Fella, Sallam na Tale ni kajanja tu

Mwambie, roho mbaya haijengi.
 

Huna lolote wivu tuu una kusumbua.. Ukiwa na Manager mzuri na mbunifu lakini wewe mwenyewe kipaji cha kutoa music mzuri, au kuandika mashairi ya mazuri na kutoa ngoma zinazo kusanya mashabiki, yeye huyo manager atakusaidiaje? Manager anasimamia kazi zako na kuku andalia shows etc. Kama unatoa sub standard hits yeye Manager hata akikuandalia show kutakua hakuna wanao nunua tickets za show kwa vile hakuna anayeona umuhimu wa kuja kukuona na sub- standard hits zako hence loss.
Diamond is talented, he writes beautiful songs and incoperates creativity in them. People love his music. He managed to carry himself as a brand. This is why he has 3 managers because they (including Diamond) benefit from working together.

Next time educate yourself before writing stupidity here.
 
mti wenye matunda ndo hupigwa mawe waache tu watokwe mapovu
 
Acha Wivu! Kuwa Meneja Mzuri inaanzia na kujitambua na kipaji cha Msanii, nitajie Msanii mmoja ambaye aliachana na Babu Tale, Salama au Fella hafu akatoboa aidha na Meneja mwingine au peke yake! Otherwise acha huo wivu wa kike!!......kama Beki mbovu tegemea kuona kiwango bora cha Mshambuliaji, kama mshambuliaji mbovu tegemea kuona kiwango bora cha beki! Kama Beki ni bora, mshambuliaji bora! Tegemea kuona uwezo na burudani ya ajabu!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…