Dr. Magufuli akimnadi na kumpa ilani Mbunge wa Vunjo - Innocent Shirima

Hawa jamaa wamejifumba macho na kuweka pamba masikioni.

Kabisa mkuu. Lowassa tangu akiwa CCM alikuwa anaungwa mkono na Rostam, Chenge, Karamagi etc. Hawa jamaa CCM wako vivuli ila miili yao iko na Lowasa na hata kura watampigia Lowassa. Mbele ya Magufuli hawana meno na biashara zao haramu lazima zidode tu. Wanapambana ili Lowassa achukue nchi waendelee kula kilaini. Mwisho wao umefika.
 
Ripoti ya CAG yabaini ubadhirifu wa kutisha serikalini.mabehewa,halimashauri,nec lawamani,pia riba ya wakandarasi yafikia bilion 125. Hapa kuna eneo mgombea ni mhusika.je kwa nini asijiwajibishe?

Kwani Magufuli ni Waziri wa Fedha tangu lini?
 
_MG_4526.jpg
_MG_4414.jpg
_MG_4460.jpg


MKUTANO WA CCM VUNJO

#HapaGizaTu
#KidumuKimetoboka
#Sera1:pushUp
#Sera2:Matusi
#sera3:propaganda
#sera4:Wasanii
#sera5:Malori
 
Huyu Magufuli mchana yuko ccm usiku yuku upinzani. Anampaka shirama mafuta kwa mgongo wa chupa.
Kamnadi mrema jana kamtelekeza mbunge wa ccm

Mrema ndiyo mbunge na ameahidiwa nafasi kubwa serikalini. Shirimi atakuwa katibu wa mbunge.
 
Back
Top Bottom