Fid amesema Irene Uwoya anakula mchicha mzuri ndio maana akaweza kuwaona wanaume wagumu kwa jicho lingine, hata hivyo hamedai hana mpango wa kumtokea
Hivi CHEKIBOB humaanisha nn mkuuFid Q ni chekibob kimtindo sema hatuongei sana
Hiyo hoja dhaifu mkuuKimsingi, Fid hastahili kujihesabia wala kuhesabiwa katika wasio uza sura. Jamaa ashawahi kuwa televised akifanyiwa scrub au facial nadhani, so nahisi pia ashajaribu kuonana na dermatologist(s) kurekebisha ule uso. Kuna video yake moja alikula wigi, na make up design.
Tena kiboya sana yule jamaa nimemshangaa alikua anataka sympathyStereo ndio alianza kuwaangusha.
Unamtongozaje demu redioni?!
Fid amesema Irene Uwoya anakula mchicha mzuri ndio maana akaweza kuwaona wanaume wagumu kwa jicho lingine, hata hivyo hamedai hana mpango wa kumtokea
alafu demu akamkazia jamaa akabaki kama anatongozwa yeye vileTena kiboya sana yule jamaa nimemshangaa alikua anataka sympathy