Sijui wewe ulitaka iwejeInashangaza na inasikitisha kuona aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania kwa miaka 10 anakuwa mbeba mabegi wa aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania kwa miaka miwili na nusu.
Kweli siasa hazina logic tunduizi!
Inashangaza na inasikitisha kuona aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania kwa miaka 10 anakuwa mbeba mabegi wa aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania kwa miaka miwili na nusu.
Kweli siasa hazina logic tunduizi!
Alkuwa anasubiri kujiuzulu.Alikuwa anasubiri nini
Hahahaha well saidKaambiwa mzee tupishe unatuchafulia image ya benki yetu
Mbona hushangai aliyekuwa na mpenzi wa mkeo kwa miaka kibao hakuoa ukaja kumchukua wewe mliyekutana muda mfupi halafu sijui kama unajua bado wanaendeleaInashangaza na inasikitisha kuona aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania kwa miaka 10 anakuwa mbeba mabegi wa aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania kwa miaka miwili na nusu.
Kweli siasa hazina logic tunduizi!