Abdul kalaam
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 441
- 565
Habari wadau.
Nimekuwa nikipata changamoto sana kwenye kuchagua gari hizi za kutoka dar kwenda musoma. kila gari ninayopanda inashinda mwenzake kwa ubovu.
Naomba msaada wenu wadau, kampuni gani ina gari nzuri?
Nimekuwa nikipata changamoto sana kwenye kuchagua gari hizi za kutoka dar kwenda musoma. kila gari ninayopanda inashinda mwenzake kwa ubovu.
Naomba msaada wenu wadau, kampuni gani ina gari nzuri?