Fatuma Karume amuumbua Tulia Ackson kuhusu Mauaji ya kinyama ya Ally Kibao

M
hiyo ndio tafauti kati ya mtu aliye soma na kuelimika,na mtu aliye soma kwaajiri ya vyeti tu. Tulia Acksoni ni mf mzuri wa wasomi wa vyeti ,mapumbavu kuwahi kutokea.
Pumbavu ni mamako vingine angevaa condom siku ya kutiwa mimba yako
 
Hivi ukiwa ccm ni lazima ushabikie uovu na dhuluma?
Ni mambo ya aibu sana kwenu ccm ni as if mmefunga ndio na yule mwovu shetani!
 
Kwa hili box la kura la maigizo hakuna lolote atafanywa.
Haya sasa ulisema shujaa wa Afrika alikuwa dhalimu
👇
1000036119.jpg
 
Tulia naye analinda ugali wake, anaogopa Mhimili ulijichimbia chini zaidi na hataki yampate ya mtangulizi yake. Nina uhakika ule Mhimili uliochimbia chini zaidi ukiamua kila kitu kitakuwa safi na wote watafuata. Tunamuonea tu maana kama kuna maagizo kutoka juu kuwa yasijadiliwe yeye afanye je na cheo anakihitaji?
 
Back
Top Bottom