Fananisha Kikao cha Mawaziri cha Kenya na cha Tanzania, tuna cha kujifunza

La Kenya limepambwa na sura ya ukabila na ukanda, na ukiwatazama vizuri mawaziri ni kama vile hawana uhakika wala tumaini la kuwepo ofisini kesho. Hawana nuru, hawana amani dah 🐒

La Tanzania.
kwanza lina nuru, Lakini pia unaona kabisa umoja wa mawaziri wenye amani na kuaminiana. Korosho na peremende wanashea n.k

Kenya hawashare vitu kama hivyo kwasabb unaweza wekewa cocaine au sumu.Hakuna wa kumuamini mwingine.🐒
Yaani mtu ukishakuwa chawa ni kusifia tuu mav. ya boss wako unayaita keki hahahhaa
Namshukuru Mungu siishi kwa kudra za mtu, naishi kwa jasho langu mwenyewe...pambana sana mkuu!!.
 
usha ona chupa za Soda cocacola au pepsi zinachafua mazingira au chupa za Bia?
Huko uliko vinywaji vinavyopatikana ni Pepsi, coca-cola na bia tu kwani hujui kuwa sikuizi Chupa za plastic ni more friendly Kwa mazingira Kwasababu zinakuwa recycled?
 
Mazingira ya mezani inasema mengi.. Usiriasi na sio usirasi.. Marundikano hata energy ya mengi hapo lazima.

Na kiteknolojia ipo vizuri sababu ina faida nyingi na kubwaaa..
 
Najaribu kauangalia kikao cha mawaziri cha Kenya naona wako very profesional, tunakwama wapi kikao cha Mwaziri Tanzania utazania kikao cha kupitisha tenda? Au ni wanapitisha tenda za Waarabu walio tenda juu zaidi kununua nchi?

View attachment 3120776

Hii ni kikao cha Mwaziri Dodoma.
View attachment 3120788

Hapa ni Nairobi kikao cha Mawaziri.
View attachment 3120793
Hii ni kama wanapitisha tenda za kuuza nchi.

View attachment 3120800
Kenya wametawaliwa na muingereza na waakaachiwa akili za ki-ingereza.
Nyie mmeachiwa mseto, mwarabu, mjerumani na muingereza, tena muingereza ameacha akili zake huko Arusha na Kilimanjaro huku mwarabu akiwaachia akili huko mwambao , tabora na kigoma.
 
Maji ya kunywa ya chupa za Plastic yameisha pitwa na wakati kwa levo za viongozi wa juu, na hapo kuna Chawa huwa wanasema mama ana advocate mazingira Huweiz ukawa unapigani mazingira huku Bado unatumia maji ya chupa za plastic zinazo chafua mazingira.
Kuna mmoja juzi Yuko amekazana na mambo ya nishati safi kwenye kikao Fulani Ili aonekane wakati ana semi truck za kubeba mkaa nilicheka tulivyotoka kwenye kikao Yuko anasema pale nilikuwa nachangamsha tu
 
Maji ya kunywa ya chupa za Plastic yameisha pitwa na wakati kwa levo za viongozi wa juu, na hapo kuna Chawa huwa wanasema mama ana advocate mazingira Huweiz ukawa unapigani mazingira huku Bado unatumia maji ya chupa za plastic zinazo chafua mazingira.
Kuna mmoja juzi Yuko amekazana na mambo ya nishati safi kwenye kikao Fulani Ili aonekane wakati ana semi truck za kubeba mkaa nilicheka tulivyotoka kwenye kikao Yuko anasema pale nilikuwa nachangamsha tu
 
Najaribu kauangalia kikao cha mawaziri cha Kenya naona wako very profesional, tunakwama wapi kikao cha Mwaziri Tanzania utazania kikao cha kupitisha tenda? Au ni wanapitisha tenda za Waarabu walio tenda juu zaidi kununua nchi?

View attachment 3120776

Hii ni kikao cha Mwaziri Dodoma.
View attachment 3120788

Hapa ni Nairobi kikao cha Mawaziri.
View attachment 3120793
Hii ni kama wanapitisha tenda za kuuza nchi.

View attachment 3120800
HAO MAWAZIRI WA TANZANIA UKIWAONA HSPO UTADHANI VICHWANI WANA KITU KUMBE NI MAZWAZWA WANAMKATIBIA BOSI WAO
 
Najaribu kauangalia kikao cha mawaziri cha Kenya naona wako very profesional, tunakwama wapi kikao cha Mwaziri Tanzania utazania kikao cha kupitisha tenda? Au ni wanapitisha tenda za Waarabu walio tenda juu zaidi kununua nchi?

View attachment 3120776

Hii ni kikao cha Mwaziri Dodoma.
View attachment 3120788

Hapa ni Nairobi kikao cha Mawaziri.
View attachment 3120793
Hii ni kama wanapitisha tenda za kuuza nchi.

View attachment 3120800
Kenya inaelekea viwango vya ulaya kwa maendeleo na ustawi wa binadamu pia.
 
Back
Top Bottom