Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,429
- 6,282
AmenUfanye ivyo Tena isizid miaka miwili ijayo inshallah
Kwann Dr nipe mbinu za medani
AmenUfanye ivyo Tena isizid miaka miwili ijayo inshallah
Mimi sio jobless tuu, mtu yeyote kusemwa na kubezwa kisa msosi it's hurts kinoma mkuu.....Hii izingatiwe sana.
Upo sahihi mkuu kula ni starehe. Kusemwa wakati wakula haipendezi kabisa.Mimi sio jobless tuu, mtu yeyote kusemwa na kubezwa kisa msosi it's hurts kinoma mkuu.....
Familia ni familia unadhani nina option zaidi ya kumuunga mkono?Kwahiyo binti kiziwi anakuunga mkono?
Haipendezi mwache mtu amalize kula sasa mwambie sikupenda ama ulichofanya sio!Upo sahihi mkuu kula ni starehe. Kusemwa wakati wakula haipendezi kabisa.
mkuu afadhali una elewa, yaani ule muda wa kula.Mimi sio jobless tuu, mtu yeyote kusemwa na kubezwa kisa msosi it's hurts kinoma mkuu.....
sio tu amalize kula, tafuta wakti mwingine Bora.Haipendezi mwache mtu amalize kula sasa mwambie sikupenda ama ulichofanya sio!
Kusemwa kwenye msosi dah na ndo sehemu inaongozwa kusemwa ...... I feel sorry kwa wote wanaopitia hayo
Watu washenzi sana ........mkuu afadhali una elewa, yaani ule muda wa kula.
Yeye ana taka kuongea vitu vya ajabu ajabu
Nani kalia Lia jombi, chill out!Mchongo huu hapa vijana acheni kulia Lia au bado mnachagua misheView attachment 3226208
Nipe hiyo kazi mkuu nipate experience ya chaiMchongo huu hapa vijana acheni kulia Lia au bado mnachagua misheView attachment 3226208
Mungu atufanyie wepesii na wengine wote......sio tu amalize kula, tafuta wakti mwingine Bora.
we uki Shiba halafu uka semwa, lazima upagawe.
Siwezi!Zulu man ana uliza Kama una niunga mkono kwenye kuto kuoa😃🤣
Sio Kwa ubaya ila uki Anza kuni sema wakati nakula, I just move on with other issues.Mungu atufanyie wepesii na wengine wote......
Tunasemwa kisa ugali tuu ....... Japo kanipa msosi lkn unaondoa ule utulivu wa akili na shibe
Nakupata ndugu yangu.....Sio Kwa ubaya ila uki Anza kuni sema wakati nakula, I just move on with other issues.
naam kidumu chama Cha ma jobless pro maxNakupata ndugu yangu.....
Wanatoa huduma gani?Hiyo itakuwa fahari kubwa kwangu Sina cha kuwapa zaidi ya kuseme
Kidumu chama cha majobless pro max, na kuwaombea mfike mbele zaidi sio tu Tanzania bali hata Africa na dunia nzima Kuna majobless wengi huko ulaya wanahitaji huduma yenu.
Ya kuongea na wakwe usitoe mahali au upunguziwe mahali na upewe na mtaji😂😂😂Wanatoa huduma gani?