Familia mbili za anunaki ndio zinasumbua dunia hii hadi leo

Yeah yaani ni full confusion over confusion, but keep in mind that Satan's plan is to confuse people and once you become confused, it's easy to be driven away from what you believe. Let's be careful dude
Hahahahaha..Mkuu mie acha nipokee yotee kichwa kitaamua ..ila huwa napenda na kutamani kujua hayo yanayofichwa kwann yafichwe
 
Uzuri wake yalishatabiriwa. Kinachochanganya wanasema Sumerian records zipo tangia miaka kabla ya hata dini hizi tulizonazo dunia nzima hazijaanzishwa mbaya zaidi vitabu vyeti vya sasa wanawatambua hawa Anunak kama "The fallen angels" ambao ni waasi kwa Mungu mkuu "The creator"
Ni story tu katika Sumeria Manuscripts , Igigi walikuwa wanaishi katika Sayari ya Mars , wakawa wanatamani viumbe (Binadamu) wa duniani hivyo walishuka Igigi 200 Hawa walikuwa kama Askari wa ANUNAKI wakiongozwa na Shemzay ambaye Biblia imemtaja kama Shemzaya

Hawa waliwateka wanawake 200 na kulala nao na kuwapiga mimba
 
Ni story tu katika Sumeria Manuscripts , Igigi walikuwa wanaishi katika Sayari ya Mars , wakawa wanatamani viumbe (Binadamu) wa duniani hivyo walishuka Igigi 200 Hawa walikuwa kama Askari wa ANUNAKI wakiongozwa na Shemzay ambaye Biblia imemtaja kama Shemzaya

Hawa waliwateka wanawake 200 na kulala nao na kuwapiga mimba
Kwahiyo hawa Igigi ni tofauti na waliotoka Nubiru ambao ni Anunak right? Na kama ni tofauti, je tofauti yao ni nini? Na je bado wanaishi huko Mars mpaka sasa?
Nitashukuru kwa jibu lako basing on what I have asked mkuu
 
Kwahiyo hawa Igigi ni tofauti na waliotoka Nubiru ambao ni Anunak right? Na kama ni tofauti, je tofauti yao ni nini? Na je bado wanaishi huko Mars mpaka sasa?
Nitashukuru kwa jibu lako basing on what I have asked mkuu
Sio tofauti, Igigi walikuwa ni Anunaki ambao ni Askari waliokuwa katika kituo Cha Anga huko Mars , wote ni Anunaki ila wao waliitwa Igigi kutokana na Kazi zao
 
Kwa mujibu wa nyaraka za Sumeria , zinazungumzia namna Binadamu alivyotokea , Binadamu alitengenezwa maabara (Genetic engineering) na kazi yake ilikuwa ni kufanya kazi kwenye migodi ya dhahabu

Familia 2 zilizokuja duniani ndizo Hadi Leo tunaziabudu baada ya wao kuondoka na kutuachia mambo ambayo yanatuvuruga Hadi Leo

Hizi familia wao pia wanakufa japo wanaishi miaka mingi sana , na kufa huku ndiko kulimshangaza Mfalme Gilgamesh wa huko Sumeria ya zamani na kuuliza Hadi Miungu inakufa sababu yeye Mzazi wake Mmoja ambaye ni Mama yake alikuwa ni ANUNAKI ambao wao waliwaita Miungu

Familia hizo kuu 2 ni ; familia ya kwanza ni ya LORD ENKI ambaye majina yake mengine kutokana na vita ya kifamilia aliitwa LUCIFER, na pia yeye kwa kuwa alihusika kumtengeneza Binadamu pia alijiita muweza wa yote (Omnipotent) , huyu Lord Enki mtoto wa Mfalme wa NIBIRU alikuwa na watoto ambao ni MARDUK ambaye baadae alijiita Mungu Ra , huko Misri , Nubia na Babeli aliitwa hivyo Mungu Ra na kwa mujibu wa Sumeria text huyu ndiye mjenzi wa mnara wa Babeli ambaye alitaka kufungua malango ya Mbinguni (NIBIRU) ili wanadamu waende , alishindwa sababu wenzake walimzuia wakiongozwa na ENLIL

Pia Lord Enki alikuwa na mtoto aitwaye NINGSHIZDA ambaye yeye aliitwa THOTH au IBILISI Hawa majina walipewa na wapinzani wao ambao ni Familia ya ENLIL

Familia ya pili, ni familia ya LORD ENLIL huyu alikuwa mdogo wake Lord Enki lakini kwa Mama mwingine na yeye ndiye alikuwa mrithi wa kiti cha ufalme huko NIBIRU , huyo ENLIL ndiye Alimfanya Ibri um (Ibrahim ) kuwa Baba wa Imani ila aabudiwe jina lingine anajulikana kama YAHWEH au ELOHIM , huyu kwa Sasa kwenye Biblia ndiye anajulikana kama Mungu (Walokole na Wakiristu huwaambii kitu hapa) , huyu alikuwa na watoto kama NINURTA na NANNAR ambaye huyu NANNAR baadae ndiye akawa ALLAH kwa waislam

Hizi familia mbili ndio chanzo Cha migogoro ya Imani hapa duniani ,

Pia hapo kale huyo huko Misri /Khemet kulikuwa na Miungu ilijulikana kama OSIRIS huyu Osiris ndiye Baba wa Horus ambaye Horus ndiye YESU wa Sasa

Sikulazimishi uniamini , ila nakulazimisha utafute maarifa ujue kwa undani kuhusu Asili ya mwanadamu na Asili ya Miungu na Dini

Mungu wa kweli yupo ambaye ni FATHER OF ALL au CREATOR OF ALL ambaye hata Hawa Miungu na Shetani tunaoimbishwa hawamjui ila kwa uwezo wao sisi tunawaona ni Mungu , pia Sayari yao ya NIBIRU ni Sayari iliyochaguliwa na FATHER OF ALL kujiamlia mambo yake sababu walipigana vita vya kimbingu na kumshinda muasi aliyeitwa TIAMAT

Tuendelee kujifunza ,
Elimu ni Bahari
Wewe umejuaje.......au na wewe umeadithiwa na binadamu wenzio???
 
Sio tofauti, Igigi walikuwa ni Anunaki ambao ni Askari waliokuwa katika kituo Cha Anga huko Mars , wote ni Anunaki ila wao waliitwa Igigi kutokana na Kazi zao
Kwahiyo mkuu from your point of learning, the whole universe kuna jamii mbili tu so far ambazo ni Anunak na binadamu tu au hizo Sumerian manu scripts zimeelezea na jamii nyingine pia?
 
Hivi ni yule mtoto wa Baba wa Taifa na mambo yake ya Nibiru bado yapo tu? hajaacha kuyasadiki tu ? kuna Changamoto kwa kweli, nguo zimejaa ndani ya kabati hazijui huko nje kuna nini?
 
Kwahiyo mkuu from your point of learning, the whole universe kuna jamii mbili tu so far ambazo ni Anunak na binadamu tu au hizo Sumerian manu scripts zimeelezea na jamii nyingine pia?
Hazielezi Jamii nyingine , ila kwa uchache katika vita kati ya TIAMAT na hao Miungu wengine alisaidiwa na Majini ambao waliitwa HELPER

So, inawezekana kabisa Jamii nyingine zipo ila NIBIRU ilikuwa blessed kuliko Sayari nyingine

Na Cha kuongezea ni kwamba hizi ,TIAMAT, Lahamu ,Lahmu n.k zote ni Sayari , maana yake Miungu ni Sayari
 
Kwa mujibu wa nyaraka za Sumeria , zinazungumzia namna Binadamu alivyotokea , Binadamu alitengenezwa maabara (Genetic engineering) na kazi yake ilikuwa ni kufanya kazi kwenye migodi ya dhahabu

Familia 2 zilizokuja duniani ndizo Hadi Leo tunaziabudu baada ya wao kuondoka na kutuachia mambo ambayo yanatuvuruga Hadi Leo

Hizi familia wao pia wanakufa japo wanaishi miaka mingi sana , na kufa huku ndiko kulimshangaza Mfalme Gilgamesh wa huko Sumeria ya zamani na kuuliza Hadi Miungu inakufa sababu yeye Mzazi wake Mmoja ambaye ni Mama yake alikuwa ni ANUNAKI ambao wao waliwaita Miungu

Familia hizo kuu 2 ni ; familia ya kwanza ni ya LORD ENKI ambaye majina yake mengine kutokana na vita ya kifamilia aliitwa LUCIFER, na pia yeye kwa kuwa alihusika kumtengeneza Binadamu pia alijiita muweza wa yote (Omnipotent) , huyu Lord Enki mtoto wa Mfalme wa NIBIRU alikuwa na watoto ambao ni MARDUK ambaye baadae alijiita Mungu Ra , huko Misri , Nubia na Babeli aliitwa hivyo Mungu Ra na kwa mujibu wa Sumeria text huyu ndiye mjenzi wa mnara wa Babeli ambaye alitaka kufungua malango ya Mbinguni (NIBIRU) ili wanadamu waende , alishindwa sababu wenzake walimzuia wakiongozwa na ENLIL

Pia Lord Enki alikuwa na mtoto aitwaye NINGSHIZDA ambaye yeye aliitwa THOTH au IBILISI Hawa majina walipewa na wapinzani wao ambao ni Familia ya ENLIL

Familia ya pili, ni familia ya LORD ENLIL huyu alikuwa mdogo wake Lord Enki lakini kwa Mama mwingine na yeye ndiye alikuwa mrithi wa kiti cha ufalme huko NIBIRU , huyo ENLIL ndiye Alimfanya Ibri um (Ibrahim ) kuwa Baba wa Imani ila aabudiwe jina lingine anajulikana kama YAHWEH au ELOHIM , huyu kwa Sasa kwenye Biblia ndiye anajulikana kama Mungu (Walokole na Wakiristu huwaambii kitu hapa) , huyu alikuwa na watoto kama NINURTA na NANNAR ambaye huyu NANNAR baadae ndiye akawa ALLAH kwa waislam

Hizi familia mbili ndio chanzo Cha migogoro ya Imani hapa duniani ,

Pia hapo kale huyo huko Misri /Khemet kulikuwa na Miungu ilijulikana kama OSIRIS huyu Osiris ndiye Baba wa Horus ambaye Horus ndiye YESU wa Sasa

Sikulazimishi uniamini , ila nakulazimisha utafute maarifa ujue kwa undani kuhusu Asili ya mwanadamu na Asili ya Miungu na Dini

Mungu wa kweli yupo ambaye ni FATHER OF ALL au CREATOR OF ALL ambaye hata Hawa Miungu na Shetani tunaoimbishwa hawamjui ila kwa uwezo wao sisi tunawaona ni Mungu , pia Sayari yao ya NIBIRU ni Sayari iliyochaguliwa na FATHER OF ALL kujiamlia mambo yake sababu walipigana vita vya kimbingu na kumshinda muasi aliyeitwa TIAMAT

Tuendelee kujifunza ,
Elimu ni Bahari
Hakuna Mungu huyo unayemsema, hizo zote ni stories za watu tu.

Ndiyo maana stories hazina uthibitisho wala logical consistency.

Hizo stories za Gilgamesh tumezisoma tangu tuko Sekondari. Leta habari mpya ambazo hazijulikani.
 
Hazielezi Jamii nyingine , ila kwa uchache katika vita kati ya TIAMAT na hao Miungu wengine alisaidiwa na Majini ambao waliitwa HELPER

So, inawezekana kabisa Jamii nyingine zipo ila NIBIRU ilikuwa blessed kuliko Sayari nyingine

Na Cha kuongezea ni kwamba hizi ,TIAMAT, Lahamu ,Lahmu n.k zote ni Sayari , maana yake Miungu ni Sayari
Sasa mbona miaka hii hawa extraterrestrial beings hawatutembelwi tena? Au ndio kusema missions zao zishakona na hawaoni haja ya kuja tena?
 
Back
Top Bottom