Dr. Mwakyembe: Sikumhoji Lowassa kwa sababu ushahidi dhidi yake ulikuwa unajitosheleza!

Ficha werevu basi takwimu za kodi zikitolewa wa kwanza kupinga,mnasema za kubumba sababu mnajijua hamtoi kodi ipasavyo,hizo ni kodi zenu au pesa za misaada ya wahisani?
Ficha ujinga kidogo bas,hujui kama analipwa mshahara kupitia kodi za watanzania wote?
 
Bora Mh. Mwakyembe kawaambia ukweli.

Haya acheni udaku sasa

Hapa kazi tu

Makonda oyeeeeeeee
 
Content ya makonda na richmond ni sawa na kulinganisha uchumi wa marekan na Tanzania.

Richmond janga lisilofutika na kusafishika hata kidogo. Uvamizi wa clouds kitu kidogo sana
Kuchukua masaa mengi au machache is not an issue,what matters ni contents mkuu.
 
Hakuna kitu kama hicho report zilikuwepo na ushahidi yeye hajaona ushahidi wa video kupitia CCTV za clouds? Huyo kachanganyikiwa hana jipya akae nyumbani kwake na mke wake tu watafute watoto mambo ya maamuzi na kufikiri kumemshinda
 
Sumu ya polonium ni mbaya sana. ukibugizwa hiyo hata ukipona ni shida tu. Unaweza usiwe abnormal lakini unaweza kuwa subnormal! huyu asemehewe tu japo ni ajabu kuwa hata yeye kapewa uawaziri!
 
Hebu kwanza nijibu,ripoti ya richmond ilichukua muda gani kukamilika? Ya nape ilikamilika masaa matatu tu hayo mengine ya 24 geresha tupu. Ripoti ya nape imejaa majungu

Majungu kweli au Mwakyembe anaogopa kunyofolewa uwaziri??Ingekuwa enzi za JKN sawa hizi enzi za Tekelinalokujia ni shida!

Shule ni muhimu sana,hivi Makonda hakujua kama Clouds kuna CCTV??Naona alijua nikiwatisha msala utakwisha,asubuhji kajikuta mtaani uchi anyway,double standard zinamwisho,na jana Bashite kazungusha tena
 
Nchi hii tatizo la ajira ni kubwa sana. Mpaka wasomi wanaweka usomi wao pembeni ili kutetea kibarua chao.
 
Kama akina Nassari walijua Lowassa hakuhojiwa kwny Richmond ilikuaje wakaweka jina lake kwny orodha ya Mafisadi Papa na kuiweka kwny Tovuti rasmi ya Chama?
Ufisadi wa Lowassa pale Mwembe Yanga na baadaye kwenye tovuti ya CHADEMA haukuhusiana na Richmond bali na mambo ya CityWaters ya Uingereza! Mzee wa "Ajenda" a.k.a DR. Mihogo ndiye aliyeleta mambo ya ufisadi wa Lowassa kwenye Richmond. Sasa kwa sasa si mnaye huko kwenu, muulizeni yeye!!
 
Content ya makonda na richmond ni sawa na kulinganisha uchumi wa marekan na Tanzania.

Richmond janga lisilofutika na kusafishika hata kidogo. Uvamizi wa clouds kitu kidogo sana

Ni kitu kidogo kwako lakini si kwa wale vijana waliopokea kipondo japo wameficha,na kutishiwa maisha yao.Kwako ni kidogo sababu watoto wale hawakuhusu
 
Katafute Nyumbu wenzio kuwaeleza hayo!

Mnaanza kuikwepa Richmond Mapema hivi?

Nazir Karamagi alikuwepo kwny hiyo City water? Leo Chadema kukomalia Richmond mnajifanya kumtupia Slaa?
Usiwe na hasira! CHADEMA ilitangaza "List of shame" humo Lowassa na Kikwete walitajwa kama mafisadi. suala la Richmond lilikuwa bado na hata Kikwete alikuwa hajawa(Wakati ufisadi uliotajwa kwenye List of shame unatendeka) Rais!
 
Hebu kwanza nijibu,ripoti ya richmond ilichukua muda gani kukamilika? Ya nape ilikamilika masaa matatu tu hayo mengine ya 24 geresha tupu. Ripoti ya nape imejaa majungu
Kweli maana ripoti inamsigizia kwa kuwa hakuwahi kufika Cloud TV na hao askari wenye silaha siyo sehemu ya msafara wake. Utetezi mwingine bwana ni ovyo kabisa kuwahu kutokea!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom