Haitak kuattach screen shot ngekuonesha, just nmedownload izo mambo kuzfungua ndo issue na uelewa wangu nahisi umegota!
Angalia hiyo apo mkuu then nielekeze cha kufanya yaan dah..!kuzfungua kvp ? Hyo moja unai unzip ..kawaida . Au ww unafungua hyo openvpn shortcut ya kwny desktop ?
Na ina kupa msg kuwa arleady running ? Kama ndyo bax unatakwa ushuke pale kwny tray chn
Inakubali Kwa Modem Zote? coz nimefwata procedure zote na imeconect lakini bila bundle siwezi kubrowse, natumia modem ya ####, inakuaje apoView attachment 114035
Jaman kwa simu mie imenishinda..
FREE INTERNET TO ALL JF MEMBERSRequirements
Itabidi ku-install Open VPN ambayo itatengeneza shortcut desktop Ifuate desktop Right click nenda Properties>Compatibility afu wekea Tick Run as ADMIN. afu apply.Usipofanya hivo VPN haitofanya kazi na shauri lako.
- Magic SIM card (without Balance)+USB DONGLE
- Open VPN which you can Download HERE
- Working Servers/Configuration Files HERE
- NEW UPDATE Nyote tumieni NMD VPN sana sana wale wa 64Bits NMDVPN
- Mnaweza tumia Open VPN shared and proved to work by elmagnifico
- https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=113530&d=1380080001
NEW UPDATE:Kwa sasa Napata Database error lkn ntatoa tutorial jinsi ya kutengeneza Usernem na passwd na hautokaa ulipie Internet lkn ina involve ku-edit configuration file na kuweka server za Campuni nyingine
New Update 2. Tutorial yakujipatia Usernem na passwd yako na server yako https://docs.google.com/document/d/1B-XJ0ykmW-BZ564pk2hZHCzqiCLwlBSUFj3GrzbJ4Uk/edit?usp=sharing- Tutorial Ya Android na iOS imewadia https://docs.google.com/document/d/1hkuiUxlODwqvxQE5csckLgezApGdxS0VGWSP5MjnCGs/edit?usp=sharing
- Waweza Kutembelea Hii site maana ndo iliyotupa server Free Unlimited Internet with Meteor Vpn TZ: Buy Vouchers
1.Install Open VPN![]()
2.Transfer config files kwenye VPN Unzip
zile configuration files afu kaziamishie Local disc C>Program files>Open VPN>config![]()
3.Fungua OPEN VPN GUI
Mara tu ukiifungua itaenda kwenye system Tray ifuate na we ifuate picha yaani chagua server moja kwenye list kisha bofya CONNECT![]()
Jaza usernem na passwd ntakayokupa PM![]()
Itaanza kupokea na itapokea Initial packet ya kwanza na itaendelea mbele kama ilivyo picha![]()
Mwisho wa Siku itakonnect inaitakuonesha IP adress yako mpya![]()
Basi nenda kwa Prof Google kuthibitisha kuwa IP adress ya picha juu ndo unaitumia Online
Tafuta na Google neno "my IP"![]()
BROUGHT TO YOU BY CERTIFIED VPN RESELLER IN TANZANIA 0753932250
BROUGHT TO YOU BY CERTIFIED VPN RESELLER IN TANZANIA 0753932250
REF:GOOGLE DOCS TUTORIAL
jaman wale wa part B....,kama kunam2 kafanikiw a2pe fdbck bac.
Jaman kwa simu mie imenishinda..
Part B nimejaribu but wapi it aint working, aint sure if it will ever work
Hii kitu ni noma mkuu imekubali. yaani hapa na watch stream za you tube balaaa.. athante mkuu
mkuu naomba unielekeze we mwenzangu umewezaje..me nina uelewa kdogo kwenye hii mambo