Gambo, kama ni mkusanyiko usio halali mbona wafiwa umewaacha?

Utakuwa huwajui viongoz wadin wasasa wanavotumika kisiasa.hata hao viingoz wadin walioenda niwapumbavu kwan lazima wao waende na viongoz wakisiasa?kwqnn hawajaenda wenyewe kama viongoz wadin
na ndo wanazibitisha lile lilikuwa kusanyiko tena lisilo halali
 
mwendelezo Wa vitu vya kijinga na kihuni wanadhani mtu ndio anahukumu ujue si binadamu huwa tunajitoa fahamu huwa najaribu kuwaza tu ivi bongo kuna mtu kama Osama,Gadaffi nk.
 
rambirambi rambirambi, yani nyie mko hatua 800 nyuma, msiba ulishaisha ule, mnataka maisha yasiendelee au? gambo wakae gerezani hao hata mwezi mzima, wapuuzi sana.

Unajua unachoandika au? Kifo huja kwa yeyote Muda wako ukifika nawe utajua Maana ya rambi rambi! Kwa sasa furahia Maana unaishi katika fikra za ubatili! Huwezi kuwa na raha kwa mateso ya wengine asiyo ya haki kwa kuwa si wewe!
 
Serikali yetu ni ya Kihuni.Chuki na visasi ndivyo vimetawala Taifa kwa sasa.Unathubutu kumkamata mpaka mapadre,wachungaji na Mashekhe anajua maana yake?

Kama kuna watu wanatetea wajue wanalileta Taifa laana isiyo Na sababu.
Well said mkuu, ila Mungu awalaani kina Gambo na askari wake, alisamehe taifa letu
 
sheria mliyovunja mtaijua mahakamani. mambo kama hizi ndo makonda anapozidigi credit maRC wengi.
Crap,ndio maana kila siku jamhuri inabwagwa kesi mahakamani,mpaka tunaona mawakili wa serikali ni vilaza!Sasa wakili anaenda kusimamia kesi ambayo haina kichwa wala miguu,unategemea nini zaidi ya kudhalilishwa utafikiri hajasoma sheria kumbe ni uvilaza wa viongozi wasio na akili!Ndio maana Lissu anawabwaga kila kesi mnayomshtaki nayo,mwisho wa siku jamhuri inakimbia kesi na kuingia mitini!
 
rambirambi rambirambi, yani nyie mko hatua 800 nyuma, msiba ulishaisha ule, mnataka maisha yasiendelee au? gambo wakae gerezani hao hata mwezi mzima, wapuuzi sana.
Unajua maana ya kuisha kwa msiba kwa mila zetu? Wale watu waliokusanyika pale shuleni walizuia mambo gani kuendelea? Ujinga mtupu...
 
kwa hiyo unadhani sijawahi kufiwa? pole sana kwa kuwaza emotional na si objectively. ukweli lazima usemwe tena ukweli mzuri unasemwa mapema, watoto washapumzika na tuliwapa heshima zote. ile ni shule madarasa lazima yarudi nyie mnaenda kufanya siasa. nadhani wangeenda kwa wafiwa nyumbani na sio kusanyiko serious na waandishi wa Habari juu, na natamshi ya Lazaro wenu ni fake news. gambo usiwaachie hao mwezi mzima

Tutajie SHeria iliyovunjwa,amasivyo na wewe ni wale wale wa 'KKK' mnaopiga makofi hata mtu akinya barabarani,mradi ni CCM basi unapiga makofi tu kama hayawani.Kiafrika msiba hauishi ndugu,na kama hao wmailiki wa shule wanachama chao kwanini wasiende kwa mwenzao aliyepatwa na shida kumpa pole??Kwani kufiwa ni lazima awe amefiwa na mtoto au ndugu??

Huoni kwamba mwenye shule anahaki ya kutembelewa na kupewa pole na wamiliki wenzake maana amefiwa na wanafunzi,dereva na walimu wake??

Ni akili ya KISHETANI tu itafanya kazi kama Gambo,maana kuna siku hata shetani atawaruka,wezi na walarushwa wakubwa nyie,mmekosa pakukata sasa mmeanza na RAMBIRAMBI mnatafuta laana za bure
 
Ok, well, let me remind you!

Boss wako amekataza mikutano ya nje, hajakataza watu wasifanye siasa.
Kwa vile una hicho cheo cha ukuu wa mkoa, usidhani kuwa hatuwezi kukung'oa hapo! Bashite tumemshindwa kwa kuwa alikimbia kulilia madhabahuni, na huenda Mungu wake alimsikia akamsaidia. Sasa tutakapoanza kukurushia makombora mazito mazito, sijui utaenda kulilia wapi.

Tumeshakupima, tumejua wewe ni mwepesi kuliko unyoya! So watch out!
Unapokataza wanasiasa wenzako wasifanye siasa, unataka wakazifanyie bafuni? Au chumbani na wake zao? No way? Siasa lazima ifanyike kwenye political platforms.

Unachokifanya ni kuboronga kwa kuwanyima watu haki zao za kikatiba kama 'freedom of association' na kwa hili pia unaweza kuwa matatizoni kwa kuvunja katiba.

Hili ni onyo la mwisho napenda kukupa.

Your consistent breach of our highly esteemed pillars of democracy and consistent interruption of human rights will dearly cost you soon! Watch out!
 
Kweli kabisa Mkuu.Unaweka mahabusu mpaka viongozi wa dini nimeshangaa sana,jinsi Mkuu wa Mkoa alivyo na nguvu kuliko
Hizo siyo nguvu ni uhayawani na kupandikiza chuki katika jamii. Mkuu, ulishawahi kutumia au kuona bomu la mkono linavyolipuka? Likilipuka huwa halina mwelekeo maalum. Hata mrushaji ukitangatanga linakuua. Sasa hawa jamaa wanachokifanya wanafikiri wao wapo salama.
 
Sijui ni kichwa cha panzi au ni ukorofi, au ni ugumu wa kuelewa simple instructions? Ok, well, let me remind you!
Boss wako amekataza mikutano ya nje, hajakataza watu wasifanye siasa.
Kwa vile una hicho cheo cha ukuu wa mkoa, usidhani kuwa hatuwezi kukung'oa hapo! Bashite tumemshindwa kwa kuwa alikimbia kulilia madhabahuni, na huenda Mungu wake alimsikia akamsaidia. Sasa tutakapoanza kukurushia makombora mazito mazito, sijui utaenda kulilia wapi.
Tumeshakupima, tumejua wewe ni mwepesi kuliko unyoya! So watch out!
Unapokataza wanasiasa wenzako wasifanye siasa, unataka wakazifanyie bafuni? Au chumbani na wake zao? No way? Siasa lazima ifanyike kwenye political platforms.
Unachokifanya ni kuboronga kwa kuwanyima watu haki zao za kikatiba kama 'freedom of associatio' na kwa hili pia unaweza kuwa matatizoni kwa kuvunja katiba.
Hili ni onyo la mwisho na penda kukupa.
Your consistent breach of our highly esteemed pillars of democracy and consistent interruption of human rights will dearly cost you one day! Watch out!
Aiseeeeeee
 
Sijui ni kichwa cha panzi au ni ukorofi, au ni ugumu wa kuelewa simple instructions? Ok, well, let me remind you!
Boss wako amekataza mikutano ya nje, hajakataza watu wasifanye siasa.
Kwa vile una hicho cheo cha ukuu wa mkoa, usidhani kuwa hatuwezi kukung'oa hapo! Bashite tumemshindwa kwa kuwa alikimbia kulilia madhabahuni, na huenda Mungu wake alimsikia akamsaidia. Sasa tutakapoanza kukurushia makombora mazito mazito, sijui utaenda kulilia wapi.
Tumeshakupima, tumejua wewe ni mwepesi kuliko unyoya! So watch out!
Unapokataza wanasiasa wenzako wasifanye siasa, unataka wakazifanyie bafuni? Au chumbani na wake zao? No way? Siasa lazima ifanyike kwenye political platforms.
Unachokifanya ni kuboronga kwa kuwanyima watu haki zao za kikatiba kama 'freedom of association' na kwa hili pia unaweza kuwa matatizoni kwa kuvunja katiba.
Hili ni onyo la mwisho napenda kukupa.
Your consistent breach of our highly esteemed pillars of democracy and consistent interruption of human rights will dearly cost you one day! Watch out!

Anajua kusoma na kuandika tu,muonee huruma
 
Back
Top Bottom