FT: Simba SC 2-0 Al Masry SC | Robo Fainali CAF CC | Uwanja wa Mkapa | 09 Aprili 2025

Matokeo yoyote yasiyo ya sare yatanisikitisha.
Sitaki 5imba afungwe, lakini pia sipendi ngebe zao.
Nazitakia timu zote mbili, mchezo mzuri, watazamaji waburudike.
 
Hatumtaki meneja uwanja kwa mkapa utadhan meneja ndo kocha wa al masssss
GjFPPmnW4AAbvIu.jpg
 
Mechi ya Maamuzi hii baada ya kipigo cha bao 2-0 ugenini mkondo wa kwanza.

Mnyama Simba SC dhidi ya Al Masry SC mechi ya mkondo wa pili ya Robo Fainali ya Shirikisho Afrika.

⏰ Mchezo huu unapigwa saa 10:00 Jioni
🏟️ Uwanja wa Mkapa

Hii mechi nilifikiri inachezwa kuanzia saa 1 jioni! Dah! Nimeiokosa hivi hivi.
 
GOOO9OOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO9OOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOLLLLLLLLLLLLLLLLLLL

NAMNA GAN PALE MAKOLO WANASHINDILIWA MSUMARI WA MOTO


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom