MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,122
- 22,449
Mimi ni mtu ninayependa kuvaa vizuri na kula vizuri. Kumbukumbu zangu zinaonyesha mara ya mwisho kununua mtumba ni miaka mingi ishapita hata zaidi ya 10. Nilijiambia bora niwe na nguo chache ila za ubora wa hali ya juu ambazo hata nikivaa najiongezea thamani yangu. Na ninapenda fashion nzuri. Nikiwa na pesa mingi nitaajiri fashion designer.
Pamoja na yote ila kuna fashion ambazo nilisema potelea mbali acha zinipite. Sikuzipenda kabisa. Zile kaptula fupi zinazovaliwa na vijana siku hizi ninazichukia kama waislamu wanavyochukia kitimoto. Ninatupia picha muelewe.
Pamoja na yote ila kuna fashion ambazo nilisema potelea mbali acha zinipite. Sikuzipenda kabisa. Zile kaptula fupi zinazovaliwa na vijana siku hizi ninazichukia kama waislamu wanavyochukia kitimoto. Ninatupia picha muelewe.