Fundi mahiri wa kunyoosha magari anatafutwa

Hahahahahaa namuonea huruma jamaa natamani hata asiweke picha maana atajuta.
Mie nipo pembeni hapa na popcorns.

Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,najua tu wakuda mpo,mie naziweka hapa nione mafundi wataniambiaje na likipona nakuja kutoa testimony hapahapa
 
Bwahahahaaaaaaaaaaa,mlishindwa kumganga Banda asicheze mirafu yake ya kijinga au kumtafuta mshana jr chama lenu lishinde mmembwela,wenzenu yanga wamemtumia amemroga Banda acheze rafu za kijinga kacheza kweli,mganga wao katumia uchawi wa baharini,nyie mmetumia wanch kavu,wapi na wapi,wakati bahari ni kubwa kuliko nchi kavu hivyo ina mambo mengi sana
 
Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,najua tu wakuda mpo,mie naziweka hapa nione mafundi wataniambiaje na likipona nakuja kutoa testimony hapahapa

Ukiona Hujafanikiwa Kuiweka Hiyo Picha Ya " Mkangafu " Wako Humu Jua Ya Kwamba JF APPS Imesha Sense Kuwa Ni Kitu Kibovu Hivyo Utahatarisha Uharibifu Wa Programs Zao Zingine Humu.
 
Bwahahahaaaaaaaaaaa,mlishindwa kumganga Banda asicheze mirafu yake ya kijinga au kumtafuta mshana jr chama lenu lishinde mmembwela,wenzenu yanga wamemtumia amemroga Banda acheze rafu za kijinga kacheza kweli,mganga wao katumia uchawi wa baharini,nyie mmetumia wanch kavu,wapi na wapi,wakati bahari ni kubwa kuliko nchi kavu hivyo ina mambo mengi sana

Maneno Haya Ungemwambia Mjomba Wako Hapo MAZIMBU Ingependeza Mno Kwani Wao Ndiyo Waliiweka Timu Hapo Morogoro Huku Wakienda Kuchukua Waganga Wa Kiluguru Huko Milimani " Matombo " Na Hatimaye " Tukatomboka " Kweli Na Ngoma Na Tambwe.
 
Ukiona Hujafanikiwa Kuiweka Hiyo Picha Ya " Mkangafu " Wako Humu Jua Ya Kwamba JF APPS Imesha Sense Kuwa Ni Kitu Kibovu Hivyo Utahatarisha Uharibifu Wa Programs Zao Zingine Humu.

Hahahahaaaaaa,kuna mganga kutoka ununio kani-pm kaniambia eti yeye anaweza kulitengeneza bila hata kwenda gereji,eti kaniambia nimtumie advance elf 80 kwa tigo pesa usiku huu huu aanze kazi,asubuhi nikiamka nalikuta lipo fresh mi ni kuliwasha tu na kuendelea na mishe zangu,eti hela zingine kaniambia nitamalia akimaliza kazi usiku huu,eti kweli eti,we si mzee wa mila na desturi zetu?
 
Maneno Haya Ungemwambia Mjomba Wako Hapo MAZIMBU Ingependeza Mno Kwani Wao Ndiyo Waliiweka Timu Hapo Morogoro Huku Wakienda Kuchukua Waganga Wa Kiluguru Huko Milimani " Matombo " Na Hatimaye " Tukatomboka " Kweli Na Ngoma Na Tambwe.

muache uncle wangu sasa hv anapumulia mashine,si unamjua alivyokuwa mpenzi wa simba,nasikia eti manji kamaindi kweli alijua eti goli tano zingerudi lakini wapi
 
Hahahahaaaaaa,kuna mganga kutoka ununio kani-pm kaniambia eti yeye anaweza kulitengeneza bila hata kwenda gereji,eti kaniambia nimtumie advance elf 80 kwa tigo pesa usiku huu huu aanze kazi,asubuhi nikiamka nalikuta lipo fresh mi ni kuliwasha tu na kuendelea na mishe zangu,eti hela zingine kaniambia nitamalia akimaliza kazi usiku huu,eti kweli eti,we si mzee wa mila na desturi zetu?

Ukimuendekeza Huyo Fundi Safari Ijayo Atakuambia Uzikate Hizo " Kende ( P ) " Zako Ili Azibadilishe Ziwe Waya Wa Kunyooshea Hilo Gari Lako. Kuwa Nao Makini!
 
Hihihihiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,eti anasema kashaliona katika rada zake eti linatengenezeka,yaani ananitengeneza niingie kwenye kumi na nane zake kama Banda alivyoingia kwenye kumi na nane za yanga vile
 
Hihihihiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,eti anasema kashaliona katika rada zake eti linatengenezeka,yaani ananitengeneza niingie kwenye kumi na nane zake kama Banda alivyoingia kwenye kumi na nane za yanga vile

Ebhana Ile Beki Ya Yanga Vicent Bousou Noma Kwani Juzi Khamis Kiiza Kila Akigeuka Anapigwa " KONZI " Tu Halafu Mwanaume Anaondoka! Beki Nyeusi Halafu Imekomaa Unadhani Itapitika Kirahisi Hivyo?
 
Ebhana Ile Beki Ya Yanga Vicent Bousou Noma Kwani Juzi Khamis Kiiza Kila Akigeuka Anapigwa " KONZI " Tu Halafu Mwanaume Anaondoka! Beki Nyeusi Halafu Imekomaa Unadhani Itapitika Kirahisi Hivyo?

Yule alikuwa ni mlume wa ndago mkuu,kauzu zaidi ya dagaa,anajua kilichompeleka uwanjani
 
Nifah na GENTAMYCINE eeh,kaeni standby muone mkangafu wangu,naona zile option user friend kwangu mie zimeshakuja,nitafutieni mafundi,nimechoka kutembelea ngondi mie
 

Attachments

  • IMG_20150419_122024_0.pdf
    307.3 KB · Views: 42
Haya mizigo mingine hiyooo,atakayekuja na dhihaka,jibu lake:BABA YAKO ANALO??

CC: Nifah na GENTAMYCINE tenaaaaaaaaaaaaa
 

Attachments

  • IMG_20150419_122043_0.pdf
    601 KB · Views: 42
  • IMG_20150419_122051_0(1).pdf
    421.8 KB · Views: 48
Nimeiona Na Nadhani Kwa UHARIBIFU Huo Nashauri Litengeneze Halafu Liuze Ununue Baiskeli au Pikipiki Zile Za " Batavuzi " Za Kihindi. Dereva Alipona Kweli?
Lol
Hizo 'Batavuzi' ndio zikoje tena wajameni?Ama kweli wewe popoma kiboko!
 
Libebe Mgongoni Uje Nalo Dar Kuna Fundi Mmoja Yupo Gerezani Atalitengeneza. Halafu Siku Hizi Hizo Gari Za Vitz Na IST Huku Dar Zinaitwa " BAJAJI " Sijui Kwa Huko Kwenu Morogoro Mnaziitaje.
Kweli kabisa, tena Dar hii hii Vibajaji nashangaa vinasoko na havishuki bei kama MarkX na Brevis. Nunua brevis nunua na IST baada ya mwaka jaribu kuuza uone, Brevis utaambulia 7M wakati IST unaweza kupata mpaka 9M! People are becoming more cost conscious
 
Back
Top Bottom