POCOLOKO
Senior Member
- Sep 1, 2010
- 174
- 201
Muungano hauwezi kuwa salama ikiwa huku bara wanaendelea na shughuli za kiuchumi wakiwa wamesahau habari za uchaguzi na wao kule wanasubiri kama vifaranga wasiojua lini watanyonya
Mfumo uluotumika kumpata Rais tz ndo huo huo ulitumika zbar sasa iweje kule hakuna kinachoendelea?
Mfumo uluotumika kumpata Rais tz ndo huo huo ulitumika zbar sasa iweje kule hakuna kinachoendelea?