Funguka kero au matatizo yako tupeane ushauri

Mie kero yangu ni kuwa na hali ngumu kuchuma baaas sina tatizo lingine
everlyl salt we umekuwa famous sana hapa jf natumaı ungeanzıa hapa hapa kurushıa matangazo yako ya bıashara!!yaanı ht ungepıka maandazı ungepata oda nyıngı za wateja hapa jf.kuna member wengı sana hapa usıunderstımate
 
everlyl salt we umekuwa famous sana hapa jf natumaı ungeanzıa hapa hapa kurushıa matangazo yako ya bıashara!!yaanı ht ungepıka maandazı ungepata oda nyıngı za wateja hapa jf.kuna member wengı sana hapa usıunderstımate
Mtaji sina baba
 
kero yangu ni pesa tu imekimbia.... ns nyie mmekuwa wa bahili..
 
Inanikera sana kuona mkuu wa kaya kila kitu anafanya yeye. Ajira zenyewe chache,alafu na yeye anakaba kila sehemu.

Wamegundulika wafanyakazi hewa weengi,lakini nafasi hizo hatugewi.
 
Mie mwanaume ila nuksi zimeniandama, sina hela, sina kazi maalum, mbaya zaid ndg wamenitenga kubwa kuliko sina mpenzi huwa nadharaulik
 
[quote uid=360670 name="Ksongoro" post=16635615]Mie mwanaume ila nuksi zimeniandama, sina hela, sina kazi maalum, mbaya zaid ndg wamenitenga kubwa kuliko sina mpenzi huwa nadharaulik[/QUOTE]<br /><br />Mweeee poleeee

Hakuna mwenye nux wala mkosi haya mambo ni nature huwa yanayotokea out of the blue!
usiamini kwamba dunia haiko fair kwako
 
Back
Top Bottom