Donald Trump ametangaza kuwa huenda akaondoa ongezeko la ushuru wa forodha uliowekwa dhidi ya China

Teknocrat

JF-Expert Member
Oct 20, 2018
5,346
11,678
Rais wa Marekani, Donald Trump, siku ya Alhamisi alitoa ishara ya uwezekano wa kumalizika kwa ongezeko la ushuru wa forodha kati ya Marekani na China, ongezeko ambalo limeyumbisha masoko ya fedha duniani. Pia alieleza kuwa makubaliano kuhusu hatma ya jukwaa la mitandao ya kijamii la TikTok huenda yakachelewa.

"Sitaki ushuru uendelee kupanda kwa sababu ukifika kiwango fulani, watu wanakoma kununua," Trump aliwaambia waandishi wa habari akiwa Ikulu ya White House.

"Hivyo basi, huenda nisitake ushuru uende juu zaidi au hata kufikia kiwango hicho kilichopangwa. Huenda nikataka ushuke kidogo, kwa sababu unajua, unataka watu wawe na uwezo wa kununua – na kufikia kiwango fulani, watu hawatanunua tena."

=====================
One moment it's yes, the next it's no... We're not quite sure which way to turn when it comes to the tariffs imposed by the American president. However, it seems that matters are calming down with China.

On Thursday, Donald Trump announced he might end the increase in tariffs imposed on China, which have disrupted global markets.

"I don't want them to go higher, because at a certain point, people won't buy anymore," Trump told the journalists present at the White House.

"So, maybe I don't want to go any higher, or even up to this level. I may want to go lower, because we know we want people to buy, but at some point, they won't buy anymore."
 
Mods mnisamehe
Mtabadilisha heading na mada nzima mkipata muda
Lakini niseme Trump ni punga, ana tabia za kike, sasa baada ya kuona mchina wa kariakoo mwenye msimamo hatetereki na bei ya papuchi
Naona kaamua kutema mbegu za bungo, na sasa anameza maji aliyonyonya.



One moment it's yes, the next it's no... We're not quite sure which way to turn when it comes to the tariffs imposed by the American president. However, it seems that matters are calming down with China.

On Thursday, Donald Trump announced he might end the increase in tariffs imposed on China, which have disrupted global markets.
"I don't want them to go higher, because at a certain point, people won't buy anymore," Trump told the journalists present at the White House.
Hapa Chupi ya mikanda(Thong) imeiingia kunako....

"So, maybe I don't want to go any higher, or even up to this level. I may want to go lower, because we know we want people to buy, but at some point, they won't buy anymore."
Hapa anatangaza yuko singeli, na yuko tayari kwa XI kujipigia anavyotaka.....
Kati ya Trump na wewe nani mwenye tabia za kike?

Maana haieleweki umeandika nini hapa, michambo sio michambo.

Kaa utulie, ya Marekani waachie wamarekani wenyewe.
 
Kati ya Trump na wewe nani mwenye tabia za kike?

Maana haieleweki umeandika nini hapa, michambo sio michambo.

Kaa utulie, ya Marekani waachie wamarekani wenyewe.
Wewe mla vumbi hii mada haikuhusu
Ukisha shiba vumbi kamalizie na mihogo na makande ukalale, usiku saa hizi huko shithole, wakati huku tunaohusika na mada ndio kwanza kumekucha...
 
Wewe mla vumbi hii mada haikuhusu
Ukisha shiba vumbi kamalizie na mihogo na makande ukalale, usiku saa hizi huko shithole, wakati huku tunaohusika na mada ndio kwanza kumekucha...
Tafta mume uolewe, acha kudandia waume wa wenzio, mimi ni mume wa mtu. Mke wangu akijua unanilazimisha nikushikishe ukuta atakuua.
 
Rais wa Marekani, Donald Trump, siku ya Alhamisi alitoa ishara ya uwezekano wa kumalizika kwa ongezeko la ushuru wa forodha kati ya Marekani na China, ongezeko ambalo limeyumbisha masoko ya fedha duniani. Pia alieleza kuwa makubaliano kuhusu hatma ya jukwaa la mitandao ya kijamii la TikTok huenda yakachelewa.

"Sitaki ushuru uendelee kupanda kwa sababu ukifika kiwango fulani, watu wanakoma kununua," Trump aliwaambia waandishi wa habari akiwa Ikulu ya White House.

"Hivyo basi, huenda nisitake ushuru uende juu zaidi au hata kufikia kiwango hicho kilichopangwa. Huenda nikataka ushuke kidogo, kwa sababu unajua, unataka watu wawe na uwezo wa kununua – na kufikia kiwango fulani, watu hawatanunua tena."

=====================
One moment it's yes, the next it's no... We're not quite sure which way to turn when it comes to the tariffs imposed by the American president. However, it seems that matters are calming down with China.

On Thursday, Donald Trump announced he might end the increase in tariffs imposed on China, which have disrupted global markets.

"I don't want them to go higher, because at a certain point, people won't buy anymore," Trump told the journalists present at the White House.

"So, maybe I don't want to go any higher, or even up to this level. I may want to go lower, because we know we want people to buy, but at some point, they won't buy anymore."
Buyu jamaa ataiharibu america
 
tabia za kike ni zipi? jiepushe na hisia za misogyny, inakusumbua. Ukimdharau mwanamke unamdharau na mama yako.
Mkuu umesoma mada toka mwanzo ukaelewa ama umekurupuka tu kuninakili?

Mtoa mada alisema Trump ana tabia za kike, nikamuuliza kati yake mtoa mada na Trump nani ana tabia za kike?

Soma mada kuanzia mwanzo.
 
Mkuu umesoma mada toka mwanzo ukaelewa ama umekurupuka tu kuninakili?

Mtoa mada alisema Trump ana tabia za kike, nikamuuliza kati yake mtoa mada na Trump nani ana tabia za kike?

Soma mada kuanzia mwanzo.
Bro mie nilishasema humu watu wengi huwa hawasomi mada,hukurupuka kutoa majibu tu
 
Rais wa Marekani, Donald Trump, siku ya Alhamisi alitoa ishara ya uwezekano wa kumalizika kwa ongezeko la ushuru wa forodha kati ya Marekani na China, ongezeko ambalo limeyumbisha masoko ya fedha duniani. Pia alieleza kuwa makubaliano kuhusu hatma ya jukwaa la mitandao ya kijamii la TikTok huenda yakachelewa.

"Sitaki ushuru uendelee kupanda kwa sababu ukifika kiwango fulani, watu wanakoma kununua," Trump aliwaambia waandishi wa habari akiwa Ikulu ya White House.

"Hivyo basi, huenda nisitake ushuru uende juu zaidi au hata kufikia kiwango hicho kilichopangwa. Huenda nikataka ushuke kidogo, kwa sababu unajua, unataka watu wawe na uwezo wa kununua – na kufikia kiwango fulani, watu hawatanunua tena."

=====================
One moment it's yes, the next it's no... We're not quite sure which way to turn when it comes to the tariffs imposed by the American president. However, it seems that matters are calming down with China.

On Thursday, Donald Trump announced he might end the increase in tariffs imposed on China, which have disrupted global markets.

"I don't want them to go higher, because at a certain point, people won't buy anymore," Trump told the journalists present at the White House.

"So, maybe I don't want to go any higher, or even up to this level. I may want to go lower, because we know we want people to buy, but at some point, they won't buy anymore."
Halafu utasikia wanasema usa inaendeshwa kwa kutumia akili ndo aina ya trump kweli
 
Back
Top Bottom