Dunia ilimuogopa Idd Amini Dadaa?

Vita vya kagera wanajeshi wastaaf wa Uganda wandamizi wanasema haikua mpango wa kuivamia Tanzania wala si mpango wa kukusudia vita ila jeshi wao mwenye cheo cha chini alipitikiwa na ujana kuvuka mpaka na kupigana club za starehe .Kilichotokea kama kawaida baadh ya majeshi kujifanya wababe akarudi kuchukua wenzake hapo ndipi tafran ilianza.Wastaaf hao wanasema haukua mpango wa Idd amin dadaa.Idd amin alikua ni muislam na ameharamishiwa kula nyama ya mtu ama kudhini .Hakuwahi kula nyama ya mtu.Aliponzwa na uislam wake na mikakati yake .Pamoja na hayo ubabe wake ni kama tu wa viongozi wa kiafrika waliopo sasa.
Acheni mapenzi ya dini kwenye mambo ya msingu..
Kuna video halisi hata youtube inamuonesha idd amin anapokea bendera ya chama cha mapinduzi(ni kama bndera ya taifa kwa kipnd hcho) huku anawapongeza wanajeshi wake kwa uvamizi ule ..
Na akasema "wakat mwngine mambo yakiwa mazuri tutasafisha mpaka dsm"..kwahyo hao wanajeshi waliopgana club ndio wakapeleka bendera kwa amir jeshi mkuu wa nchi yao.??

Ingieni darasan badala ya kushinda madrasa tu,ungeingia darasan ungejua kwamba mwaka 1972 idd amin alirusha kombora pale mwanza akajitetea kuwa ni mwanajeshi asiye na nidhamu ndiyo alifanya hivyo..

Baadae ndege ya kivita ya Uganda ikiendeshwa ya Amni mwenyewe iliingia mpaka mpaka wa Tanzania hali iliyo7bishaa taharuki na hakuna kauli iliyotoka uganda..

Na kama hujui tanzania haikuingia vitani ili iipige uganda nia ilikuwa ni kuondoa majeshi ya uganda yaliyokuwa yanakalia sehem ya Tanzania ambao wewe kutokana na dini yako unasema walikuwa club..

Lakini baada ya kuyaondoa majeshi ya amini viongozi wakuu wa jeshi wakat huo wkamshauri mwalimu kuwa wakimuacha atakuja kujipanga zaid na kuwasumbua tena baadae hvyo wamfuate kulekule wamalize kazi kabisa..

Elimu,Elimu,Elimu..
 
Ukiachana na hilo hebu rejea hoja ya mwenye bandiko. Je kuna ukweli au ni uzushi katika haya yaliyotendwa na Idd Amini kwamba alibaka, alikula maini ya watu, alifanya mapenzi kwenye gari kwenye mashindano ya magari, aliua na kuweka vichwa kwa friza, aliua wazi wazi, alibadili gavana kwa kuita hela ya uganda toilet paper, n.k n.k?
Acheni mapenzi ya dini kwenye mambo ya msingu..
Kuna video halisi hata youtube inamuonesha idd amin anapokea bendera ya chama cha mapinduzi(ni kama bndera ya taifa kwa kipnd hcho) huku anawapongeza wanajeshi wake kwa uvamizi ule ..
Na akasema "wakat mwngine mambo yakiwa mazuri tutasafisha mpaka dsm"..kwahyo hao wanajeshi waliopgana club ndio wakapeleka bendera kwa amir jeshi mkuu wa nchi yao.??

Ingieni darasan badala ya kushinda madrasa tu,ungeingia darasan ungejua kwamba mwaka 1972 idd amin alirusha kombora pale mwanza akajitetea kuwa ni mwanajeshi asiye na nidhamu ndiyo alifanya hivyo..

Baadae ndege ya kivita ya Uganda ikiendeshwa ya Amni mwenyewe iliingia mpaka mpaka wa Tanzania hali iliyo7bishaa taharuki na hakuna kauli iliyotoka uganda..

Na kama hujui tanzania haikuingia vitani ili iipige uganda nia ilikuwa ni kuondoa majeshi ya uganda yaliyokuwa yanakalia sehem ya Tanzania ambao wewe kutokana na dini yako unasema walikuwa club..

Lakini baada ya kuyaondoa majeshi ya amini viongozi wakuu wa jeshi wakat huo wkamshauri mwalimu kuwa wakimuacha atakuja kujipanga zaid na kuwasumbua tena baadae hvyo wamfuate kulekule wamalize kazi kabisa..

Elimu,Elimu,Elimu..
 
Hiyo ni movie inaitwa the last king of scotland, vyote hivyo ni uongo tu.Hajawahi fanya vitu kamahivyo, ila alikuwa mbabe tu
Pia kuna ile iitwayo Rise and Fall of Idd Amin ambayo ilitoka muda mfupi tu baada ya Idd Amin kuikimbia Uganda. Hii iliigizwa na jamaa mmoja raia wa Kenya aitwaye Joseph Olita ambaye alikuwa akifanana sana na Idd Amin mwenyewe kwa sura na umbo. Sehemu kubwa ya muvi hiyo iliigiziwa nchini Kenya mwanzoni mwa miaka ya themanini. Binafsi uwa naikubali zaidi hiyo ya awali kuliko hii ya The Last King of Scotland japo hii ya sasa imetumia technology ya kisasa zaidi kuitengeneza.
 
Wahaya Si wapo wanajua alichowafanya
Mh! Wahaya hawawezi eleza mabaya labda waseme walivyompiga, na kuwarusha askari wa Uganda na kuwafekisha magorofa yao,
Hah hah haaaa
 
Ukiachana na hilo hebu rejea hoja ya mwenye bandiko. Je kuna ukweli au ni uzushi katika haya yaliyotendwa na Idd Amini kwamba alibaka, alikula maini ya watu, alifanya mapenzi kwenye gari kwenye mashindano ya magari, aliua na kuweka vichwa kwa friza, aliua wazi wazi, alibadili gavana kwa kuita hela ya uganda toilet paper, n.k n.k?
Hapana..hakuna ukweli huo..
 
Acheni mapenzi ya dini kwenye mambo ya msingu..
Kuna video halisi hata youtube inamuonesha idd amin anapokea bendera ya chama cha mapinduzi(ni kama bndera ya taifa kwa kipnd hcho) huku anawapongeza wanajeshi wake kwa uvamizi ule ..
Na akasema "wakat mwngine mambo yakiwa mazuri tutasafisha mpaka dsm"..kwahyo hao wanajeshi waliopgana club ndio wakapeleka bendera kwa amir jeshi mkuu wa nchi yao.??

Ingieni darasan badala ya kushinda madrasa tu,ungeingia darasan ungejua kwamba mwaka 1972 idd amin alirusha kombora pale mwanza akajitetea kuwa ni mwanajeshi asiye na nidhamu ndiyo alifanya hivyo..

Baadae ndege ya kivita ya Uganda ikiendeshwa ya Amni mwenyewe iliingia mpaka mpaka wa Tanzania hali iliyo7bishaa taharuki na hakuna kauli iliyotoka uganda..

Na kama hujui tanzania haikuingia vitani ili iipige uganda nia ilikuwa ni kuondoa majeshi ya uganda yaliyokuwa yanakalia sehem ya Tanzania ambao wewe kutokana na dini yako unasema walikuwa club..

Lakini baada ya kuyaondoa majeshi ya amini viongozi wakuu wa jeshi wakat huo wkamshauri mwalimu kuwa wakimuacha atakuja kujipanga zaid na kuwasumbua tena baadae hvyo wamfuate kulekule wamalize kazi kabisa..

Elimu,Elimu,Elimu..

Hizo video za youtube ndo zile za last king of scotland
 
I was a good soldier in the British Army. I was born in a very, very poor family. And I enlisted to escape hunger. But my officers were Scottish and they loved me. The Scots are good, you know.

By: Idi Amin
 

kusema ukweli zaidi ya nyerere kuadabisha huyu nduli AMINI DADA sina baya lake lolote ninalolijua labda kwa kuwa kipindi hicho mimi sikuwepo...na vile vile siku pata bahati ya kuhadithiwa...nimeambatanisha hiyo video ya mchekeshaji maarufu wa uganda ebu check kisha uniambie ni ipi tofauti ya WAHAYA pale kagera na huyo mganda....
 
Acheni mapenzi ya dini kwenye mambo ya msingu..
Kuna video halisi hata youtube inamuonesha idd amin anapokea bendera ya chama cha mapinduzi(ni kama bndera ya taifa kwa kipnd hcho) huku anawapongeza wanajeshi wake kwa uvamizi ule ..
Na akasema "wakat mwngine mambo yakiwa mazuri tutasafisha mpaka dsm"..kwahyo hao wanajeshi waliopgana club ndio wakapeleka bendera kwa amir jeshi mkuu wa nchi yao.??

"Ingieni" darasani badala ya kushinda madrasa tu,ungeingia darasan ungejua kwamba mwaka 1972 idd amin alirusha kombora pale mwanza akajitetea kuwa ni mwanajeshi asiye na nidhamu ndiyo alifanya hivyo..

Baadae ndege ya kivita ya Uganda ikiendeshwa ya Amni mwenyewe iliingia mpaka mpaka wa Tanzania hali iliyo7bishaa taharuki na hakuna kauli iliyotoka uganda..

Na kama hujui tanzania haikuingia vitani ili iipige uganda nia ilikuwa ni kuondoa majeshi ya uganda yaliyokuwa yanakalia sehem ya Tanzania ambao wewe kutokana na dini yako unasema walikuwa club..

Lakini baada ya kuyaondoa majeshi ya amini viongozi wakuu wa jeshi wakat huo wkamshauri mwalimu kuwa wakimuacha atakuja kujipanga zaid na kuwasumbua tena baadae hvyo wamfuate kulekule wamalize kazi kabisa..

Elimu,Elimu,Elimu..
Sasa na wewe ndio umefanya nini?

Unamwambia mwenzako aache mapenzi ya kidini wakati wewe comment yako inaonyesha wazi kabisa una chuki dhidi ya dini fulani,

Angalia hapo kwenye RED unasema "Ingieni" na sio "Ingia" kwani hapo ulikua unawajibu wote wenye hiyo dini uliyoonyesha chuki zako au ulikua unamjibu mtu mmoja tuu?

Acha hizo chuki Mkuu utaishia kupata vidonda vya tumbo bure!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom