agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,401
Uzuri wa JF unaweza kuwa na Id hata tano
Unaanzisha mada then unarudi na kuijibu mwenyewe.
Uzuri wa JF unaweza kuwa na Id hata tano
Unaanzisha mada then unarudi na kuijibu mwenyewe.
tuendelee na kilimo tu babe haya mambo tunaweza kuja laza watoto njaa. tukajikuta tnatembea barabarani huku tunatoa misonyo tu![]()
![]()
tukawekeze babe
tuendelee na kilimo tu babe haya mambo tunaweza kuja laza watoto njaa. tukajikuta tnatembea barabarani huku tunatoa misonyo tu![]()
![]()
Mnaanzisha mada na kujijibu wenyewe.
Nanusa harufu ya 'DESI' mpya
Uzuri wa JF unaweza kuwa na Id hata tano
Unaanzisha mada then unarudi na kuijibu mwenyewe.
Nimeshataja apo inclusive fx au inclusive forex je hujui forex ni nini?ungesema mnafanya biashara gani????? sio kusema wekeza utapata kila siku, mnaweza kuwa mnauza watu 😄 😄 😄 😄
ila wasubiri vijana wa makonda wapenda vitonga waje
*MAELEZO YA FURSA YA INCLUSIVEFX.COM*
*Unachotakiwa ni kuwa na mtaji wako kuanzia dollars 50$ yaan sh.130000/= na kuendelea na watakulipa kila siku asilimia 1.6% hadi asilimia 2% ya pesa ambayo umewekeza. Kwa mfano soma hapa chini👇👇👇👇👇👇👇*
✅ Ukiwekeza 130000/= watakulipa sh. 2080 kila siku. 👈
✅Ukiwekeza laki mbili watakulipa sh. 3200 kila siku
✅Ukiwekeza sh.260000 watakulipa sh. 4160 kila siku.
✅Ukiwekeza Laki nne watakulipa sh.6400/= kila siku
✅Ukiwekeza laki tano watakulipa 8000 kila siku
✅Ukiwekeza milion moja watakulipa sh. 16000/= kila siku.
✅Ukiwekeza milion mbili watakulipa sh. 32000/= kila siku
✅Ukiwekeza million tatu watakulipa sh.50000/= kila siku.
✅ukiwekeza million nne watakulipa sh. 66000/= kila siku.
✅ukiwekeza million tano watakulipa sh. 82500/= kila siku.
✅ukiwekeza million sita watakulipa sh. 99000/=
✅Ukiwekeza million nane watakulipa sh. 132000/= kila siku.
✅ukiwekeza million kumi watakulipa sh. 165000/= kila siku.
✅ukiwekeza million ishirini watakulipa sh.330,000/= kila siku.
✅ukiwekeza million thelathini watakulipa sh. 510,000/= kila siku.
Kumbuka kadri unavyozidi kuongeza mtaji na malipo. yanaongezeka,, mkataba ni siku 125, 130, 140 na siku 150. Unaendana mtaji uliowekeza. , Malipo ni kila siku j3 hadi ijumaa. KARIBUNI SANA INCLUSIVEFX.COM. fursa ya uhakika *IPO TOKA MWAKA 2016*
*kwa mawasiliano zaidi piga/text/whatsapp no: 0754921797/0652990222*
NB: wale waliokua interested tu
ndugu wewe ni mgeni sana hapa JF na nadhani pia ni mgeni kwenye biashara ya FOREX, kwa taarifa tu kabla ya kuanza kupost ukidhani JF watu ni mazuzu hebu jaribu kufanya ka utafiti kadoogo mada zinazoendana na yako hapa Jamvini.Nimeshataja apo inclusive fx au inclusive forex je hujui forex ni nini?
Kwanza karibu sana jukwaaniasante kwa reply lakini ni vyema ungefanya utafiti kabla ya kucomment nina mashaka ata hujui nini maana ya forex kwahiyo ni ngumu sana kuelewa. Fuatilia kwanza jambo kabla hujasema chochote huko ndio kujua
nakubalMnaanzisha mada na kujijibu wenyewe.
Nanusa harufu ya 'DESI' mpya
Teh teh labda ni coincidence aisee, "Scami" .. It sounds like Scam hahahhahaha ID hizi bwana
Sasa ww dogo Ontario kwann umeamua kufungua ID mpya tena kwa jina LA kike?*MAELEZO YA FURSA YA INCLUSIVEFX.COM*
*Unachotakiwa ni kuwa na mtaji wako kuanzia dollars 50$ yaan sh.130000/= na kuendelea na watakulipa kila siku asilimia 1.6% hadi asilimia 2% ya pesa ambayo umewekeza. Kwa mfano soma hapa chini*
Ukiwekeza 130000/= watakulipa sh. 2080 kila siku.
Ukiwekeza laki mbili watakulipa sh. 3200 kila siku
Ukiwekeza sh.260000 watakulipa sh. 4160 kila siku.
Ukiwekeza Laki nne watakulipa sh.6400/= kila siku
Ukiwekeza laki tano watakulipa 8000 kila siku
Ukiwekeza milion moja watakulipa sh. 16000/= kila siku.
Ukiwekeza milion mbili watakulipa sh. 32000/= kila siku
Ukiwekeza million tatu watakulipa sh.50000/= kila siku.
ukiwekeza million nne watakulipa sh. 66000/= kila siku.
ukiwekeza million tano watakulipa sh. 82500/= kila siku.
ukiwekeza million sita watakulipa sh. 99000/=
Ukiwekeza million nane watakulipa sh. 132000/= kila siku.
ukiwekeza million kumi watakulipa sh. 165000/= kila siku.
ukiwekeza million ishirini watakulipa sh.330,000/= kila siku.
ukiwekeza million thelathini watakulipa sh. 510,000/= kila siku.
Kumbuka kadri unavyozidi kuongeza mtaji na malipo. yanaongezeka,, mkataba ni siku 125, 130, 140 na siku 150. Unaendana mtaji uliowekeza. , Malipo ni kila siku j3 hadi ijumaa. KARIBUNI SANA INCLUSIVEFX.COM. fursa ya uhakika *IPO TOKA MWAKA 2016*
*kwa mawasiliano zaidi piga/text/whatsapp no: 0754921797/0652990222*
NB: wale waliokua interested tu