Evarist Chahali: Urafiki wetu na RWANDA ni wa mashaka

Rwanda ni marafiki wa mashaka,miaka michache iliyopita waliivamia Congo DR,na pia wanadaiwa kuhusika na mambo yaliyomkuta Baba yake na Joseph Kabila,tunajua Mobutu aliondolewa na majeshi ya waasi kwa kushirikiana na Rwanda na ndio maana baada ya kuondolewa kwa Mobutu,Mkuu wa kwanza wa jeshi la CongoDR alitoka Rwanda,Laurent Kabila alianza kutoelewana na Rwanda,Mkuu huyo wa majeshi alirudi na yaliyomkuta Laurent Kabla kila mtu anayajua.

Pia jeshi la Tanzania juzi juzi liliwafukuza M23 kutoka CongoDR,baada ya kufukuzwa,M23 walielekea Rwanda na Uganda na kupokelewa vizuri,jeshi letu bado liko CongoDR na kuna taarifa kwamba M23 wametoroka makambini na inasemekana wamerudi Congo,je kagame anajichekesha ili Tanzania ipotezee ukali na mafanikio yake iliyopata kuzima uasi na kuituliza Congo? Jeshi letu likiwachapa tena M23 bwana kagame atachukuliaje?na anatuchimba chimba kwa urafiki ili ajue nini? Kuhusu nini? Ni Tanzania tu ndio inaweza kuikemea Rwanda!

Nkurunzinza juzi juzi alinusurika mapinduzi akiwa anahudhuria mkutano hapa Tanzania na lawama anatupiwa Kagame,sasa Burundi hahudhurii mikutano ya jumuiya ya afrika mashariki inayofanyikia Rwanda ......tunaona Rwanda akijaribu kuweka utawala DRC,na juzi Burundi,

Rais kagame alikuwa mkuu wa ujasusi wa jeshi la Uganda kabla hajaandaa jeshi lake na kuivamia Rwanda na kusababisha mauaji,kwa kuwa yeye ni mtusi anasema mauaji hayo ya kimbari eti waliuwawa Watusi tu,wahutu hawakuuwawa,kama kagame aliingia na jeshi la Watusi dhidi ya wahutu,kwa nini upande mmoja wafe upande mwingine isemekane hawakuuwawa?....anyway,kagame alikuwa mkuu wa upelelezi wa jeshi la Uganda......kavamia na kupindua Rwanda....huyooo akachora Ramani kumuondoa Mobutu ili amuweke Laurent kabila,kamuweka,wakagombana,Kabila akauwawa,Mkuu wa jeshi la Mzee kabila alitoka Rwanda......juzi akataka kupachika utawala Burundi Tanzania ikamzuia,sasa kaanza kujifanya Rafiki wa Tanzania.

Wanyamulenge,kimsingi wanyamulenge ni wafugaji wa kitusi ambao walipandikizwa mashariki ya Congo kwa miaka mingi na kwa makusudi,wakajigeuza jeshi wakaanza uasi mashariki ya Congo.

Kuna madai kwamba Kagame anaitaka Congo ya Mashariki ili iwe taifa,yaani Congo imegwe wakae Watusi,kama israel ilivyoimega palestina ikaanzisha taifa lake,na uasi katika ukanda huo ni sehemu ya juhudi hizo.

Binafsi hata majadiliano ya Tanzania na wafadhili yaliyofanywa na Kaberuka,Mnyarwanda kwa niaba ya Tanzania sikufurahia

Miaka isiyizidi mitano wakati JK alipoanza operesheni kuwaondoa wahamiaji haramu,mmoja wa wakuu wa idara ya IT jeshini alikuwa Mnyarwanda na alipotea katika mazingira ya kutatanisha,labda alirudi kwao Rwanda ,bado hatujakaa sawa kaberuka anajadili mambo yetu na wafadhili,kuna madai kwamba watu wanaotumikia nchi zao nje ya mipaka ni majasusi,sasa sisi pengine tunafikiria kaberuka ni mchumi ni na mtaalamu,je kama ni mmoja wa majasusi wa Rwanda? Si anakuwa kajua mambo yetu mengi ya wizara ya fedha?

Juzi tu kagame alilaumiwa kwa kumuua Kalegeya huko afrika kusini akiwa hotelini,

Hivi karibuni tu Mkuu wa zamani wa jeshi la Rwanda jenerali kayumba nyamwasa alikoswakoswa risasi na inasemekana kama si Tanzania kumpa safe passage mpaka afrika kusini basi angeuwawa,

Pia hata makundi ya wafugaji wa kinyarwanda wanaojifanya kutafuta malisho katika mapori ya Mkoa wa geita,kagera na kigoma yaangaliwe vizuri sana,majasusi wanaweza kujifanya wafugaji na wakawa wana track kila kinachoendelea mipakani,juzi kuna mkuu wa pori moja huko kagera,alipotaka kuwaondoa wahamiaji haramu akajikuta yeye ndiye anapoteza kazi,hawa watu wana nguvu kiasi gani? Na kwa nini wanyarwanda waone sehemu ya kufugia ni Tanzania lakini waganda na warundi wasione hivyo?
Well said mkuu
 
Hakuna urafiki? Kama alifikia kusema analeta wataalam wa IT kuongoza TRA unadhani huo ni nini?

Hilo halina shida. Kama ni wazuri kwa nini tusiwatumie. Hata US na Russia wana Changamoto zao kwenye mahusiano ila wanasaidiana kwenye mambo mengi na nyeti especially, sayansi (Space station), intelligentsia na mambo mengine lukuki. Ingawa Kiukweli ni sworn enemies.

Maslahi ya nchi siyo mapenzi eti ukimchukia mpenzi wako utazila kuongea naye au kumuacha kabisa....
 
Hilo halina shida. Kama ni wazuri kwa nini tusiwatumie. Hata US na Russia wana Changamoto zao kwenye mahusiano ila wanasaidiana kwenye mambo mengi na nyeti especially, sayansi (Space station), intelligentsia na mambo mengine lukuki. Ingawa Kiukweli ni sworn enemies.

Maslahi ya nchi siyo mapenzi eti ukimchukia mpenzi wako utazila kuongea naye au kumuacha kabisa....

Hivi unaweza kumkaribisha mtu kwenye chanzo chako cha mapato? Napata wasiwasi na uwezo wako wakufikiria.
 
Mkuu unaandika kirahisi hivyo? Hii nchi yetu sote, sio ya Wasukuma tu sasa.

Hatuna urafiki na yeyote. Sisi tunaangalia maslahi yetu Mkuu. Mazuri ya Rwanda tuyaaige. Mabovu na ujanja wao tuwaachie. Especially umafia wa Kagame kuua wapinzani wake wasiokubaliana na mtizamo wake.
 
Rwanda ni marafiki wa mashaka,miaka michache iliyopita waliivamia Congo DR,na pia wanadaiwa kuhusika na mambo yaliyomkuta Baba yake na Joseph Kabila,tunajua Mobutu aliondolewa na majeshi ya waasi kwa kushirikiana na Rwanda na ndio maana baada ya kuondolewa kwa Mobutu,Mkuu wa kwanza wa jeshi la CongoDR alitoka Rwanda,Laurent Kabila alianza kutoelewana na Rwanda,Mkuu huyo wa majeshi alirudi na yaliyomkuta Laurent Kabla kila mtu anayajua.

Pia jeshi la Tanzania juzi juzi liliwafukuza M23 kutoka CongoDR,baada ya kufukuzwa,M23 walielekea Rwanda na Uganda na kupokelewa vizuri,jeshi letu bado liko CongoDR na kuna taarifa kwamba M23 wametoroka makambini na inasemekana wamerudi Congo,je kagame anajichekesha ili Tanzania ipotezee ukali na mafanikio yake iliyopata kuzima uasi na kuituliza Congo? Jeshi letu likiwachapa tena M23 bwana kagame atachukuliaje?na anatuchimba chimba kwa urafiki ili ajue nini? Kuhusu nini? Ni Tanzania tu ndio inaweza kuikemea Rwanda!

Nkurunzinza juzi juzi alinusurika mapinduzi akiwa anahudhuria mkutano hapa Tanzania na lawama anatupiwa Kagame,sasa Burundi hahudhurii mikutano ya jumuiya ya afrika mashariki inayofanyikia Rwanda ......tunaona Rwanda akijaribu kuweka utawala DRC,na juzi Burundi,

Rais kagame alikuwa mkuu wa ujasusi wa jeshi la Uganda kabla hajaandaa jeshi lake na kuivamia Rwanda na kusababisha mauaji,kwa kuwa yeye ni mtusi anasema mauaji hayo ya kimbari eti waliuwawa Watusi tu,wahutu hawakuuwawa,kama kagame aliingia na jeshi la Watusi dhidi ya wahutu,kwa nini upande mmoja wafe upande mwingine isemekane hawakuuwawa?....anyway,kagame alikuwa mkuu wa upelelezi wa jeshi la Uganda......kavamia na kupindua Rwanda....huyooo akachora Ramani kumuondoa Mobutu ili amuweke Laurent kabila,kamuweka,wakagombana,Kabila akauwawa,Mkuu wa jeshi la Mzee kabila alitoka Rwanda......juzi akataka kupachika utawala Burundi Tanzania ikamzuia,sasa kaanza kujifanya Rafiki wa Tanzania.

Wanyamulenge,kimsingi wanyamulenge ni wafugaji wa kitusi ambao walipandikizwa mashariki ya Congo kwa miaka mingi na kwa makusudi,wakajigeuza jeshi wakaanza uasi mashariki ya Congo.

Kuna madai kwamba Kagame anaitaka Congo ya Mashariki ili iwe taifa,yaani Congo imegwe wakae Watusi,kama israel ilivyoimega palestina ikaanzisha taifa lake,na uasi katika ukanda huo ni sehemu ya juhudi hizo.

Binafsi hata majadiliano ya Tanzania na wafadhili yaliyofanywa na Kaberuka,Mnyarwanda kwa niaba ya Tanzania sikufurahia

Miaka isiyizidi mitano wakati JK alipoanza operesheni kuwaondoa wahamiaji haramu,mmoja wa wakuu wa idara ya IT jeshini alikuwa Mnyarwanda na alipotea katika mazingira ya kutatanisha,labda alirudi kwao Rwanda ,bado hatujakaa sawa kaberuka anajadili mambo yetu na wafadhili,kuna madai kwamba watu wanaotumikia nchi zao nje ya mipaka ni majasusi,sasa sisi pengine tunafikiria kaberuka ni mchumi ni na mtaalamu,je kama ni mmoja wa majasusi wa Rwanda? Si anakuwa kajua mambo yetu mengi ya wizara ya fedha?

Juzi tu kagame alilaumiwa kwa kumuua Kalegeya huko afrika kusini akiwa hotelini,

Hivi karibuni tu Mkuu wa zamani wa jeshi la Rwanda jenerali kayumba nyamwasa alikoswakoswa risasi na inasemekana kama si Tanzania kumpa safe passage mpaka afrika kusini basi angeuwawa,

Pia hata makundi ya wafugaji wa kinyarwanda wanaojifanya kutafuta malisho katika mapori ya Mkoa wa geita,kagera na kigoma yaangaliwe vizuri sana,majasusi wanaweza kujifanya wafugaji na wakawa wana track kila kinachoendelea mipakani,juzi kuna mkuu wa pori moja huko kagera,alipotaka kuwaondoa wahamiaji haramu akajikuta yeye ndiye anapoteza kazi,hawa watu wana nguvu kiasi gani? Na kwa nini wanyarwanda waone sehemu ya kufugia ni Tanzania lakini waganda na warundi wasione hivyo?
Umeongea vitu vya msingi ila watu wanawasiwasi mkubwa juu ya uraia wa baadhi ya wakubwa wa Taasisi maana maamuzi yao balaa,umeongea juu ya uwepo wa col ambaye si raia wa Tanzania ambaye alikuwa kwenye idara uliyoitaja kama mtu anajiunga na JWTZ hadi anafikia kuwa lt col au col bila kudundulika basi tuko mashakani.
 
Hilo halina shida. Kama ni wazuri kwa nini tusiwatumie. Hata US na Russia wana Changamoto zao kwenye mahusiano ila wanasaidiana kwenye mambo mengi na nyeti especially, sayansi (Space station), intelligentsia na mambo mengine lukuki. Ingawa Kiukweli ni sworn enemies.

Maslahi ya nchi siyo mapenzi eti ukimchukia mpenzi wako utazila kuongea naye au kumuacha kabisa....
Mimi sijawahi kuona hata toothpick kutoka Rwanda,sembuse hizo IT!!!!
 
Umeongea vitu vya msingi ila watu wanawasiwasi mkubwa juu ya uraia wa baadhi ya wakubwa wa Taasisi maana maamuzi yao balaa,umeongea juu ya uwepo wa col ambaye si raia wa Tanzania ambaye alikuwa kwenye idara uliyoitaja kama mtu anajiunga na JWTZ hadi anafikia kuwa lt col au col bila kudundulika basi tuko mashakani.
Magazeti yalimuandika sana kipindi hicho,nadhani ndiye alikuwa anampa jeuri PAKAgame
 
Rwanda ni wezi wa madini ya Tantalite Congo..(Tantalite ni madini yanayotumika kutengenezea electronic gadgets)
 
hayo sifahamu, ninachojua ile ni taasisi sio mtu. Na taasisi ipo kwa ajili ya national interest, naamini yote yanayofanyika kwa umakini. Nadhani wao wanajua zaidi yetu. Sioni upelelezi wa Rwanda Unaozuia Transfer of knowledge hata maengineer wa Urusi huwa wanashirikiana na wa Nasa na Virse Versa japo nchi zao ni maasimu. Sioni Upelelezi unaozuia Tanzania na Rwanda Kufanya biashara, Sioni sababu ya mtu kushangaa kwa nini Leo Bus Dar/Kigali TRINITY linaenda Rwanda na afananishe na mambo ya kipelelezi wakati kabla ya hapo Kulikuwa na Airrwanda Dar-Kigali, Pia Watu walitumia muda mrefu zaidi hadi kwenda kupandia bus Rusumo. Haya mambo binafsi nayaangalia kiuchumi zaidi. Kugoma kushirikiana na Majirani kwa kisingizio cha hofu ya upelelezi wakati hata huyo mpelelezi mkuu anaesadikika kuwa Kiongozi wao Tumemfundisha sisi ni Unjustified Fear. Vinginevyo tutabaki kuwa masikini hadi kiyama...
Sidhani kama kuna mtu kasema tusishirikiane na Kigali hasa kiuchumi bali watu wanashauri tuwe waangalifu sana na marafiki wa aina ya Kagame. Kumfundisha kiongozi wao haina grantii kwamba tunamzidi kila kitu, hujaona kuna wakati mwalimu anazidiwa maarifa na mwanafunzi wake.
 
Rwanda ni wezi wa madini ya Tantalite Congo..(Tantalite ni madini yanayotumika kutengenezea electronic gadgets)
Anachofanya kagame ni kulazimisha urafiki na Tanzania ili Tanzania ikae kimya halafu Rwanda waendelee kuiba Kongo,soon utasikia Tanzania imeondoa majeshi Kongo,hapo PAKA atakuwa kafanikiwa,
 
Sidhani kama kuna mtu kasema tusishirikiane ma Kigali bali watu wanashauri tuwe waangalifu sana na marafiki wa aina ya Kagame. Kumfundisha kiongozi wao haina grantii kwamba tunamzidi kila kitu, hujaona kuna wakati mwalimu anazidiwa maarifa na mwanafunzi wake.
Ninachoshangaa kwa nini watu wanadhani hatuko makini.
mimi nadhani Urafiki wa nchi na nchi duniani kote ni tofauti na urafiki wa watu wawili au mtu na mke wake.
Tumeona nchi nyingi zinazojifanya marafiki kutofautiana. Mimi nadhani kikubwa ni Maslahi ya Tanzania katika kila move, urafiki litumike kama jina tu. Hakuna watu waliokuwa marafiki kama Russia,US na UK wakati wa WW2 lakin baada ya kuiteka German kila mmoja akarudi kwenye maslahi yake. Hapo ndio Urafiki ukabaki mdomoni wakati kwenye ulimwengu wa Intelligensia ilikuwa ni vita kama ndio inaanza.
Au mkuu unadhani nani ni rafiki yetu tunaemuamini 100%. Hapa point ni national Interest na sidhani kama hatuko makini.
kwa uwelewa wangu wa juu juu kuhusu hilo ila werevu zaidi wanaweza kueleza...
 
Back
Top Bottom