Freeman Mbowe: Kauli za Rais Magufuli Kagera hatari

Yeye na chama chake wamechukua hatua gani?Sukuwasikia hata michango ya chadema ikiwasilishwa.....this is bullshit.Kutafuta kiki kwenye hotuba ya Raisi hakuna maana yoyote.Yeye angechukua hatua ya kwenda kuwafariji na kuwajengea anachoweza ndio aje kupiga kelele....Mbowe hana nyimbo tena.Chama chake si kina ruzuku kubwa tu ....mbona hawajajenga hata nyumba moja....Je si wana mishahara wangejichanga tu kwa vile wana uchungu mkubwa zaidi kuliko Raisi.Otherwise pye pye pye hazina maana
Siku nyingine husiwe msaaurifu ...Mbowe kama Mwenyekiti wa CDM walitoa chakula na maturubai na cement ambayo ccm iliin'gan'gania kua itunzwe na RC na michango mingine ianze kupitia kwa RC kumbe ilikua ni kuwapiga cha juu wafiwa wa Kagera. Hivi serikali na Pombe alitoa kitu au yeye kala tu
 
Hivi hawa chadema hawana hela, wanachama na hawajuani na watu ambao wangeweza kuwasaidia kuwajengea wananchi. Janga kamanhili wangelitumia kama uwanja wa kujiimarisha kisiasa kwa kuwasaidia wananchi baada ya kufokewa na Rais na kupoteza matumaini ya kusaidiwa na serikali.

Wangeanza hata na nyumba chache na kuzifikisha hatua nzuri nadhani wangejijengea heshima, huku kuongea kwenye vyombo vya habari kupinga kila kitu kinachosemwa ama kufanywa na serikali hakuna chochote kinachosaidia, tumeshachoka saxa tunataka kuona upinzani wenye meno. Upinzani unaoweza kuiwajibisha serikali pale inapokosea kwa vitendo.
Sasa ndio mmeanza kupata akili kuwa cdm ingejitolea kufanya hiki na mile kagera.
Mmesahau mlipokua mnatuma majeshi na kuwakamata kiss tu kutoa msaada kwa wahanga?
Umesahau zile amri zenu kuwa msaada yote ipitie kwa mkuu wa mkoa na hakuna anaeruhusiwa kufanya chochote isipokua serikali?
Sasa mmeona MTU mliekua mnamtetea kala rambirambi za wafiwa ndio mnakuja na maneno eti kwa nini cdm wasijichange kusaidia waathirika, Mwafaaaaa.
 
Mbowe sasa kama kiongozi wa chama kikuu cha upinzani TZ anafanya nn kusimamisha hotuba hizi za kipuuzi za Rais?
Mbona hachukua hatua yyt ile na yy analalamika kama sisi tu?
Magufuli anatakiwa ajutie kauli hizi lkn zinapita kimywa kimywa
CHADEMA imekufa aisee!
Suggest action please!
 
SIKU HIZI AITISHI PRESS CONFERENCE??????hii kauli yake juu ya JPM alitamkia wapi???? Me nahisi aliitamkia UVUNGUNI mwa kitanda MAANA tunamtafuta kweli atuambie BEN yupo wapi?????hivyo moja kwa moja HAWEZI KAMWE ITISHA press conference kwa sasa ATAKUWA anatolea MATAMKO toka UVUNGUNI......daaah aiseeh hii si CHADEMA tuliokuwa tunaifahamu.....JPM wewe balaaa NA KWA SASA NA BAADAE MBOWE HANA UHALALI WOTE WA KUMKOSOA MAGUFULI maana yeye kaishajionyesha rangi yake HALISI kupitia UTAWALA HUU....
Kwahiyo kula rambi rambi ni halali
 
Mbowe ulisema kuna watekaji wamemteka Ben ..je ulijuaje?
Ni lini utamrejesha Ben kwa mwanae amemiss?
 
Kabla ya kutoa komenti wasiliana na kumbukumbu ya ubongo wako, hukusikia serikali imepiga marufuku chama chochote wala mtu yeyote kupeleka misaada, hivi yale mahema ya Lwakatare yaliyokusanywa na polisi yalitoka Lumumba.
Walipeleka kwenye kamati ya maafa wakakataliwa?
 
Hivi wote mnao coment huku ata hamuwez kujiongeza?!.ss mbowe asaidi ndiye aliyepokea misaada iliyotolewa kwa ajili ya walengwa?!.na kwan hamuoni au amsomi vyombo vya habar kuwa misaada inayotolewa kule ikijulikana ni ya wapinzani inakataliwa?!.jaman watz tufike mahala tujiongeze.kutojua tofauti na maana ya + - inatupa shida sanaa wa Tz.
 
Hivi hawa chadema hawana hela, wanachama na hawajuani na watu ambao wangeweza kuwasaidia kuwajengea wananchi. Janga kamanhili wangelitumia kama uwanja wa kujiimarisha kisiasa kwa kuwasaidia wananchi baada ya kufokewa na Rais na kupoteza matumaini ya kusaidiwa na serikali.

Wangeanza hata na nyumba chache na kuzifikisha hatua nzuri nadhani wangejijengea heshima, huku kuongea kwenye vyombo vya habari kupinga kila kitu kinachosemwa ama kufanywa na serikali hakuna chochote kinachosaidia, tumeshachoka saxa tunataka kuona upinzani wenye meno. Upinzani unaoweza kuiwajibisha serikali pale inapokosea kwa vitendo.
Sasa ndio mmeanza kupata akili kuwa cdm ingejitolea kufanya hiki na mile kagera.
Mmesahau mlipokua mnatuma majeshi na kuwakamata kiss tu kutoa msaada kwa wahanga?
Umesahau zile amri zenu kuwa msaada yote ipitie kwa mkuu wa mkoa na hakuna anaeruhusiwa kufanya chochote isipokua serikali?
Sasa mmeona MTU mliekua mnamtetea kala rambirambi za wafiwa ndio mnakuja na maneno eti kwa nini cdm wasijichange kusaidia waathirika, Mwafaaaaa.
Walipeleka kwenye kamati ya maafa wakakataliwa?
Si mlichukua zote za mmezipiga juukwajuu.
MNA roho mbaya sana hata rambirambi za wafiwa mnaiba? Aibu aibu,aibu
 
SIKU HIZI AITISHI PRESS CONFERENCE??????hii kauli yake juu ya JPM alitamkia wapi???? Me nahisi aliitamkia UVUNGUNI mwa kitanda MAANA tunamtafuta kweli atuambie BEN yupo wapi?????hivyo moja kwa moja HAWEZI KAMWE ITISHA press conference kwa sasa ATAKUWA anatolea MATAMKO toka UVUNGUNI......daaah aiseeh hii si CHADEMA tuliokuwa tunaifahamu.....JPM wewe balaaa NA KWA SASA NA BAADAE MBOWE HANA UHALALI WOTE WA KUMKOSOA MAGUFULI maana yeye kaishajionyesha rangi yake HALISI kupitia UTAWALA HUU....
Alipiga simu ofisini kwa gazeti lake ndio wakaandika hayo.
 
Mbowe sasa kama kiongozi wa chama kikuu cha upinzani TZ anafanya nn kusimamisha hotuba hizi za kipuuzi za Rais?
Mbona hachukua hatua yyt ile na yy analalamika kama sisi tu?
Magufuli anatakiwa ajutie kauli hizi lkn zinapita kimywa kimywa
CHADEMA imekufa aisee!
Kwani rais kakosea nini kwenye kauli yake? Mlitaka alaghai kwa kitu hakitawezekana kama ilivyozoeleka kufanywa na wanasiasa? Au ulitaka aongee kwa kulialia na kuomba msamaha kama tetemeko ni kosa la serekali yake. JK alisema angewajengea nyumba wahanga wa mafuriko kilosa hadi leo wako kwenye mahema. Hata kama jk angewajengea angejenga nyumba za aina gani na za gharama gani. The so called Nyumba nyingi ni mabanda ya udongo vijijini wala hayana hati ya ardhi. Je unataka watu waanze kuomba maafa ili wajengewe nyumba na serikali? Hapo ni kutaka kufungua a new pandora box. Jawabu ni kuwapa misaada ya dharura na kuwasaidia wasiojiweza kwa kuwapatia msaada zaidi kama ilivyofanyika.
 
Mbowe sasa kama kiongozi wa chama kikuu cha upinzani TZ anafanya nn kusimamisha hotuba hizi za kipuuzi za Rais?
Mbona hachukua hatua yyt ile na yy analalamika kama sisi tu?
Magufuli anatakiwa ajutie kauli hizi lkn zinapita kimywa kimywa
CHADEMA imekufa aisee!
mawazo yako tafadhali:
Mbowe alitakiwa afanyeje ili upinzanibuonekane uko hai?
 
Serikali haina umuhim kwa wananchi kama vile wananchi wasivyo wa muhim kwa serikali...nadhani hii ni tasfiri sahii ya kauli ya Mwenyekiti wa chama tawala....Ahsante sana mkulu sasa wananchi wajue kua hamna cha bure pia na wakija 2020 kuomba kura basi ni halali yenu nanyi kuwatoza pesa yaani nipe ni kupe toa hela ni kupe kura
 
Jpm anajua kuliko mbowe mbowe yuko bize kukosoa jpm yuko bize kusema ukweli ambao anaamini utamweka huru kuliko kuleta siasa wakati anajua hawez kutekeleza
 
Mbowe sasa kama kiongozi wa chama kikuu cha upinzani TZ anafanya nn kusimamisha hotuba hizi za kipuuzi za Rais?
Mbona hachukua hatua yyt ile na yy analalamika kama sisi tu?
Magufuli anatakiwa ajutie kauli hizi lkn zinapita kimywa kimywa
CHADEMA imekufa aisee!
Ungekuwa ndiyo ww ungefanyaje????
 
Back
Top Bottom