Fumbo la uumbaji, roho na mwili uozao

inaonekana umeelewa kila kitu kasoro comment yangu. rudia upya utaelewa.
Mkuu kwa nilivyokuelewa ni kwamba umeomba upate somo la jinsi ya kuzitunza roho zetu. Na suala la kuhusu roho ni la kiimani kutoka kwenye hizo dini,ndipo nilipo uliza tu kwa kutaka kujua hilo somo unalotaka(jinsi ya kutunza roho zetu) liwe tofauti na hizi dini litapatikana vp?
 
Haya ni maoni yangu binafsi kuhusu roho,hayapatikani kwenye kitabu chochote cha kidini wala kisayansi.unawaweza ukayapuuza kama utajisikia kufanya hivo.

nafikiri aliyewaumba wazazi wetu wa kwanza yaani Adam na hawa,aliwawekea uwezo wa kufanya cloning ya roho kupitia tendo la ndoa.

Yaani wakati unafanya tendo la ndoa na mkeo na kumdungisha mimba,zile manii licha ya kwamba zinasafiri na chembembe nyingi za kibinadamu lakini pia zinasafiri na uambikizo wa roho toka kwa baba kwenda kwenye tumbo la uzazi wa mama na kwa mama kwenda kwa mtoto anayezaliwa.

Ile roho inakaa ndani ya mtoto mpaka anazaliwa na mpaka anapokuwa na uwezo wa kujitambua kuwa yeye ni binadamu.
 
24575881fce9c0dd11f5e768a5ee0a3c.jpg


051a43e2aa8851601a4647efc813098c.jpg


Najadili kwa muktadha wa kiimani,

Kwanza kabisa nafikiri hakuna mahali popote kwenye Misahafu ya kidini palipotaja ni udongo gani ulitumika kumuumba kiumbe mwanadamu, kwamba ulikuwa mfinyanzi au upi, vile vile ni kwanini mwanadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu na wanyama ikatamkwa tu na wakatokea lakini wote wana mifupa nyama na damu.

Lakini vile vile kwenye uumbaji huo wa kutumia udongo je hakuna malighafi nyingine ambayo ilitumika kwenye uumbaji? Kwa mfano vitu kama nywele kucha meno nk nk....Uumbaji una siri kubwa..hili litahitaji muda wake tofauti.

Roho ambayo ndio uhai ndio uzima ndio pumzi ni kitu kisichoonekana kwa macho wala hata kwa darubini kali , ni nishati yenye nguvu ya aina yake..na kamwe roho haifi
Mwili bila hiyo nishati roho si chochote na kamwe haukawii kuoza na kuharibika kabisa.

Roho hii ndio uhai wa kila kitu duniani, yaani kuanzia mimea wanyama wadudu na hata vitu vya kutengenezwa na binadamu kama meli madege makubwa kabisa yanayoelea angani magari mitambo na kila kitu cha kushangaza na kustaajabisha.

Hakuna ithibati hata ya kisayansi inayotoa nguvu ya mtambo wowote uweze kufanya kazi sana sana utapewa formula za umeme mfumo wa mafuta mpangilio wa vyuma nk nk lakini mwishowe ile nguvu inayofanya mtambo uweze kunguruma...fumbo liko hapa.

Pumzi ile aliyopuliziwa mwanadamu na kuwa hai ndio pumzi hiyo inayofanya kazi duniani kote na kwenye kila kitu hata ukute mtambo au mashine gani ambayo ni full automatic haikosi mkono wa mwanadamu na hii ndio pumzi husika ya uhai

48c8fb9978531de44943a5869851dfe3.jpg


444e70a1ca05c4af0d4a5eed738e4635.jpg


Tofauti iko hapa mwili hufikia tamati yake baada ya mchakato mrefu lakini kitu cha kutengeneza hubaki kilipo na kama haitatokea nguvu ya kukisogeza kitabaki hapo kikiendelea kufa taratibu hata kife kabisa na kuingia kwenye mzunguko mwingine maisha na uumbaji bila kujali tutapata ukweli kiasi gani kuhusu fumbo la uumbaji roho na mwili uharibikao.

Tuitunze na kuisoma roho zaidi kuliko mwili kwa kuwa ni kutoka katika roho ndio uhai wa kila kitu kilichopo juu ya uso wa dunia hutoka humo.

d14072eb608d76331833f4da6dca16e9.jpg
Mwanadamu anatoka na maneno mawili Mwana-damu. Ukitizama utagundua kuwa kuna neno damu. Maandiko matakatifu katika biblia inaeleza kwa uwazi kuwa uhai wa mwanadamu u katika damu (Sitajadili hili kwa undani). Mwanadamu kwa lugha ya kiingereza anaitwa 'Human' nayo imetoholewa kutoka neno la kiyunani 'Humus-man' (Humus means made of organic material such as decayed leaves and plants). Kwa maana rahisi ni kuwa mwanadamu bila kuwa na roho ni mwili pekee na mwili pekee bila roho unaharibika. A human is a dead body with a spiritual being. Without a spiritual being we call it a humus or a dead body. Nawasilisha
 
24575881fce9c0dd11f5e768a5ee0a3c.jpg


051a43e2aa8851601a4647efc813098c.jpg


Najadili kwa muktadha wa kiimani,

Kwanza kabisa nafikiri hakuna mahali popote kwenye Misahafu ya kidini palipotaja ni udongo gani ulitumika kumuumba kiumbe mwanadamu, kwamba ulikuwa mfinyanzi au upi, vile vile ni kwanini mwanadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu na wanyama ikatamkwa tu na wakatokea lakini wote wana mifupa nyama na damu.

Lakini vile vile kwenye uumbaji huo wa kutumia udongo je hakuna malighafi nyingine ambayo ilitumika kwenye uumbaji? Kwa mfano vitu kama nywele kucha meno nk nk....Uumbaji una siri kubwa..hili litahitaji muda wake tofauti.

Roho ambayo ndio uhai ndio uzima ndio pumzi ni kitu kisichoonekana kwa macho wala hata kwa darubini kali , ni nishati yenye nguvu ya aina yake..na kamwe roho haifi
Mwili bila hiyo nishati roho si chochote na kamwe haukawii kuoza na kuharibika kabisa.

Roho hii ndio uhai wa kila kitu duniani, yaani kuanzia mimea wanyama wadudu na hata vitu vya kutengenezwa na binadamu kama meli madege makubwa kabisa yanayoelea angani magari mitambo na kila kitu cha kushangaza na kustaajabisha.

Hakuna ithibati hata ya kisayansi inayotoa nguvu ya mtambo wowote uweze kufanya kazi sana sana utapewa formula za umeme mfumo wa mafuta mpangilio wa vyuma nk nk lakini mwishowe ile nguvu inayofanya mtambo uweze kunguruma...fumbo liko hapa.

Pumzi ile aliyopuliziwa mwanadamu na kuwa hai ndio pumzi hiyo inayofanya kazi duniani kote na kwenye kila kitu hata ukute mtambo au mashine gani ambayo ni full automatic haikosi mkono wa mwanadamu na hii ndio pumzi husika ya uhai

48c8fb9978531de44943a5869851dfe3.jpg


444e70a1ca05c4af0d4a5eed738e4635.jpg


Tofauti iko hapa mwili hufikia tamati yake baada ya mchakato mrefu lakini kitu cha kutengeneza hubaki kilipo na kama haitatokea nguvu ya kukisogeza kitabaki hapo kikiendelea kufa taratibu hata kife kabisa na kuingia kwenye mzunguko mwingine maisha na uumbaji bila kujali tutapata ukweli kiasi gani kuhusu fumbo la uumbaji roho na mwili uharibikao.

Tuitunze na kuisoma roho zaidi kuliko mwili kwa kuwa ni kutoka katika roho ndio uhai wa kila kitu kilichopo juu ya uso wa dunia hutoka humo.

d14072eb608d76331833f4da6dca16e9.jpg


Quran 15:26 Na tulimuumba mwanadamu kwa udongo mkavu unaotoa sauti(unapogongwa),unaotokana na matope meusi yaliovunda...
 
Sio kwamba msuli tembo matokeo nzi!??
Hahaha, ni mtu mmoja mwenye falsafa ya kujiandaa kimpambano nje na ndani ya uwanja kanakwamba anaweza ingia na vyabo vyakutosha akavitia hata kwenye lux za kaptura usimsanukie. Very creative person indeed
 
Hahaha, ni mtu mmoja mwenye falsafa ya kujiandaa kimpambano nje na ndani ya uwanja kanakwamba anaweza ingia na vyabo vyakutosha akavitia hata kwenye lux za kaptura usimsanukie. Very creative person indeed
Wana falsafa yao kwamba "ni hatar sana kuingia na vyabo kwenye paper,lakini ni hatar zaidi kutokuingia navyo"
 
Haya ni maoni yangu binafsi kuhusu roho,hayapatikani kwenye kitabu chochote cha kidini wala kisayansi.unawaweza ukayapuuza kama utajisikia kufanya hivo.

nafikiri aliyewaumba wazazi wetu wa kwanza yaani Adam na hawa,aliwawekea uwezo wa kufanya cloning ya roho kupitia tendo la ndoa.

Yaani wakati unafanya tendo la ndoa na mkeo na kumdungisha mimba,zile manii licha ya kwamba zinasafiri na chembembe nyingi za kibinadamu lakini pia zinasafiri na uambikizo wa roho toka kwa baba kwenda kwenye tumbo la uzazi wa mama na kwa mama kwenda kwa mtoto anayezaliwa.

Ile roho inakaa ndani ya mtoto mpaka anazaliwa na mpaka anapokuwa na uwezo wa kujitambua kuwa yeye ni binadamu.
Kwahiyo bado ni pale pale kwamba roho ya/za kwanza ndio asili ya uhai wote wa dunia hii hata kwa vile visivyo na roho kwa maana ya damu na pumzi
 
Elimu ya roho utaipata kidogo ktk vitabu km bible na holy quran.lakin mungu pia anasisitiza ktk hvyo vitabu kuhusu suala la roho ni yeye pekee anaeijua zaid.katuwekea mipaka kiasi ya kuijua roho vizuri sio kila kitu awaambie tu.binadam ukijiangalia au ukiangalia wanyama na viumbe hai vingine utastaajab.
Jiulize mzungu kaweza kutengeneza simu unaongea na mtu ulaya ila kijisisimizi tu hawezi kukitengeneza hata dunia nzima waungane kumtengeza sisimizi hawatafanikiwa.
hivyo elim ya roho ni pekee mola anajua hasa ni kitu gani.
Sisi tunachojua kabla hujazaliwa roho ilikuwepo kisha ukapuliziwa uhai wa roho kisha utachukuliwa tena.KUNA MZUNGU ANASEMA DEATH IS AN AMAZING ADVENTURE U NEVER IMAGINE
 
Back
Top Bottom