Yaani mtu ukishakuwa chawa ni kusifia tuu mav. ya boss wako unayaita keki hahahhaaLa Kenya limepambwa na sura ya ukabila na ukanda, na ukiwatazama vizuri mawaziri ni kama vile hawana uhakika wala tumaini la kuwepo ofisini kesho. Hawana nuru, hawana amani dah 🐒
La Tanzania.
kwanza lina nuru, Lakini pia unaona kabisa umoja wa mawaziri wenye amani na kuaminiana. Korosho na peremende wanashea n.k
Kenya hawashare vitu kama hivyo kwasabb unaweza wekewa cocaine au sumu.Hakuna wa kumuamini mwingine.🐒
Namshukuru Mungu siishi kwa kudra za mtu, naishi kwa jasho langu mwenyewe...pambana sana mkuu!!.