Francis Ciza (DJ Majizzo), ashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za Dawa ya Kulevya

Wasalaam wana jamvi.
Kwenye mkutano kati ya RC Makonda na waandishi wa habari aliulizwa swali kama ni kweli Majizzo(C.E.O wa E-FM/TV-E)? Mh Makonda alijibu ni kweli anashikiliwa kwa mahojiano.

Taarifa ni kwamba Dj Majizzo alikamatwa juzi nyumbani kwake na kupekwa kituo cha kati kwa mahojiano.
Kwa wale wasio mfahamu vyema Majizzo ni yule kijana anaye semekana ndiye mmiliki wa kituo cha radio cha E-FM/ na TV-E(habari zisizo rasmi)
Comment yako ni ipi? Maana hapo umetoa taarifa tu
 
Bila ya USHAHIDI Halisi wa Ngada kwa watuhumiwa, hivi vita licha ya umuhimu wake vitaisha kwa kufeli.
kama hawana ushahidi lakini wanajua unafanya biashara hiyo,unapelekwa mahakamani kuombewa uangalizi wa muda.ni sawa tu na kifungo cha nje
 
Mmiliki wa E-fm Majizo alitiwa ndani siku ya Jumamosi na hajaachiwa hadi Leo



Nimesikia kuna hizi vita
GSM vs Quality Group (Manji)
Clouds Media vs E-fm hebu nitoeni vijiti machoni.

Clouds fm na Efm ni ukweli 100 hii ishu ya kwenda mikoani na ujio wa TV unawaumiza sana clouds wamejaribu kila njia kuibomoa Efm wameshindwa tusubirie tuone waliwatumia sana Tcra Kuwamaliza Efm wameshindwa ila toka atumbuliwe bwana yule ngimu Tcra Mawinguu wamekosa support ya kuwabomoa Efm
 
Habari zilizonifikia mida hii zinasema Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya EML Francis Anthony Ciza Majey (DJ Majizzo), na yeye yuko central. Katika yale majina 112 inasemakana jina la majizo liliongoza list, so wanaendelea kushuka chini tutegemee kuona wapendwa wetu wakiendelea kuchukuliwa mmojammoja.
View attachment 468430
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya EML na Radio E- FM Francis Anthony Ciza Majey (DJ Majizzo)
Jina alilopewa na baba na mama yake kutoka mtwara ni Rashid. ...ilo la francis sijui amelitoa wapi huyu kijana...mzee ciza wa mwanyamala marehem alikuwa na watoto wa tatu kwa mkewe blandina...wire, cocoo (maisha clubs), Tina. ...
 
Sasa ni wazi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kaamua kupigana hivi vita kwa namna yoyote ile. Jana usiku Majizo ambaye ni mmiliki wa EFM radio na Tv alikamatwa na yuko cetral kwa sasa.

Hongera sana Makonda.... Mh. Rais tafadhali ikiwezekana mteuwe Makonda ubunge then umpe uwaziri wa mambo ya ndani. Anauthubutu, na anaweza..
Well said..huyo mwigullu yuko wap? Watu wapo frontline!
 
Jina alilopewa na baba na mama yake kutoka mtwara ni Rashid. ...ilo la francis sijui amelitoa wapi huyu kijana...mzee ciza wa mwanyamala marehem alikuwa na watoto wa tatu kwa mkewe blandina...wire, cocoo (maisha clubs), Tina. ...
Kumbe mnawajua vizuri watuhumiwa! Wewe unaweza kulisaidia jeshi la polisi.
 
Kama alijua hii vita alioanzisha itaisha kwa kina wema tu hapana maana jana mkulu kaiekea nguvu basi huyu kijana aombewe maana kama alikuwa anafanya utani sasa mambo yamekuwa inogile aanagalie sana maana wengi wao wamemzunguka
Mkuu inaonesha unawafahamu. Wataje basi mkuu
 
Habari zilizonifikia mida hii zinasema Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya EML Francis Anthony Ciza Majey (DJ Majizzo), na yeye yuko central. Katika yale majina 112 inasemakana jina la majizo liliongoza list, so wanaendelea kushuka chini tutegemee kuona wapendwa wetu wakiendelea kuchukuliwa mmojammoja.
View attachment 468430
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya EML na Radio E- FM Francis Anthony Ciza Majey (DJ Majizzo)
_20170208_211209.JPG
 
Jina alilopewa na baba na mama yake kutoka mtwara ni Rashid. ...ilo la francis sijui amelitoa wapi huyu kijana...mzee ciza wa mwanyamala marehem alikuwa na watoto wa tatu kwa mkewe blandina...wire, cocoo (maisha clubs), Tina. ...
kaukana mpk ukoo ukoo na kabila pia aisehhh!!
 
Sasa ni wazi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kaamua kupigana hivi vita kwa namna yoyote ile. Jana usiku Majizo ambaye ni mmiliki wa EFM radio na Tv alikamatwa na yuko cetral kwa sasa.

Hongera sana Makonda.... Mh. Rais tafadhali ikiwezekana mteuwe Makonda ubunge then umpe uwaziri wa mambo ya ndani. Anauthubutu, na anaweza..
Hovyo kabisa, kumention hao vidagaa ndo kakupagawisha hivo, mbona namna cha maana Hapo zaid ya uchafu uchafu isiokuwa na mbele wala nyuma
 
Back
Top Bottom