DSTV Tumechoka Simu za Marketing

CaramelButterfly

New Member
Mar 22, 2023
1
11
Mimi ni miongoni wa wakereketwa kutokana na hizi simu za marketing za DSTV. Wamekuja na njia mpya ya kupigia watu simu kwa namba tofauti tofauti binafsi. Kama mtu hajalipia kifurishi kwa muda mrefu lazima ana sababu binafsi na kama ana shida pia atawatafuta kwa namba zenu za mawasiliano ya kiofisi. Tumechoka kupigiwa simu hizi. Tafuteni njia nyingine ambayo haina usumbufu.
 
Waongeze mechi kwa vifurushi vya chini azam 28,000/= kila kitu unaangalia hao watu wao wa marketing hawana ujuz
 
Tuliwaambia wakawa wanajisifu kwa kukata hadi FTA chanels sasa wanapiga simu na kukuuliza eti unachangamoto gani nyingine? Unapenda mpira au filamu gani mikaka yangu hii 76 katoto ka 2000s kananiuliza mambo ya bongo movie. Boresheni huduma husheni bando.
Haya madish watakaangia samaki watu
 
45

45000 unapata EPL, La liga, SeieA, Ligue 1 na Bundesliga, HD movies etc. Hawa mbuzi wa Dstv mpaka ulipe 110 000.
Bado mnapigwa aseeee

Kuna chimbo la bei nafuu zaidi, kwa elfu 15 kwa mwezi unatazama EPL, Uefa, Europa, Laliga, Serie A, Bundesliga, Carabao, Caf CL, FA Cup nk
 
Mimi ni miongoni wa wakereketwa kutokana na hizi simu za marketing za DSTV. Wamekuja na njia mpya ya kupigia watu simu kwa namba tofauti tofauti binafsi. Kama mtu hajalipia kifurishi kwa muda mrefu lazima ana sababu binafsi na kama ana shida pia atawatafuta kwa namba zenu za mawasiliano ya kiofisi. Tumechoka kupigiwa simu hizi. Tafuteni njia nyingine ambayo haina usumbufu.
Kweli, na wanakera sana. Kama kifurushi kimeisha si nitaamua lini nilipie tena.
 
Back
Top Bottom