Tz hii ukisema uchukue asilimia ya wanaojua sheria, kama ukiwa unafanya an intelligent guess, what will be your guess?Ni kwasababu watu hawafahamu sheria, ila anayefahamu sheria hawezi dhulumiwa nyumba kijinga hivyo.
Au shule watu walienda kusoma ujinga?
Ameen...na iwe Ivo dada yetuSali sana, muombe Mungu akupe wa kufanana nae. Sasa na wewe usiwe mharibifu, Mungu atasikiliza maombi yako kaka yangu.
Hajakolezwa tu akakolea huyo, angekutana na tuliofundwa, angesanda. Shida kakutana na msungo.Mwamba hachanganyi mambo. Yan huyo kaka mkopeshaji ji kama Liverpool VPN
Mnaacha kutuoa wanawake tunaojielewa, mnaenda kuoa wasiojielewa, ndo shida inapoanzia.Tapeli kashirikiana na mzinzi.
Wachache wasiojielewa wanatuharibiaEndelea kuwashauri wanawake wenzio wapunguze tamaa. Pia niwakumbushe kuwa kazi na mapenzi haziishi nyumba moja.
Mmmmhhhh! Uko speed sana bhana.Huyo jini namtaka nimechoka kuwa single nataka dushe langu ulitumie vyedi au hulitaki? 😎
Nifungulie basi dm au njoo kwangu yangu naiacha wazi saivi
Nmecheka😆Hiyo ni hulka yetu wanaume! Kuchangamkia fursa si unajua nikishangaa shangaa unaweza kuibiwa humu na wajuba hawachelewi.
JF wanawake ni scarce material 😀
Sina cha ajabu chochote, ila usije ukawa wazee wa tako 3😂Ndio ntaweza una nn cha ajabu kwani my dear !?
Acha vitisho honey nataka asali hiyo, 🍯😊
Na Chama cha CHAPUTA kitaendelea kuchukua nafasi dhidi yenu. Ndo maana vijana wanakataa kuoa, badilikeni.Wachache wasiojielewa wanatuharibia
Kuna kaka (baba) mmoja anakopesha kwa riba, akawa ana date dada mmoja mke wa mtu.... Yule dada na mumewe wakapata dharura, akashauri mumewe wakope pesa kwa mchepuko (mumewe hajui kama mkopeshaji ana date na mkewe) wakaweka nyumba yao kama dhamana...
Penzi likanoga, mume akimpa mke marejesho akabidhi mke anakula akijua baby wangu(mchepukowe) hana noma... Kaka mkopeshaji yeye ana count tu deni na riba inaongezeka, alimuuliza yule dada vipi mumeo mbona pesa hakipi anamwambia baby bhana tuna hili na lile pesa nitakupa mimi...
Kumbe marejesho anapewa ananunua vipodozi na nguo nzuri apendeze kwa mchepuko mkopeshaji...
Kikichokuja kutokea...
Kaka mkopeshaji anakoishi sasa ndio ile nyumba ambayo dada na mumewe waliweka dhamana...
Ilibidi aibinafsishe maana deni na riba ilikuwa kubwa ikashindikna kulipwa. Bibie alijua wako kwenye mapenzi pesa halipi kaka yeye biashara yake na mapenzi havina uhusiano.
Ndoa ile iliingia migogoro ikafa, na yule baba hakukawia nae akafariki, yule dada alihama mji... Imebaki historia chungu japo watu huwa wanamlaumu kaka mkopeshaji kuwa hakuwa na utu. Akamlia mkewe na nyumba akabeba...!
My take: WANAWAKE TUACHE TAMAA!
Kila mtu apande alichovuna. Kila mtu apambane na hali yake.Mnaacha kutuoa wanawake tunaojielewa, mnaenda kuoa wasiojielewa, ndo shida inapoanzia.
Hehehehehe nami nataka kushangaa swali anauliza utadhani ndo anakanyaga Leo TanzaniaUnaishi Uingereza nini? Hilo swali lako umeuliza kama mtu asieishi Tz hii hii. Eti tangia lini mtu akopeshe kwa riba bila idhini ya serikali.
Nimeipenda hiiBed to Bed midfielder
Nyumba kabisa ya kwako mtu akutaifishe kibwege hivo? Sio mchezo 😁Ni kwasababu watu hawafahamu sheria, ila anayefahamu sheria hawezi dhulumiwa nyumba kijinga hivyo.
Au shule watu walienda kusoma ujinga?