Ewe mzazi kama unaishi na mwanao au jamaa ambaye ni Jobless, basi zingatia haya

Haipendezi mwache mtu amalize kula sasa mwambie sikupenda ama ulichofanya sio!

Kusemwa kwenye msosi dah na ndo sehemu inaongozwa kusemwa ...... I feel sorry kwa wote wanaopitia hayo
sio tu amalize kula, tafuta wakti mwingine Bora.

we uki Shiba halafu uka semwa, lazima upagawe.
 
Mchongo huu hapa vijana acheni kulia Lia au bado mnachagua mishe
Screenshot_20250204-102553~2.jpg
 
mkuu afadhali una elewa, yaani ule muda wa kula.
Yeye ana taka kuongea vitu vya ajabu ajabu
Watu washenzi sana ........

Nanukuu Niliambiwa kama huwezi saidia mtu bila kumbeza au kumsema acha . Mwambie tuu sina ama siwezi kistaarabu atakuelewa

Maake unajitafutia laana au chuki na yule uliye msaidia!

Naelewa sana ndugu yangu
 
Hiyo itakuwa fahari kubwa kwangu Sina cha kuwapa zaidi ya kuseme
Kidumu chama cha majobless pro max, na kuwaombea mfike mbele zaidi sio tu Tanzania bali hata Africa na dunia nzima Kuna majobless wengi huko ulaya wanahitaji huduma yenu.
Wanatoa huduma gani?
 
Back
Top Bottom