East African Federation (EAF) public Views

Unregistered said:
Ohooooo! Angalia huyu Mzanzibari!

Anachoona yeye ni ukaribu wa dini, ethnicity, n.k. Haoni kwamba katika ulimwengu tunakoelekea hayo ni mambo ya mwaka 47 kama tunavyosema. Haoni kwamba fikra kama hizo ndo zinazochangia uhasama kwa sababu ya kutoona zaidi ya ukabila na udini n.k. Mifano ipo kila mahali, IRAQ hivi sasa Wasuni, Washia ohoooo..

Anataka kutuambia kwamba atafanya biashara na Mgiriama lakini siyo mkikuyu au Mwacholi au mnyarwanda?

Tuachane na mawazo hayo!!! Yamepitwa na wakati! Umoja tunaotaka ni wa kuwasaidia wananchi wetu, bila kujali tunaungana na kabila gani au nchi gani au dini gani.

Sasa mwataka kuhamia Oman?


why are you crucifying this brother, i thought you TZN are free to air your point of view.so please let the mzanzibari naye atoe maoni yake kuhusu jumuia, its his rght and just because he disagrees with you does not mean he wants to undermine the union ,and the issue of Oman, why dont you go back to the Congo forest where you came from
 
Unregistered said:
Jamani, What is hapening with KFF(Kenya Football Federation)? Did I hear well? So, FIFA is coming to investigate corruption in KFF? Is this true? Can somebody enlighten me. Is KFF led by Kikuyus or Luos? Or perhaps Kalenjins? or even Kambas or luhyas?


tanzanians are obssed with kenyan tribalism,it seems our tribalism is bothering you more than its bothering us, we can deal with our tribalism, and pilipili usioila ya kuwashia nini? KFF has nothing to do with EAF or TZ for that matter.
 
Unregistered said:
What is it that so hard for you to understand ?Are you insane ?From this article, I thought you could realize that those numbers can be changed in a matter of sunrise and sunset so as the masters can get what they want.Uganda was praised economically just to get it into the line to be exploited, **hole.
Your argument about reading the book,do you know how many lessons you can get from reading one book ?For your information,any book has more than one lesson,just incase it happened that you do so.You don`t have to read the whole of it,if you did on the one quoted .By the way,have you been to school at all ? Or is that 8-4-4- that we are trying to compare and contrast here.

well its ok if you want to judge my education, chances are you aren't that educated yourself,its easy to sniff you out.getting to the point, your are trying to excuse your slacker status in the region, and hmmm the best way to do that is to claim UG faked their numbers. well brother, you can fake numbers you can't fake reality, ive been to both UG and TZ, i can confidently claim UGN live a better life than most TZN and just to rub salt in your wound, they were worse off in 1986 and they did it from a weaker position, so you guys believe you don't cook numbers your country has the lowest indicators in the region, you are simply operating on the margins and your economy is heavily dependent on foreign aid, if they shut the taps you guys will go down the drain.
 
Watanzaniaaaaaaaaaaa.....

Mmenifurahisha kwa maoni mazuri juu ya huyu mdudu EAF. Hivi jamani kuwa "nyang'au-phobic" kuna ubaya kweli? Wabongo jivunieni amani na umoja wenu, mafanikio ya kiuchumi nikujipanga wenyewe na kufanya vitu vyenu. Kwa sasa uchumi unakua kwa kiwango cha kuitwa na mabeberu "the best perfoming in sub-sahara africa". kwani ni kwa sababu ya EAF? Asikudanganye mtu, kuingia ubia na tapeli utalia tu. Kama alikuliza juzi(1977) atashindwaje sasa?

Nauliza tena swali kwa Wabongo wanaodanganyika na EAF idea:
- Gharama tuliyopata kujenga jamii ya kijamaa (yenye umoja, upendo, amani na mshikamano) miaka arobaini, mmeisahau? Mwataka tuanze tena? Kuwaunganisha Wajaluo na Wakikuyu!..mmmh. Jamani hiyo kazi wafanye wenyewe nasi tupate muda wa kushughulikia uchumi ambao Ujamaa hukupata mafanikio makubwa katika eneo hilo.

Ombi kwa Watz:
Kama mtu mmoja aliyesema hapo, la muhimu ni maoni ya wananchi wote. Tulioko Dar jamani tuanze kwa kuwapa watu mwanga juu ya jambo hili. Najua wabongo wengi hawajui madhara yake zaidi ya kudanganywa na wanasiasa. Napatikana kwa ajili ya kuunda timu ya kuwafikia watz wengi na kuwajulisha madhara ya EAF kwa Tz.

Napatikana: bongolander@hotmail.com

Tafadhali tulitumikie taifa katika hilo
 
Unregistered said:
What is it that so hard for you to understand ?Are you insane ?From this article, I thought you could realize that those numbers can be changed in a matter of sunrise and sunset so as the masters can get what they want.Uganda was praised economically just to get it into the line to be exploited, **hole.
Your argument about reading the book,do you know how many lessons you can get from reading one book ?For your information,any book has more than one lesson,just incase it happened that you do so.You don`t have to read the whole of it,if you did on the one quoted .By the way,have you been to school at all ? Or is that 8-4-4- that we are trying to compare and contrast here.

well its ok if you want to judge my education, chances are you aren't that educated yourself,its easy to sniff you out.getting to the point, your are trying to excuse your slacker status in the region, and hmmm the best way to do that is to claim UG faked their numbers.

Well brother, you can fake numbers you can't fake reality, ive been to both UG and TZ, i can confidently claim UGN live a better life than most TZN and just to rub salt in your wound, they were worse off in 1986 and they did it from a weaker position, so you guys believe you don't cook numbers your country has the lowest indicators in the region, you are simply operating on the margins and your economy is heavily dependent on foreign aid, if they shut the taps you guys will go down the drain. and plz 8-4-4 is not perfect but i can challenge you to an essay competition with my form one brother chances are you will get an F for plagiarism if you can fathom the word that is. hasta la vista
 
Unregistered said:
well its ok if you want to judge my education, chances are you aren't that educated yourself,its easy to sniff you out.getting to the point, your are trying to excuse your slacker status in the region, and hmmm the best way to do that is to claim UG faked their numbers. well brother, you can fake numbers you can't fake reality, ive been to both UG and TZ, i can confidently claim UGN live a better life than most TZN and just to rub salt in your wound, they were worse off in 1986 and they did it from a weaker position, so you guys believe you don't cook numbers your country has the lowest indicators in the region, you are simply operating on the margins and your economy is heavily dependent on foreign aid, if they shut the taps you guys will go down the drain. and plz 8-4-4 is not perfect but i can challenge you to an essay competition with my form one brother chances are you will get an F for plagiarism if you can fathom the word that is. hasta la vista


Angalia unaringia lugha ya wanaokulipa - Nyang'au mkubwa, nenda kawabembeleze wakenya wenzio waache kuuana kikabila na waganda wasio na haya. Nani hawezi kuandika hadithi popo, kwa kweli una wazimu; kama kusoma ni lugha basi mmeendelea ndio sababu mmeamua kufanya kiswahili iwe lugha yenu ya taifa juzi juzi. Ni ujinga gani huu? Kweli leo naamini dunia hadaa u.................................................

Salamsiki
 
Nyangau X;
I hear u brother, and I urge wabongo wenzangu lets stop posting hate message humu ndani. US and Kenyans have always been washkaji (majirani) and its not about to change. Me, just like most of u wabongo I am against the federation but I still love and respect my Kenyan's brothers and sisters.

Lets spread the love jamani, debate respectfully and stop hating on each other.

Love ya'all;
 
I do not believe what people are posting here are the standings of all their fellow citizens (i.e Kenyans, Tanzanians & Ugandans).

www.JamboForums.com is here for us to give out our views on the EAF, I wonder some people are now calling each other NYANG'AUs and the alike! No, let's get back to the topic... You don't like the Federation give out your views, do not insult Tanzania/Kenya/Uganda and their residents.

Mbona tulio Afrika Mashariki hatujazoea kutukanana? Kwanini matusi sasa? Tunajuana udhaifu wetu na tumezoeana tunabebana hivohivo. Cha muhimu tutoe hoja kwa kuheshimiana. Binafsi sipendi kuwa na Federation hii lakini siwezi kumtusi au kutoa lugha mbaya kwa Mkenya au Mganda wala Mtanzania kisa nina machungu. Machungu yangu yadhihirike kwa kuonesha nini kinanifanya kusema SIPENDI kuwa na Federation.

Kwa upande mwingine, naamini Tanzania inaweza kuisaidia Uganda kurejesha utawala wa haki (i.e Mu7 abanduke madarakani na kuwaachia wengine) ili waganda wawe huru na kusahau mambo ya WAASI always. Kenya haiwezi kusaidia kwa hili ila naamini Tanzania inaweza (ikidhamiria).

Naamini Tanzania inaweza kuisiaidia Kenya kuipa ushauri namna ya kuacha mambo ya ukabila. Lakini Kenya yenyewe ilitakiwa kuwaunganisha raia wake kwa kuigeuza lugha ya Kiswahili iwe ya taifa. Siri mojawapo ya Tanzania kuwa na amani ni watu wake kuongea lugha moja. Sina mengi juu ya hili.

Naamini Kenya inaweza kuisaidia Tanzania katika nyanja mbalimbali hasa katika masuala yahusianayo na kilimo. Sipendi kuamini kabisa kuwa kuna taifa lina wasomi wengi kuliko jingine kwakuwa sijafanya utafiti. I haven't done the research on this hence can't argue.

Ni mawazo tu, lakini nia ya mimi kuandika hapa ni kusema tusisababishe viongozi wa hii forum wapate kazi ngumu ya kufuta maneno makali kwenye hoja zetu. Wa-Afrika Mashariki tunaaminika kuwa Waswahili na wavumilivu. Tujibizane kwa hoja na si kashfa, matusi n.k

Mungu awabariki!
 
As a Kenyan i'm glad the Tanzanians are anti-EAF though it's sad they think we're shyt piled several feet high.An EAF is one step closer to global gorvernance coz somehow it gonna be easier to incorporate the fed into the New Age agenda.Yeah,i'm a cospiracy nut.Big deal.

The hell i wanna be an East African Federation citizen nor an African Unionist crap nor Global citizen.Rather be Kenyan,Kenyan,Kenyan all through with all the shyt it's associated with,including Kibera.

Bongo is cool though, with all the music and stuff.Music capital of East Africa,but do they say.Wish i could speak some bongo Swahili so i could get a leg up on the ladies.Economic union is fine but political
union????wtf???

Wabongo nawasihi wacha matusi.Waganda stop bombing our Karamoja citizens pronto.Na hiyo ni maendeleo.Meanwhile Kenyans we got monster fish to fry when it comes to Somalia BS and them Ethiopians who invade Marsabit whenever they feel like.But then,What do i say?

Hakuna noma.
 
"Mbona tulio Afrika Mashariki hatujazoea kutukanana? Kwanini matusi sasa? Tunajuana udhaifu wetu na tumezoeana tunabebana hivohivo. Cha muhimu tutoe hoja kwa kuheshimiana. Binafsi sipendi kuwa na Federation hii lakini siwezi kumtusi au kutoa lugha mbaya kwa Mkenya au Mganda wala Mtanzania kisa nina machungu. Machungu yangu yadhihirike kwa kuonesha nini kinanifanya kusema SIPENDI kuwa na Federation.

Kwa upande mwingine, naamini Tanzania inaweza kuisaidia Uganda kurejesha utawala wa haki (i.e Mu7 abanduke madarakani na kuwaachia wengine) ili waganda wawe huru na kusahau mambo ya WAASI always. Kenya haiwezi kusaidia kwa hili ila naamini Tanzania inaweza (ikidhamiria).

Naamini Tanzania inaweza kuisiaidia Kenya kuipa ushauri namna ya kuacha mambo ya ukabila. Lakini Kenya yenyewe ilitakiwa kuwaunganisha raia wake kwa kuigeuza lugha ya Kiswahili iwe ya taifa. Siri mojawapo ya Tanzania kuwa na amani ni watu wake kuongea lugha moja. Sina mengi juu ya hili.

Naamini Kenya inaweza kuisaidia Tanzania katika nyanja mbalimbali hasa katika masuala yahusianayo na kilimo. Sipendi kuamini kabisa kuwa kuna taifa lina wasomi wengi kuliko jingine kwakuwa sijafanya utafiti. I haven't done the research on this hence can't argue."


Mimi nimeupenda mtizamo wa Ndugu yangu huyu Mtanzania kwenye quotation ya hapo juu. Kwa hakika hakuna haja ya kutukanana. Inasikitisha mno kuona namna sisi watu wa Afrika Mashariki na hasa kati ya Kenya na Tanzania tunavyochukiana. Tanzania na Uganda hakuna tatizo lakini tatizo lipo kati ya Tanzania na Kenya na pengine hata kati ya Kenya na Uganda.

Jambo la maana hapa siyo kuangalia tu kwanini wananchi wa Kenya na Tanzania wanaonekana kutoamininia bali ni muhimu kuangalia chanzo cha yote haya. Ukitibu chanzo ndipo suala la kutoaminiana litakwisha.

Na ni vema pia kuangalia ni nani alianza kumtukana na kumdharau mwenzake.

Ukweli wa mambo ni kuwa chanzo cha yote haya ni Kenya ambapo baadhi ya wananchi wake wana dharau kubwa na hasa kwa watanzania ambao hawapendi dharau na matusi hayo. Kinachotokea sasa ni watanzania kuzijibu dharau na matusi hayo ya wakenya na wakati huo huo wakenya nao kujibu response na reaction hizo kutoka Tanzania. Kwa hiyo vita vya maneno vitaendelea tu, sijui mpaka lini.

Kenya walianza "ugomvi" huu kupitia vyombo vyao vya habari kwa kuishambulia Tanzania kwa maneno. Vyombo vya habari vya Tanzania navyo vikajibu pamoja na watanzania wengine pia.

Ni jambo linalosikitisha lakini hivi ndivyo ilivyo. Historia ya nyuma ya Afrika Mashariki iliyovunjika pia inachangia ambapo wako waliofurahi ( na hasa huko Kenya) kuvunjika kwa jumuiya hiyo wakidhani kuwa Tanzania ndiyo itakayokomolewa zaidi. Na kweli Tanzania ilikomolewa. Yalitokea matatizo makubwa ya usafiri wa maji, reli na anga ambapo meli, mabehewa na ndege zilizuiliwa Kenya.

Hofu ya watanzania ni ya msingi na wala siyo ya kupuuza nayo ni kwamba itakuwaje watu wale wale waliokuwa msitari wa mbele kuivunja jumuiya sasa wawe msitari wa mbele kuiunga mkono jumuiya? Wako wanaosema tugange yajayo na siyo yaliyopita. Sawa, lakini historia ya nyuma ni lazima iangaliwe pia.

Wananchi wote wa Afrika Mashariki wanaihitaji Jumuiya kwani through community ndipo tunaunganisha nguvu za kiuchumi. Lakini inavyoonekana Kenya ambao ndio wenye viwanda vingi wanaihitaji zaidi jumuiya kwa sasa ili waweze kupata soko kubwa zaidi la bidhaa zao.

Ukipitia maoni mbalimbali katika tovuti hii, na hasa maoni yale ya Wakenya, utagundua hofu ile waliyo nayo watanzania. Wakenya wamenasa katika mtego bila kujielewa. Wanaitukana Tanzania kuwa ni masikini, haina viwanda, hawakusoma, hawajui kiingereza, na kadhalika. Watanzania nao wameanza kusema kwa uwazi yote yanayowaudhi kuhusu Kenya kwamba ni manyang'au, wezi, wana dharau, wanaweka vinyesi kwenye mifuko, hawana cha kujivunia na kadhalika.

Wako wanaoweza kusema kuwa mawazo haya kwenye tovuti ni ya watu wachache tu. Lakini nawathibitisheni mawazo ya watanzania kwenye tovuti hii ndiyo mawazo ya walio wengi nchi nzima. Vivyo hivyo mawazo ya wakenya kwenye tovuti hii ndiyo mawazo ya wakenya walio wengi dhidi ya watanzania. Kama yuko anayebisha afanye utafiti na ataona mwenyewe.

Kwa hiyo kimsingi watanzania na wakenya hawaaminiani na ndivyo itakavyokuwa kwenye jumuiya. Ipo kazi kweli kweli katika kulirekebisha hili.
 
Unregistered,

Afadhali umeliainisha vema suala la wa-Tz na wa-Kenya kutoaminiana. Binafsi naliangalia hili kwa mapana na linanifanya nijue kwanini watanzania hawapendi kuwa na Shirikisho hili.

Wa-Kenya, nashauri mjaribu kujiuliza kwanini Uganda & Tanzania hazina imani nanyi. Ni kweli mmeendelea kiasi cha kujiona ni wa kipekee sana ninyi? Ni kweli uchumi wenu uko juu kiasi ambacho baadhi yenu wanadai? Hivi hizo dhana za kuwa Kenya ni tajiri kuliko nchi yoyote ya Afrika Mashariki bado mnazo vichwani mwenu? Can you change this attitude?

Wakenya wanastahili kujiuliza mara mbilimbili, waache kashfa au kuandika lawama tu dhidi ya watanzania au waganda. Kuhoji sababu ya kuungana nanyi ni muhimu sana, huwezi kumdharau mtu anayekupinga kwa kusema 'hazimtoshi' kabla hujajiuliza kwanini akupinge. Ana hoja!

Shirikisho hili ndilo lililowapa 'baadhi' ya wakenya kiburi kujiona kuwa taifa lao ni tajiri. Shirikisho hilihili nahisi ndilo chanzo cha dharau hizi zote japo sote ni ndugu. Shirikisho hili linapofikiriwa kuanzishwa na wananchi wa mataifa yote matatu kutakiwa kutoa maoni yetu, ni haki ya msingi kabisa kuhoja umuhimu wake. Mnaweza kuona the way mnavyochangia hapa kuwa bado mnaonesha dharau kubwa tu na pengine mnafikia hatua ya kutukana.

Nawasikitikia watanzania/waganda wanaotoa kauli chafu katika uchangiaji wao, nahisi si kwa kupenda wanajikuta ghadhabu zimewapanda na usiombee mtu uwe na keyboard mbele yako na hakuna mwingine anayekuangalia, halafu ukute mtu kaandika kitu cha kukuudhi... Hapo hata neno ambalo hujawahi kutamka kwa kinywa chako linakuja tu, vidole havina mifupa wakti huo.

Wakenya mnatakiwa kuwahakikishia watanzania na waganda kuwa huku kuringa mnakosemekana kuwa mnako HAKUPO na kuwa mtahakikisha tunapoanzisha ushirikiano huu mnakubali masharti ya ushirikiano huu ikiwa ni pamoja na kukubali kuwa sote ni ndugu.

Watanzania ni wakarimu sana, wanayoandika kwenye forum hii yakiwa yanaudhi basi yanatokana na maumivu waliyopata kabla ya ile 'talaka' kutokea. Iliwakera sana watanzania na waliona kama ni kutukanwa. Haya hayana tofauti kwa Waganda. Tupingane kwa hoja, tuheshimu utu wa kila mmoja wetu. Sote ni watu wazima na tuna akili za kutambua anayendika amedhamiria nini.

Inshallah!
 
Ndabita simamia ukweli. Uamuzi wowote utakao chukua utajuta kwa hiyo cha muhumu ni kuerejea unacho amini na si kuhofia kupoteza ukaribu wako na spika.

Uombe radhi kwamba ulimsingizia? Ikiwa imefikia hatua ya kupeleka swala mahakamni hii inaonyeshwa umadhabuti wako wa kile unacho amini.

Naamini ulifanya vyema kuzungumza na vyombo vya Habari. Spika kachemka unamshitaki kwa wananchi.Forum kama hizi ni "mahakama" murua kwa viongozi wanao saliti umma.

Haki inapiganiwa hailetwi kwenye sinia. Ni bora ya kupoteza ukaribu wa kuwa na spika kuliko kuwa mnafiki. Ikiwa utaomba msamaha hautafanya hivyo kwa dhati ya moyo wako,labda kama utakuwa umezaliwa upya.

Hauko hapo kumuwakilisha Sita, na mara nyingi umesema unataka kuwa mfano mzuri kwa vijana wenzako.Huwezi ukawa unatuwakilisha vizuri ikiwa utakuwa ni mnafiki. Kutakuwa na haja gani ya kusisitiza viajana wengi zaidi waingie bungeni? Kupeleka unafiki?

Ule utume wa kizazi kipya unaotusisitiza kila siku vijana haundani na unafiki! Jenga hoja yako bila jazba kazia msimamo wako. Hakuna kulala mpaka kieleweke si ndio msemo wenyewe? Zihirisha sasa? Kama utaomba msamaha,nihakishie kwa kufanya hivyo kitakuwa kimeeleweka.

Pima uamuzi upi utakuwa umezingatia maslahi ya umma.
 
amani na iwe kwenu nyote wa kenya na uganda mimi ni mtanzania
narifurahi sana majibizano ya watanzani WENZANGU LAKINI hatuendi hivyo
isipokuwa tuombeane amani sisi sote,ili Mungu azidi kutupa amani inchi zote hizi tatu.
 
Ambwene said:
Unregistered,

Afadhali umeliainisha vema suala la wa-Tz na wa-Kenya kutoaminiana. Binafsi naliangalia hili kwa mapana na linanifanya nijue kwanini watanzania hawapendi kuwa na Shirikisho hili.

Wa-Kenya, nashauri mjaribu kujiuliza kwanini Uganda & Tanzania hazina imani nanyi. Ni kweli mmeendelea kiasi cha kujiona ni wa kipekee sana ninyi? Ni kweli uchumi wenu uko juu kiasi ambacho baadhi yenu wanadai? Hivi hizo dhana za kuwa Kenya ni tajiri kuliko nchi yoyote ya Afrika Mashariki bado mnazo vichwani mwenu? Can you change this attitude?

Wakenya wanastahili kujiuliza mara mbilimbili, waache kashfa au kuandika lawama tu dhidi ya watanzania au waganda. Kuhoji sababu ya kuungana nanyi ni muhimu sana, huwezi kumdharau mtu anayekupinga kwa kusema 'hazimtoshi' kabla hujajiuliza kwanini akupinge. Ana hoja!

Shirikisho hili ndilo lililowapa 'baadhi' ya wakenya kiburi kujiona kuwa taifa lao ni tajiri. Shirikisho hilihili nahisi ndilo chanzo cha dharau hizi zote japo sote ni ndugu. Shirikisho hili linapofikiriwa kuanzishwa na wananchi wa mataifa yote matatu kutakiwa kutoa maoni yetu, ni haki ya msingi kabisa kuhoja umuhimu wake. Mnaweza kuona the way mnavyochangia hapa kuwa bado mnaonesha dharau kubwa tu na pengine mnafikia hatua ya kutukana.

Nawasikitikia watanzania/waganda wanaotoa kauli chafu katika uchangiaji wao, nahisi si kwa kupenda wanajikuta ghadhabu zimewapanda na usiombee mtu uwe na keyboard mbele yako na hakuna mwingine anayekuangalia, halafu ukute mtu kaandika kitu cha kukuudhi... Hapo hata neno ambalo hujawahi kutamka kwa kinywa chako linakuja tu, vidole havina mifupa wakti huo.

Wakenya mnatakiwa kuwahakikishia watanzania na waganda kuwa huku kuringa mnakosemekana kuwa mnako HAKUPO na kuwa mtahakikisha tunapoanzisha ushirikiano huu mnakubali masharti ya ushirikiano huu ikiwa ni pamoja na kukubali kuwa sote ni ndugu.

Watanzania ni wakarimu sana, wanayoandika kwenye forum hii yakiwa yanaudhi basi yanatokana na maumivu waliyopata kabla ya ile 'talaka' kutokea. Iliwakera sana watanzania na waliona kama ni kutukanwa. Haya hayana tofauti kwa Waganda. Tupingane kwa hoja, tuheshimu utu wa kila mmoja wetu. Sote ni watu wazima na tuna akili za kutambua anayendika amedhamiria nini.

Inshallah!

Please stop blaming Kenya for the collapse of the EAC in 1977. In summary, the EAC collapsed purely because of idiological differences: Kenya pursuing a capitalist system, TZ had its own Ujamaa that our father, Mwalimu, bravely acknowledged was a big mistake, whilst Uganda was sadly being destroyed by Amin before Museveni saved it.

And just for your info, Charles Onyango-Obbo, a respected Ugandan journalist based in Kenya has voiced his concerns about the unfriendliness of the Tanzanian media to the rest of EA. Please refer to last month's The East African weekly paper. This month, a reknowned Rwandese journalist, also writing in the East African weekly paper, complained bitterly about the treatment that the Rwandese have received from the Tz authorities.

Being chased away from TZ like dogs so to speak. In last week's Sunday Standard, your own citizen, Ernest Mpangira, voiced his concerns at the way the TZ have misused this webiste, writing all the negative stuff about Kenya. Two months ago, one of your countrymen based in Kenya and working for the Nation by the name GADDO drew a cartoon on your president (with all due respect to H.E. JK), and subsequently your journalist Salehe Mmoro, wrote a very nasty and abusive article on Kenya that appeared on this website. In this same forum, one of your supposed countrymen, a Zanzibari, has complained very bitterly about their union with the mainland TZ, preferring instead the EAF.

Now my TZ bros and sisters, ask yourselves, why is the entire region unhappy with your 'unfriendly' behaviour? Although on face to face you deceptively project a differrent picture;
A POLITE REQUEST PLEASE: DO NOT USE ABUSIVE LANGUAGE WHILE RESPONDING TO THIS ARTICLE. E.G MJINGA, NYANGAU, MSHENZI
 
Unregistered said:
Please stop blaming Kenya for the collapse of the EAC in 1977. In summary, the EAC collapsed purely because of idiological differences: Kenya pursuing a capitalist system, TZ had its own Ujamaa that our father, Mwalimu, bravely acknowledged was a big mistake, whilst Uganda was sadly being destroyed by Amin before Museveni saved it.
And just for your info, Charles Onyango-Obbo, a respected Ugandan journalist based in Kenya has voiced his concerns about the unfriendliness of the Tanzanian media to the rest of EA. Please refer to last month's The East African weekly paper. This month, a reknowned Rwandese journalist, also writing in the East African weekly paper, complained bitterly about the treatment that the Rwandese have received from the Tz authorities. Being chased away from TZ like dogs so to speak. In last week's Sunday Standard, your own citizen, Ernest Mpangira, voiced his concerns at the way the TZ have misused this webiste, writing all the negative stuff about Kenya. Two months ago, one of your countrymen based in Kenya and working for the Nation by the name GADDO drew a cartoon on your president (with all due respect to H.E. JK), and subsequently your journalist Salehe Mmoro, wrote a very nasty and abusive article on Kenya that appeared on this website. In this same forum, one of your supposed countrymen, a Zanzibari, has complained very bitterly about their union with the mainland TZ, preferring instead the EAF.
Now my TZ bros and sisters, ask yourselves, why is the entire region unhappy with your 'unfriendly' behaviour? Although on face to face you deceptively project a differrent picture;
A POLITE REQUEST PLEASE: DO NOT USE ABUSIVE LANGUAGE WHILE RESPONDING TO THIS ARTICLE. E.G MJINGA, NYANGAU, MSHENZI


Ukarimu wa Watanzania umekwisha. Jambo la msingi hapa ni kuona vile ambavyo Mikoa ya kigoma, Tabora, Mwanza, Shinyanga hivi sasa wakimbizi wa kutoka Rwanda na Burundi walivyoharibu mazingara na watu sasa hivi inabidi wasindikizwe kwa mtutu wa bunduki kokote wanakotaka kwenda.

Huu ni uloho wa wananchi wa Kenya na Uganda kutaka kuja Tanzania kwa kisingizio cha kupanua soko kimataifa. Hebu jiulize matunda na ng'ombe wanoishia Kenya kwa njia za panya bila kulipa kodi? Tanzania imekubali kutimiza masharti yote ya 'Customs' kwa EA lakini Kenya hawafuati masharti yote ndio maana kule Mkoa wa Mara mshambulio hayaishi.

Kenya ndio walikuwa wanatangazwa kwamba wana dhahabu, almasi na Tanzanite ambapo mali zote hizi zilikuwa zinapitishwa kutoka Tanzania kwa njia haramu. Kweli haya ni matatizo yetu tutayatatua tu sisi wenyewe wala hatumtaki mtu kutoka Kenya, Uganda au Rwanda wala Burundi kwa hili, sisi wenyewe tunatosha, hawa viongozi kama wameshindwa kuongoza Tanzania tutawaondoa.

Hasa Kenya msifikirie mambo yale ya zamani, sasa hivi hampati kitu, kila siku mnasema nyie ndio matajiri, sawa sasa mtuache basi mbona mnatung'ang'ania unganeni na Waganda, Rwanda na Burundi. (Isitosha nchi zote ambazo wanatulaumu kwa kuwaondoa wakimbizi, sisi hatuna noma Mwanza upo uwanja wa kimataifa ndege zinatua bila shaka yoyote njooni Muwachukue hawa wakimbizi ili muweze kuwangalia vizuri sisi tumesema basi imetosha).

Federation hatuitaki mtu ambaye haoni mbali na uharibifu tuliokwisha kuupata kama vile ujambazi, rushwa iliyokithiri ambayo inaendeshwa na wageni wakishirikiana na watanzania hataki kizazi kijacho cha Watanzania. Viongozi wote mmesoma bure wakati wenu kutoka mwanzo hadi chuo kikuu wengine kwanini hamtaki wengine wafaidi na hilo? (Hata viongozi wengine wamesoma bure bongo wakijidai wakimbizi na sasa hivi wanapiga kampeni ili ndugu zao waje wafaidike kwetu - haiwezekani.


Hatutaki hii federation - Biashara tufanye kama wenzetu walivyosema 'on equal terms'. Wezi wote wafumuliwe.
 
Unregistered said:
tanzanians are obssed with kenyan tribalism,it seems our tribalism is bothering you more than its bothering us, we can deal with our tribalism, and pilipili usioila ya kuwashia nini? KFF has nothing to do with EAF or TZ for that matter.
---------------
Khaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!! Si ndio mnatung'ang'aniza tuile wote? nasi tunajua inavyowawasha tunaikataaaaaaaa...hahhaha... sisi mpilipili tulisha ung'oa, ya nini tuanze ku import pilipili tena?
No to EAF, I say Nooooooooooooooo......
 
I hate no body, but I hate ignoring some vital facts. EAF will not work, especially if Tz and Ke will be the members. Alot have been said in here, so let's forget this idea. I swear, if our leaders will force us into EAF with Ke a member, I will lead a group of wazalendos to regain Tz freedom. Tz and Ke are incompatible completely, civil unrest is inevitable.

Hivi kweli mwaweza ungana kama hamuelewani? Ati tutaelewana mbele kwa mbele. Sitaki sikia hadithi za akina Mangungo wa Musovero enzi hizi.Period! JK upo mkuu wetu? Changamoto hiyo.
 
I kindly request y'all not to use words like MJINGA, NYANG'AU, MSHENZI (even nicks). If you use such nicks or words you're breaking our policies.

We wont entertain this anymore! Understand the intention of this Forum, "To give you an opportunity to give your comments on the EAF issue". Once you use a bad language or bad nick expect to see your postings DELETED!

We're sorry about that but nothing we can do except deletion "Total deletion".

Regards
 
Invisible

"I kindly request y'all not to use words like MJINGA, NYANG'AU, MSHENZI (even nicks). If you use such nicks or words you're breaking our policies.

We wont entertain this anymore! Understand the intention of this Forum, "To give you an opportunity to give your comments on the EAF issue". Once you use a bad language or bad nick expect to see your postings DELETED!

We're sorry about that but nothing we can do except deletion "Total deletion".

Regards"


Who is this invisible man? So, we are forbidden to use words- MJINGA, NYANG'AU, MSHENZI?

What about the following words- stupid; idiot; uneducated; lazy people etc?

It would appear Kenyans are allowed to say what they want and not the others. SHAME to you INVISIBLE MAN! You must be a Kenyan
 
Back
Top Bottom