SoC01 Faida atakayopata kijana baada ya kuoa

Stories of Change - 2021 Competition

2019

JF-Expert Member
Dec 31, 2018
2,998
4,479
Pamoja na uwepo wa utitiri wa ndoa sasa lakini bado katika ulimwengu wa sasa kuna vijana wanaogopa kuoa.

Kwanza kijana acha uoga kila kijana akiamua anaweza kuoa na kumudu familia hata kama ana kipato kidogo tu. Nina miaka miwili ndani ya ndoa na hizi ni faida nilizopata.

MATUMIZI BORA YA FEDHA.
Kabla sijaoa ni rahisi sana kutumia pesa bila mpangilio mzuri, unaweza kwenda baa ukagawa 🍻 na ofa mbalimbali,kula kula hovyo sababu nyumbani hakuna chakula lakini ukiwa na mke huwezi kufanya mbele yake hata kidogo.

Unaweza kutumia pesa nyingi bila hofu sababu uko na washkaji,ukioa lazma kwanza uwaze familia kwanza ndio marafiki wafuate.

KUSAVE MUDA WAKO WA ZIADA
Kabla hujaoa unaweza ukawa ni mtu wa kujichanganya popote bila ratiba na mwaliko,hutojali sehemu ya kulala au utakapoamkia,lakini ukioa ni lazma ulale nyumbani tu.

ULINZI NA USALAMA WA AFYA YAKO
Hapa kabla hujaoa ulikuwa na tabia labda ya kuruka ruka(kudanga) au kufanya ngono zembe. Hapa kuna hatarisha afya yako kutokana na magonjwa ya zinaa,kulea mimba bandia au mimba zisizotarajiwa.

Ukishaoa kama utamweshimu mwenzio badi yote hayo hutopata, utakuwa unafaidika na mwenzi wako mida wowote na kwa usalama zaidi.

MLO BORA NA MZURI KWA AFYA
Ukiwa bachela unaweza kula vyakula vya hovyo hovyo na hata kama utakula hotelini basi utakula chakula kilichopo na pia gharama itakuwa ni kubwa kuliko ungekula nyumbani.

Ukioa,utachagua chakula unachopenda, garama zitakuwa ndogo,utawekewa matunda na utaulizwa kama umeshiba au la,raha iliyoje?

MSAIDIZI BORA KABISA WA MAISHA
Hapa kumbuka utapikiwa na kuoshewa vyombo,utafuliwa nguo zako vizuri,utashauriwa nguo ya kuvaa,utatizamwa kama umependeza,utafarijiwa ukiwa na mawazo,umechoka,unaumwa n.k

Changamoto za ndoa zipo lakini haziondoi hizo faida. Zoote hizo ni faida je una nyingine ujazie? Au kama bado hujaoa Ukiwa kijana ni kipi kinachokufanya usioe?

Karibuni.
 
Pamoja na uwepo wa utitiri wa ndoa sasa lakini bado katika ulimwengu wa sasa kuna vijana wanaogopa kuoa.

Kwanza kijana acha uoga kila kijana akiamua anaweza kuoa na kumudu familia hata kama ana kipato kidogo tu. Nina miaka miwili ndani ya ndoa na hizi ni faida nilizopata.

MATUMIZI BORA YA FEDHA.
Kabla sijaoa ni rahisi sana kutumia pesa bila mpangilio mzuri, unaweza kwenda baa ukagawa 🍻 na ofa mbalimbali,kula kula hovyo sababu nyumbani hakuna chakula lakini ukiwa na mke huwezi kufanya mbele yake hata kidogo.

Unaweza kutumia pesa nyingi bila hofu sababu uko na washkaji,ukioa lazma kwanza uwaze familia kwanza ndio marafiki wafuate.

KUSAVE MUDA WAKO WA ZIADA
Kabla hujaoa unaweza ukawa ni mtu wa kujichanganya popote bila ratiba na mwaliko,hutojali sehemu ya kulala au utakapoamkia,lakini ukioa ni lazma ulale nyumbani tu.

ULINZI NA USALAMA WA AFYA YAKO
Hapa kabla hujaoa ulikuwa na tabia labda ya kuruka ruka(kudanga) au kufanya ngono zembe. Hapa kuna hatarisha afya yako kutokana na magonjwa ya zinaa,kulea mimba bandia au mimba zisizotarajiwa.

Ukishaoa kama utamweshimu mwenzio badi yote hayo hutopata, utakuwa unafaidika na mwenzi wako mida wowote na kwa usalama zaidi.

MLO BORA NA MZURI KWA AFYA
Ukiwa bachela unaweza kula vyakula vya hovyo hovyo na hata kama utakula hotelini basi utakula chakula kilichopo na pia gharama itakuwa ni kubwa kuliko ungekula nyumbani.

Ukioa,utachagua chakula unachopenda, garama zitakuwa ndogo,utawekewa matunda na utaulizwa kama umeshiba au la,raha iliyoje?

MSAIDIZI BORA KABISA WA MAISHA
Hapa kumbuka utapikiwa na kuoshewa vyombo,utafuliwa nguo zako vizuri,utashauriwa nguo ya kuvaa,utatizamwa kama umependeza,utafarijiwa ukiwa na mawazo,umechoka,unaumwa n.k

Changamoto za ndoa zipo lakini haziondoi hizo faida. Zoote hizo ni faida je una nyingine ujazie? Au kama bado hujaoa Ukiwa kijana ni kipi kinachokufanya usioe?

Karibuni.
1. Matumizi bora ya fedha.. Labda kama haumhudumii mke wako. Mwanaume ww ndio provider. Kabla haujaoa unajihudumia ww. Ukioa. Unahudumia wawili na watoto wakija.

2. Muda wako wa ziada ukiwa single.. Unautumia kwa mradi wowote kwa ndoto zako. Ukishaoa.. watu wengi ndoto zinakufa sababu sasa inabidi arudi home muda maalumu.. hana uhuru wa muda wake tena..

3. Ulinzi na usalama wa afya. Watu waliooa ni rahisi sana kupata magonjwa ya ngono sababu wanaaminiana. Nina mifano mingi ya mume kamletea mke. Au mke kamletea mume VVU. Ukiwa single.. unakaa kimachale muda wote na haumwamini mtu. NA WATU WALIOOA NA KUOLEWA WANACHEPUKA SANA. Sasa sijui ww unaongelea ndoa gani.. ila sio za hapa Tz. Kuchepuka ni kawaida sana.

4. Mlo bora. WaDada wengi wa leo hata kupika hawajui.

5. Msaidizi.. Binafsi nina wafanyakazi WENGI TU. Na hao wananisaidia kazi zangu za biashara, nyumbani nk. Nawalipa vizuri, na wanafanya kazi vizuri. Sasa ww utapata msaidizi mmoja na tena kama ni MVIVU ndio imekula kwako na hauwezi kumwachisha kazi na Mahari Ulishatoa. Mimi wasaidizi wangu kama ni mvivu au hana uaminifu wa kazi, anapata pink slip.
 
ki'fupi ndoa ukiijulia ina faida nyingi sana kuliko hasara kwa sababu ukishaoa ukawa na familia yako na ukawa unaishi vizuri na familia yako ni furaha tosha kabisa kuliko kitu chochote dunia hii
Unaijuliaje ndoa? Unaoa mtu amelelewa kwao.. ana tabia zake.. na ni mtu mzima. Hakuna cha kujulia ndoa. Ndoa siku izi ni mvutano sana. Una ndoto za hivi.. yeye ana za hivi.. Hapo ndio utajua hujui.
 
1. Matumizi bora ya fedha.. Labda kama haumhudumii mke wako. Mwanaume ww ndio provider. Kabla haujaoa unajihudumia ww. Ukioa. Unahudumia wawili na watoto wakija.

2. Muda wako wa ziada ukiwa single.. Unautumia kwa mradi wowote kwa ndoto zako. Ukishaoa.. watu wengi ndoto zinakufa sababu sasa inabidi arudi home muda maalumu.. hana uhuru wa muda wake tena..

3. Ulinzi na usalama wa afya. Watu waliooa ni rahisi sana kupata magonjwa ya ngono sababu wanaaminiana. Nina mifano mingi ya mume kamletea mke. Au mke kamletea mume VVU. Ukiwa single.. unakaa kimachale muda wote na haumwamini mtu. NA WATU WALIOOA NA KUOLEWA WANACHEPUKA SANA. Sasa sijui ww unaongelea ndoa gani.. ila sio za hapa Tz. Kuchepuka ni kawaida sana.

4. Mlo bora. WaDada wengi wa leo hata kupika hawajui.

5. Msaidizi.. Binafsi nina wafanyakazi WENGI TU. Na hao wananisaidia kazi zangu za biashara, nyumbani nk. Nawalipa vizuri, na wanafanya kazi vizuri. Sasa ww utapata msaidizi mmoja na tena kama ni MVIVU ndio imekula kwako na hauwezi kimwachicha kazi na Mahari Ulishatoa. Mimi wasaidizi wangu kama ni mvivu au hana uaminifu wa kazi, anapata pink slip.
Sema hiyo ya kwanza ina make sanse
 
1. Matumizi bora ya fedha.. Labda kama haumhudumii mke wako. Mwanaume ww ndio provider. Kabla haujaoa unajihudumia ww. Ukioa. Unahudumia wawili na watoto wakija.

2. Muda wako wa ziada ukiwa single.. Unautumia kwa mradi wowote kwa ndoto zako. Ukishaoa.. watu wengi ndoto zinakufa sababu sasa inabidi arudi home muda maalumu.. hana uhuru wa muda wake tena..

3. Ulinzi na usalama wa afya. Watu waliooa ni rahisi sana kupata magonjwa ya ngono sababu wanaaminiana. Nina mifano mingi ya mume kamletea mke. Au mke kamletea mume VVU. Ukiwa single.. unakaa kimachale muda wote na haumwamini mtu. NA WATU WALIOOA NA KUOLEWA WANACHEPUKA SANA. Sasa sijui ww unaongelea ndoa gani.. ila sio za hapa Tz. Kuchepuka ni kawaida sana.

4. Mlo bora. WaDada wengi wa leo hata kupika hawajui.

5. Msaidizi.. Binafsi nina wafanyakazi WENGI TU. Na hao wananisaidia kazi zangu za biashara, nyumbani nk. Nawalipa vizuri, na wanafanya kazi vizuri. Sasa ww utapata msaidizi mmoja na tena kama ni MVIVU ndio imekula kwako na hauwezi kimwachicha kazi na Mahari Ulishatoa. Mimi wasaidizi wangu kama ni mvivu au hana uaminifu wa kazi, anapata pink slip.
kijana wa ovyo
 
kijana wa ovyo
Kama mtu wa ovyo ni mtu ambaye Nina Maisha Mazuri sana ya furaha YASIYO NA STRESS.. AMBAPO watu wengi waliooa ninaowafahamu wao wamejaa stress za ndoa na wanakuja kwangu kwa msaada na ushauri wakati mimi hata kuoa sijaoa.. NAKUBALI KABISA KUWA MTU WA OVYO. Nina maisha mazuri mazuri sana. Mmekaririshwa kwamba ni lazima muoe. Mwisho mnalia tu. Na hio jamii iliyowashinikiza muoe MKIPATA SHIDA .. Hamuoni mtu yeyote wa kuwasaidia.. mnakuja kusumbua watu kama sisi tuwasaidie.. Ila kumbe chanzo cha maisha ya furaha ni kutosikiliza watu bali kusimamia furaha yako
 
1. Matumizi bora ya fedha.. Labda kama haumhudumii mke wako. Mwanaume ww ndio provider. Kabla haujaoa unajihudumia ww. Ukioa. Unahudumia wawili na watoto wakija.

2. Muda wako wa ziada ukiwa single.. Unautumia kwa mradi wowote kwa ndoto zako. Ukishaoa.. watu wengi ndoto zinakufa sababu sasa inabidi arudi home muda maalumu.. hana uhuru wa muda wake tena..

3. Ulinzi na usalama wa afya. Watu waliooa ni rahisi sana kupata magonjwa ya ngono sababu wanaaminiana. Nina mifano mingi ya mume kamletea mke. Au mke kamletea mume VVU. Ukiwa single.. unakaa kimachale muda wote na haumwamini mtu. NA WATU WALIOOA NA KUOLEWA WANACHEPUKA SANA. Sasa sijui ww unaongelea ndoa gani.. ila sio za hapa Tz. Kuchepuka ni kawaida sana.

4. Mlo bora. WaDada wengi wa leo hata kupika hawajui.

5. Msaidizi.. Binafsi nina wafanyakazi WENGI TU. Na hao wananisaidia kazi zangu za biashara, nyumbani nk. Nawalipa vizuri, na wanafanya kazi vizuri. Sasa ww utapata msaidizi mmoja na tena kama ni MVIVU ndio imekula kwako na hauwezi kimwachicha kazi na Mahari Ulishatoa. Mimi wasaidizi wangu kama ni mvivu au hana uaminifu wa kazi, anapata pink slip.

aaaaaakh
 
1. Matumizi bora ya fedha.. Labda kama haumhudumii mke wako. Mwanaume ww ndio provider. Kabla haujaoa unajihudumia ww. Ukioa. Unahudumia wawili na watoto wakija.

2. Muda wako wa ziada ukiwa single.. Unautumia kwa mradi wowote kwa ndoto zako. Ukishaoa.. watu wengi ndoto zinakufa sababu sasa inabidi arudi home muda maalumu.. hana uhuru wa muda wake tena..

3. Ulinzi na usalama wa afya. Watu waliooa ni rahisi sana kupata magonjwa ya ngono sababu wanaaminiana. Nina mifano mingi ya mume kamletea mke. Au mke kamletea mume VVU. Ukiwa single.. unakaa kimachale muda wote na haumwamini mtu. NA WATU WALIOOA NA KUOLEWA WANACHEPUKA SANA. Sasa sijui ww unaongelea ndoa gani.. ila sio za hapa Tz. Kuchepuka ni kawaida sana.

4. Mlo bora. WaDada wengi wa leo hata kupika hawajui.

5. Msaidizi.. Binafsi nina wafanyakazi WENGI TU. Na hao wananisaidia kazi zangu za biashara, nyumbani nk. Nawalipa vizuri, na wanafanya kazi vizuri. Sasa ww utapata msaidizi mmoja na tena kama ni MVIVU ndio imekula kwako na hauwezi kimwachicha kazi na Mahari Ulishatoa. Mimi wasaidizi wangu kama ni mvivu au hana uaminifu wa kazi, anapata pink slip.
Unawakatisha wenzako tamaa
 
Pamoja na uwepo wa utitiri wa ndoa sasa lakini bado katika ulimwengu wa sasa kuna vijana wanaogopa kuoa.

Kwanza kijana acha uoga kila kijana akiamua anaweza kuoa na kumudu familia hata kama ana kipato kidogo tu. Nina miaka miwili ndani ya ndoa na hizi ni faida nilizopata.

MATUMIZI BORA YA FEDHA.
Kabla sijaoa ni rahisi sana kutumia pesa bila mpangilio mzuri, unaweza kwenda baa ukagawa na ofa mbalimbali,kula kula hovyo sababu nyumbani hakuna chakula lakini ukiwa na mke huwezi kufanya mbele yake hata kidogo.

Unaweza kutumia pesa nyingi bila hofu sababu uko na washkaji,ukioa lazma kwanza uwaze familia kwanza ndio marafiki wafuate.

KUSAVE MUDA WAKO WA ZIADA
Kabla hujaoa unaweza ukawa ni mtu wa kujichanganya popote bila ratiba na mwaliko,hutojali sehemu ya kulala au utakapoamkia,lakini ukioa ni lazma ulale nyumbani tu.

ULINZI NA USALAMA WA AFYA YAKO
Hapa kabla hujaoa ulikuwa na tabia labda ya kuruka ruka(kudanga) au kufanya ngono zembe. Hapa kuna hatarisha afya yako kutokana na magonjwa ya zinaa,kulea mimba bandia au mimba zisizotarajiwa.

Ukishaoa kama utamweshimu mwenzio badi yote hayo hutopata, utakuwa unafaidika na mwenzi wako mida wowote na kwa usalama zaidi.

MLO BORA NA MZURI KWA AFYA
Ukiwa bachela unaweza kula vyakula vya hovyo hovyo na hata kama utakula hotelini basi utakula chakula kilichopo na pia gharama itakuwa ni kubwa kuliko ungekula nyumbani.

Ukioa,utachagua chakula unachopenda, garama zitakuwa ndogo,utawekewa matunda na utaulizwa kama umeshiba au la,raha iliyoje?

MSAIDIZI BORA KABISA WA MAISHA
Hapa kumbuka utapikiwa na kuoshewa vyombo,utafuliwa nguo zako vizuri,utashauriwa nguo ya kuvaa,utatizamwa kama umependeza,utafarijiwa ukiwa na mawazo,umechoka,unaumwa n.k

Changamoto za ndoa zipo lakini haziondoi hizo faida. Zoote hizo ni faida je una nyingine ujazie? Au kama bado hujaoa Ukiwa kijana ni kipi kinachokufanya usioe?

Karibuni.
1.Gharama za kumtunza mkeo na mtoto plus na ndugu zake nyumban kwao vizinga ving...

Gharama zote hzo ukizijumlisha ni mara 10 zaidi ya ukiwa bachela

2.ishu ya magonjwa ..ukiwa singo unatumia sana kinga ila ukioa hutumii kinga kwahyo maisha yako ya afya yanategemea 100% akili ya mwenza wako..akiwa hana akil anakuletea magonjwa in a second.

Hayo mengne kuya control inawezekana ukiamua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.Gharama za kumtunza mkeo na mtoto plus na ndugu zake nyumban kwao vizinga ving...

Gharama zote hzo ukizijumlisha ni mara 10 zaidi ya ukiwa bachela

2.ishu ya magonjwa ..ukiwa singo unatumia sana kinga ila ukioa hutumii kinga kwahyo maisha yako ya afya yanategemea 100% akili ya mwenza wako..akiwa hana akil anakuletea magonjwa in a second.

Hayo mengne kuya control inawezekana ukiamua

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeoa mke au umeoa ndugu+mke?
 
Unawakatisha wenzako tamaa
Huo ndio UKWELI WOTE.. Kukatisha tamaa ni kusema kitu cha kinafiki au cha kutomtakia mtu mema. Binafsi nimeona faida sana za kutokuwa na mke. Na mafanikio yangu niliyopata najua Yasingewezekana Kamwe Ningekuwa na Mke sababu nilijaribu long term relationships na kila mara nikiwa na mDada mambo YANAHARIBIKA. Nikiwa pekee, ndio mambo YANAENDA KWELI KWELI YA KIUCHUMI.. KIBIASHARA NK. Ndio nikasema ndoa Siku Hizi inaathiri muda wako. Fedha zako. Na ndoto zako. Ukitaka kutoboa vizuri siku hizi.. Usikimbilie Ndoa. Na leo hii nimezungukwa na watu wanalalamika tu kuhusu ndoa zao. Ikiwa ni pamoja na marafiki, wafanyakazi, majirani, na ndugu. Stress kila sehemu. Ndoa labda miaka hio. SIKU HIZI SIO KITU CHA KUKIMBILIA
 
1. Matumizi bora ya fedha.. Labda kama haumhudumii mke wako. Mwanaume ww ndio provider. Kabla haujaoa unajihudumia ww. Ukioa. Unahudumia wawili na watoto wakija.

2. Muda wako wa ziada ukiwa single.. Unautumia kwa mradi wowote kwa ndoto zako. Ukishaoa.. watu wengi ndoto zinakufa sababu sasa inabidi arudi home muda maalumu.. hana uhuru wa muda wake tena..

3. Ulinzi na usalama wa afya. Watu waliooa ni rahisi sana kupata magonjwa ya ngono sababu wanaaminiana. Nina mifano mingi ya mume kamletea mke. Au mke kamletea mume VVU. Ukiwa single.. unakaa kimachale muda wote na haumwamini mtu. NA WATU WALIOOA NA KUOLEWA WANACHEPUKA SANA. Sasa sijui ww unaongelea ndoa gani.. ila sio za hapa Tz. Kuchepuka ni kawaida sana.

4. Mlo bora. WaDada wengi wa leo hata kupika hawajui.

5. Msaidizi.. Binafsi nina wafanyakazi WENGI TU. Na hao wananisaidia kazi zangu za biashara, nyumbani nk. Nawalipa vizuri, na wanafanya kazi vizuri. Sasa ww utapata msaidizi mmoja na tena kama ni MVIVU ndio imekula kwako na hauwezi kumwachisha kazi na Mahari Ulishatoa. Mimi wasaidizi wangu kama ni mvivu au hana uaminifu wa kazi, anapata pink slip.
Nakuunga mkono mkuu, kama mtu ni dream chaser wa kufanya something big, ndoa sio za kukimbilia mkuu, its another serious business.

Mfano kwenye ujasiriamali everyday kama mhusika kuna kitu cha kufix, so swala la uncertainty ya muda, cash ni kawaida sana. Huwezi mantain stress zote hizo kama uko kwa ndoa na bahati mbaya uwe umekosea pa kuoa.

kuna tofauti kubwa kati ya kufanya na mke na kuajiri watu baki, ukimpa mke kitengo kwa biashara akazingua huwez mfukuza, so kama ni jipu huwezi litibu, utalikuta hata nyumbani.

Sishauri vijana wenye ndoto za kupambania maisha makubwa yenye impact kubwa kwa jamii wakimbilie kuoa....... Ndoa kwa vijana its an underated scam.
 
Pamoja na uwepo wa utitiri wa ndoa sasa lakini bado katika ulimwengu wa sasa kuna vijana wanaogopa kuoa.

Kwanza kijana acha uoga kila kijana akiamua anaweza kuoa na kumudu familia hata kama ana kipato kidogo tu. Nina miaka miwili ndani ya ndoa na hizi ni faida nilizopata.

MATUMIZI BORA YA FEDHA.
Kabla sijaoa ni rahisi sana kutumia pesa bila mpangilio mzuri, unaweza kwenda baa ukagawa 🍻 na ofa mbalimbali,kula kula hovyo sababu nyumbani hakuna chakula lakini ukiwa na mke huwezi kufanya mbele yake hata kidogo.

Unaweza kutumia pesa nyingi bila hofu sababu uko na washkaji,ukioa lazma kwanza uwaze familia kwanza ndio marafiki wafuate.

KUSAVE MUDA WAKO WA ZIADA
Kabla hujaoa unaweza ukawa ni mtu wa kujichanganya popote bila ratiba na mwaliko,hutojali sehemu ya kulala au utakapoamkia,lakini ukioa ni lazma ulale nyumbani tu.

ULINZI NA USALAMA WA AFYA YAKO
Hapa kabla hujaoa ulikuwa na tabia labda ya kuruka ruka(kudanga) au kufanya ngono zembe. Hapa kuna hatarisha afya yako kutokana na magonjwa ya zinaa,kulea mimba bandia au mimba zisizotarajiwa.

Ukishaoa kama utamweshimu mwenzio badi yote hayo hutopata, utakuwa unafaidika na mwenzi wako mida wowote na kwa usalama zaidi.

MLO BORA NA MZURI KWA AFYA
Ukiwa bachela unaweza kula vyakula vya hovyo hovyo na hata kama utakula hotelini basi utakula chakula kilichopo na pia gharama itakuwa ni kubwa kuliko ungekula nyumbani.

Ukioa,utachagua chakula unachopenda, garama zitakuwa ndogo,utawekewa matunda na utaulizwa kama umeshiba au la,raha iliyoje?

MSAIDIZI BORA KABISA WA MAISHA
Hapa kumbuka utapikiwa na kuoshewa vyombo,utafuliwa nguo zako vizuri,utashauriwa nguo ya kuvaa,utatizamwa kama umependeza,utafarijiwa ukiwa na mawazo,umechoka,unaumwa n.k

Changamoto za ndoa zipo lakini haziondoi hizo faida. Zoote hizo ni faida je una nyingine ujazie? Au kama bado hujaoa Ukiwa kijana ni kipi kinachokufanya usioe?

Karibuni.
Miaka miwili unashangilia bro🤔
 
Huo ndio UKWELI WOTE.. Kukatisha tamaa ni kusema kitu cha kinafiki au cha kutomtakia mtu mema. Binafsi nimeona faida sana za kutokuwa na mke. Na mafanikio yangu niliyopata najua Yasingewezekana Kamwe Ningekuwa na Mke sababu nilijaribu long term relationships na kila mara nikiwa na mDada mambo YANAHARIBIKA. Nikiwa pekee, ndio mambo YANAENDA KWELI KWELI YA KIUCHUMI.. KIBIASHARA NK. Ndio nikasema ndoa Siku Hizi inaathiri muda wako. Fedha zako. Na ndoto zako. Ukitaka kutoboa vizuri siku hizi.. Usikimbilie Ndoa. Na leo hii nimezungukwa na watu wanalalamika tu kuhusu ndoa zao. Ikiwa ni pamoja na marafiki, wafanyakazi, majirani, na ndugu. Stress kila sehemu. Ndoa labda miaka hio. SIKU HIZI SIO KITU CHA KUKIMBILIA
Sasa kwanini unatafuta hela au maisha mazuri?
 
Back
Top Bottom