Queen Kan
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,223
- 8,958
Hela ya kununulia hizo karanga utaipata wapi?Hata kufunga karanga na kuuza ni ajira
Hela ya kununulia hizo karanga utaipata wapi?Hata kufunga karanga na kuuza ni ajira
Kwani hela ya kununulia bando ya intanet umepata wapi??Hela ya kununulia hizo karanga utaipata wapi?
Sawa na mshahara wa mwalimukuwa kabla ya kifo chake, Faru John alikuwa analindwa kwa gharama ya Sh225,000 kila siku.
Swali juu ya swali duhuuu !Kwani hela ya kununulia bando ya intanet umepata wapi??
Hilo sio swali, ni tafakuri..sema kwa sababu haikuhusu hutaweza kuielewa..yeye ameelewaSwali juu ya swali duhuuu !
Haya endeleeni kubishana sisi tunaitaji faru joni akiwa hai na kama amekufa kafa nini kimesababisha kifo chake stop.
nnaona = ninaonaBinafsi nnaona kuwa Faru John ana thamani, binadamu ni "priceless".
Idiot
Halafu FF sazingine unakuwaga na vigongo! Hivi hauelewi unayemjibu mambo ya bichwa na utumbo, yaweza akawa mmeo siku1. Sijui ukiolewa naye unaweza ukawa unamjibu mambo ya utumbo,sijui bichwa! Inawezekana kweli? Ninafikiria tu kwa sauti lkn!
Hata wewe unayejiita muislm safi unamaneno ya hovyo kiasihiki? Nikwambie tu kama hujui thamani ya binadamu nenda kaulize kwenye vituo vya kulelea watoto yatima kwavile hayajakukuta huwezikujua thamani ya binadamu ila wazazi wako wangekufa ukiwa mtoto ungejua thamani ya binadamu ilipoNnauhakika hata hukielewi ukisemacho, niwekee thamani ya binadam kama unaniona mimi ni "idiot". Ukishindwa basi ujieleze wewe ni nani zaidi ya "idiot"?
Wacha porojo, weka thamani ya binadamu kama unaijuwa.Hata wewe unayejiita muislm safi unamaneno ya hovyo kiasihiki? Nikwambie tu kama hujui thamani ya binadamu nenda kaulize kwenye vituo vya kulelea watoto yatima kwavile hayajakukuta huwezikujua thamani ya binadamu ila wazazi wako wangekufa ukiwa mtoto ungejua thamani ya binadamu ilipo
Unawapangia namna ya kuthaminisha, who are you?Labda ili tuelewe thamani ya faru John tungejua pato lake aliloliingizia taifa kupitia utalii. Tujue pato hilo ni sawa na tani ngapi za madawa na madawa hayo yameokoa maisha ya Watanzania wangapi? Kweli kuongoza nchi ya watu wenye akili za baadhi ya watanzania ni mzigo mzito. Ikulu ya magogoni ni mzigo mzito kwa mwenye nia ya dhati ya kuwa saidia watz.
Na washawasha!
Mkuu huyu ajuza yuko sawa, kwani binaadamu thamani yake ni shilingi ngapi??Idiot
Kilugha gani??"nina" ni tusi.
Binafsi nnaona kuwa Faru John ana thamani, binadamu ni "priceless".
Hata mimi nashangaa, kwa nini JF wasiweke uzi mmoja tu wa ajira njaa !Wananchi wana njaa na ajira hamna kwanini magazeti msiweke coverage habari kama hizo
Porojo wapi we muislam jina na mnafki mkubwa kama mnyama angekuwa na thamani Ismaili angechinjwa na baba yake lakini m/mungu akamteremshia kondoo ibrahimu ili amchinje hata dini hairuhusu kumfananisha binadamu na mnyama alafu unajifanya unaijua dini mnafki mkubwa weweWacha porojo, weka thamani ya binadamu kama unaijuwa.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Yatima inahusu nini hapa? Kwa maana hiyo, hata Faru John kaacha yatima tena wenye thamani.
Punguani wahed.
Binadamu hana thamani .... hawezi kuthaminishwa hata bilioni bilioni bado huwezi mthaminisha nayo.....binadamu ni extra...thamani yake anaijua Muumba tuWacha porojo, weka thamani ya binadamu kama unaijuwa.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Yatima inahusu nini hapa? Kwa maana hiyo, hata Faru John kaacha yatima tena wenye thamani.
Punguani wahed.