidhi vigezo au kuna ya gizani tusiyoyajua?

Mr Why

JF-Expert Member
Nov 27, 2019
2,362
4,499
Gari za Masoud Kipanya zimeishia wapi? Mbona hatuzioni barabarani? Je bado hajakidhi vigezo au kuna ya mvunguni tusiyoyajua?

Miaka kadhaa iliyopita Masoud Kipanya alizindua gari na habari zikasambaa kila kona ya nchi lakini jambo la kushangaza mpaka sasa ukimya umetawala wala hatujui kinachoendelea, je ameachana na maswala ya kuunda magari au bado hajakidhi viwango? Au kuna ya gizani tusiyoyajua?
1000090090.jpg


View: https://youtu.be/gaiH0-gLX64?si=YOoEeDpH6R6aIt9t
 
Gari za Masoud Kipanya zimeishia wapi? Mbona hatuzioni barabarani? Je bado hajakidhi vigezo au kuna ya mvunguni tusiyoyajua?

Miaka kadhaa iliyopita Masoud Kipanya alizindua gari na habari zikasambaa kila kona ya nchi lakini jambo la kushangaza mpaka sasa ukimya umetawala wala hatujui kinachoendelea, je ameachana na maswala ya kuunda magari au bado hajakidhi viwango? Au kuna ya gizani tusiyoyajua?
View attachment 3278599
Nishakutana nayo moja maeneo ya kinondoni januari mwaka huu.
Sema KP namkubali ana uthubutu
 
Hio gari bado ipo barabarani ikifanyiwa majaribio na maboresho kadhaa mfano imeongezwa ukubwa wa bodi na maboresho ya betri

Kufanyiwa majaribio barabarani ni matakwa ya kisheria na hivyo itakuwa sokoni baada ya muda wa majaribio kwisha.
Tayari ana oda kadhaa ila hawezi kuanza kuuza kwa sasa.
Haya ni maelezo yake aliyatoa Clouds mwaka huu nilimsikia mwenyewe.
 
Back
Top Bottom