upendodaima
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 4,078
- 4,504
Nashauri kusiwe na uchaguzi tena Zanzibar na badala yake ingojewe siku ambayo yatafanyika mapinduzi mengine hata kama ni miaka 2000 ijayo.
Hela za uchaguzi zitumike kuboresha huduma muhimu za jamii.
Hela za uchaguzi zitumike kuboresha huduma muhimu za jamii.