Dondoo za Bajeti 2016/2017, kujitegemea kwa asilimia zaidi ya 80

Unawaona watu ni vilaza ila huenda na wao wanakushangaa, kwani makadirio ya bajeti lazima yaainishe deni la taifa? Na sijui hiyo public debt ni kitu gani kwenye makadirio ya bajeti
Acha Kuleta Ujinga wako hapa Kwenye Plan ndipo Public debt huwa inatajwa na kukopa hiyo pesa italifanya lipande zaidi.
 
Sasa ivi kilichobaki mueshimiwa ajalibu kufanya mchakato na makampuni makubwa kama Huawei, Toyota, Tecno, Suzuki na makampuni ya kusindika Nyama ya Ng'ombe, ngozi, na Maziwa
Maana Kuna pesa nyingi sana apa Tanzania ajalibu kuongea na Chinese na Japanese. Kuliko kutegemea mataifa ya magharibi yana majungu sana. Wewe upewe msaada kwa kukubali kudhalilishwa alafu bado wanakuwa kukuibia
Wale jamaa ukiwapa kisogo watakufanyia fitna huwezi amini, sio watu wale, kama wanamtunishia misuli Russia huku Africa ndo kama wameiweka kiganyani.
 
Bila kuona debt level siwezi kuelewa,pia ni makisio tu na itatekelezeka kadiri ilivyopangwa ikiwa kila shilingi hapo itapatikana na hiyo itategemeana performance ya macro economic indicators,tusubiri
 
Haya yote maigizo tu.misaada +mikopo sawa na 12 trillion ambayo ni karibu nusu ya budget,bado public debt
lately nimecheki,limefikia 47 trills
Bila kuona debt level siwezi kuelewa,pia ni makisio tu na itatekelezeka kadiri ilivyopangwa ikiwa kila shilingi hapo itapatikana na hiyo itategemeana performance ya macro economic indicators,tusubiri
deni letu limefikia 47 trilliöns
 
Sasa ivi kilichobaki mueshimiwa ajalibu kufanya mchakato na makampuni makubwa kama Huawei, Toyota, Tecno, Suzuki na makampuni ya kusindika Nyama ya Ng'ombe, ngozi, na Maziwa
Maana Kuna pesa nyingi sana apa Tanzania ajalibu kuongea na Chinese na Japanese. Kuliko kutegemea mataifa ya magharibi yana majungu sana. Wewe upewe msaada kwa kukubali kudhalilishwa alafu bado wanakuwa kukuibia
nipe mfano mmoja wa udhalilishwaji!
 
Tatizo la hizi bajeti unaweza kufurahia figure hapo lakini mwisho wa mwaka wa fedha hela iliyopatikana unakuta hata robo tatu haifiki, kuna Taasisi moja ya Muhimbili walipangiwa 118Biln mpaka jana kamati ya bunge imepita pale hela waliyopata ni 1 Biln Taasisi nyeti kama Afya.
Kipindi hicho sio kipindi hiki jaribu kwenda na wakati Yale ya Jana sio ya leo
 
Bajeti ya Mwaka 2016/17 ni fedha za kitanzania trilioni 29.5

Katika bajeti hiyo fedha za ndani ambazo zitakusanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) ni fedha za kitanzania shilingi trilioni 17.8 trilioni.

Mikopo ya kibiashara itakayochukuliwa na serikali kwa ajili ya Bajeti kuu ni shilingi trilioni 7.5

Misaada ya wafadhili ni shilingi trilioni 3.6.

Matumizi ya kawaida ni shilingi trilioni 17

Matumizi ya Maendeleo 11.8 trilioni.
 
Bajeti ya Mwaka 2016/17 ni tshs 29.5 trillions. TRA watakusanya tshs 17.8 trilioni. Mikopo itachukuliwa tshs 7.5 trilioni na Misaada ya wafadhili 3.6 trilioni. Matumizi ya kawaida tshs 17 trilioni na Matumizi ya Maendeleo 11.trilioni.Bajeti ya tshs 29.5 trilioni ni hatua kubwa sana.
Mapumbavu yatakuja hapa kupiga mbinja kwamba Magufuli kafunika, kumbe ni uchuro mtupu. Hizi ni bajeti za geresha tu, nendeni mwulize huko kwenye halmashauri kama fedha zote zilizopangwa bajeti iliyopita zilifika. Kwa uhalisia bajeti hii ni Trilioni 14.5 tu, wala msidanganyike kwamba ni trillion eti 29.5
 
Hivi ni kweli wachangiaji wa huu uzi ni vilaza kiasi hiki mbona sioni Public debt imefikia sh. ngapi halafu bado unakopa 7.5 Trillion watu mnasifia Ujinga

Kwa kifupi tu mkuu, deni la Taifa kwa sasa ukiligawanya kwa idadi ya Watanzania wote ( walio takrobani milioni 50 ), basi kila kichwa kilicho hai kitakuwa kinadaiwa laki 9.
 
Kwa kifupi tu mkuu, deni la Taifa kwa sasa ukiligawanya kwa idadi ya Watanzania wote ( walio takrobani milioni 50 ), basi kila kichwa kilicho hai kitakuwa kinadaiwa laki 9.
So ni TZS. 45 Trillion halafu zitakopwa 7.5Trillion so deni litakua 52.5Trillion hili deni ni kubwa tatizo la deni la Taifa huathiri vizazi na vizazi.
 
Viongozi wetu washapataa sana misaada alafu leo kusema kwamba atutaki misaada inakuwa sio diplomatic. Ni bora viongozi wetu wakawakwepa ushabiki wa awa waandishi wa habari. vibaya inawezekana ikaonekana kama dharau fulani ivi kwa haya mataifa ya magharibi. Maana wakishagonga vikwazo itakuwa kama Zimbabwe kwa kigogo Mugabe
 
Hela ya madafu inaingia mara ngapi kwa dollar.............nimeuliza tu sio kesi wala nini.
 
Back
Top Bottom