central midfielder
Senior Member
- Apr 14, 2023
- 136
- 192
Wadau me Naleta hoja kwenu, kuna watu naona wanaleta list tofauti za wana hiphop kila mtu na mtazamo wake anavyoona yeye, lakini kinachonichanganya kuna baadhi ya watu wanasema kuwa Ngwair alikuwa ni zaidi ya Fid Q kitu ambacho kwangu sijawahi kukubaliana nacho. Maana kwa mtazamo wangu sidhani kama kuna rapa kweli anamuweza Farid kwa uandishi.
Jamaa anayo IQ kubwa sana, mimi nataka mnifundishe hiphop, kama nakosea nataka mnielekeze Ngwair alikuwa anamzidi Fid katika category gani?