Pre GE2025 DSM Dorothy Semu achukua fomu ys kugombea Urais ndani ya ACT Wazalendo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ili kuwa na upinzani wenye nguvu inatakiwa kuwe na vyama viwili tu.mfano chama tawala na vyama vyote vya upinzani vikaungana kuunda chama chenye nguvu
Tofauti na nchi zingine zilizoendelea Tanzania kila chama cha upinzani hudharau vyama vingine vyenzao vya upinzani ikiwemo CHADEMA kunahitaji mutual respect kufikia huo umoja

Kwa sasa hakuna mutual respect kati ya vyama vya upinzani kila kimoja kinaenda kivyake na agenda zake
 
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Dorothy Semu leo tarehe 22 Aprili, 2015 amefika Makao Makuu ya Chama hicho Jijini Dar es Salaam kuchukua fomu ya kuomba kuwania nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akidokeza kuwa yupo tayari kuchuana na Mgombea wa CCM Samia Suluhu Hassan ikiwa Chama chake cha ACT Wazalendo kitamuidhinisha kuwania nafasi hiyo.

Soma pia:

"Leo nimechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania kupitia Chama cha Ishara kuwa nipo tayari kumkabili Rais Samia na CCM ambao wameshindwa kumkomboa mtanzania kiuchumi, kisiasa na kijamii.Hii ni ishara ya utayari wangu wa kuongoza mapambano ya kulinda thamani ya kura na kutetea demokrasia"

View attachment 3312196


View attachment 3312197
PAsco mayala akiona hili atachekelea sana
 
Baada ya kutangaza nia ya kugombea Urais, leo Mei 22, 2025 Dorothy Semu amechukua fomu ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Fomu hiyo amekabidhiwa na Katibu wa Mipango na Uchaguzi Taifa Ndugu, Shaweji Mketo katika Ofisi za Makao Makuu ya ACT Wazalendo Magomeni, Dar Es Salaam.
View attachment 3312238
Mara baada ya kukabidhiwa fomu, Ndugu Dorothy Semu akasema, "leo nimechukua fomu ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; na niko tayari kumkabili Rais Samia Suluhu Hassan na chama chake CCM—chama ambacho kimeshindwa kutimiza wajibu wake wa msingi wa kuongoza na kuwahudumia Watanzania."
View attachment 3312239
Mchaga mmachame,aliyevaa gozi ya fisi
 
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Dorothy Semu leo tarehe 22 Aprili, 2015 amefika Makao Makuu ya Chama hicho Jijini Dar es Salaam kuchukua fomu ya kuomba kuwania nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akidokeza kuwa yupo tayari kuchuana na Mgombea wa CCM Samia Suluhu Hassan ikiwa Chama chake cha ACT Wazalendo kitamuidhinisha kuwania nafasi hiyo.

Soma pia:

"Leo nimechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania kupitia Chama cha Ishara kuwa nipo tayari kumkabili Rais Samia na CCM ambao wameshindwa kumkomboa mtanzania kiuchumi, kisiasa na kijamii.Hii ni ishara ya utayari wangu wa kuongoza mapambano ya kulinda thamani ya kura na kutetea demokrasia"

View attachment 3312196


View attachment 3312197
Safii tunakuunga mkono kura za watanzania hususani chadema umezipata!
 
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Dorothy Semu leo tarehe 22 Aprili, 2015 amefika Makao Makuu ya Chama hicho Jijini Dar es Salaam kuchukua fomu ya kuomba kuwania nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akidokeza kuwa yupo tayari kuchuana na Mgombea wa CCM Samia Suluhu Hassan ikiwa Chama chake cha ACT Wazalendo kitamuidhinisha kuwania nafasi hiyo.

Soma pia:

"Leo nimechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania kupitia Chama cha Ishara kuwa nipo tayari kumkabili Rais Samia na CCM ambao wameshindwa kumkomboa mtanzania kiuchumi, kisiasa na kijamii.Hii ni ishara ya utayari wangu wa kuongoza mapambano ya kulinda thamani ya kura na kutetea demokrasia"

View attachment 3312196


View attachment 3312197
Hadi nimemkumbuka yule mama wa watu mpole aisee Anna Elisha Mghwira
 
Ili kuwa na upinzani wenye nguvu inatakiwa kuwe na vyama viwili tu.mfano chama tawala na vyama vyote vya upinzani vikaungana kuunda chama chenye nguvu
Afadhali wewe unafikiri.Hakuna chama cha ku i challenge CCM peke yake.
 
nadhani amejilinganisha na aliyepo akaona ni bora yeye
Ndio maana ya siasa źa upinzani
Usipojiona bora binafsi kuliko aliyeko huwezi gombea

Driving force ya kugombea ni kujiona bora kuliko Raisi,mbunge au diwani aliyepo na kuwa una watu ulio na uhakika watakupa kura

Kama hujiona bora kuliko aliyepo huwezi gombea
 
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Dorothy Semu leo tarehe 22 Aprili, 2015 amefika Makao Makuu ya Chama hicho Jijini Dar es Salaam kuchukua fomu ya kuomba kuwania nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akidokeza kuwa yupo tayari kuchuana na Mgombea wa CCM Samia Suluhu Hassan ikiwa Chama chake cha ACT Wazalendo kitamuidhinisha kuwania nafasi hiyo.

Soma pia:

"Leo nimechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania kupitia Chama cha Ishara kuwa nipo tayari kumkabili Rais Samia na CCM ambao wameshindwa kumkomboa mtanzania kiuchumi, kisiasa na kijamii.Hii ni ishara ya utayari wangu wa kuongoza mapambano ya kulinda thamani ya kura na kutetea demokrasia"

View attachment 3312196


View attachment 3312197
Nchi yetu siyo kichwa cha mwendawazimu. Sidhani kama Tanzania tunahitaji tena Rais mwanamke.
 
Back
Top Bottom